Ostrich eggs
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 638
- 453
Njozi baada kushiba msosi wa OFA. YUPO mengine ni ya kupita.Mchungaji Msigwa anaelekea ACT wazalendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njozi baada kushiba msosi wa OFA. YUPO mengine ni ya kupita.Mchungaji Msigwa anaelekea ACT wazalendo
Alianza NCCR alipopingwa akaenda TLP alipopingwa akaja Chadema. Sasa anapingwa anataka kurudi CCM.Sijui kama akikimbilia huko CCM halafu itokee akatofautiana tena na wenzake atakimbilia wapi kwa hiki kisirani chak
Tatizo hata Mungu alimuasi
Mwizi akataka kuitumia chadema kwenda ikulu?
Yani chadema ilitaka kupeleka mwizi ikulu!
Huoni kama hicho chama ni cha mazuzu?
Kwa hiyo malengo ya chadema sio kuchukua dola?Kwani yeye Nani ! Kaondoka Dr. Slaa, na wengineo lukuki Bado CHADEMA iko imara hata kayafa aliapa kuua CHADEMA akafa yeye....
Yupo kikosi kazi cha ufipa kama ulivyo wewe!Huyo Hilda Newton ni kamanda wa nini na yuko kikosi gani?
Atutajie maadui zake.
Ningeyajua nisingeuliza!Unataka kuyajua leo au unataka yapigiwe mstari kwenye huu uzi wako ili uwe na page nyingi?
Ushauri wake ulikuwa mujarabu chama kimejaa mihemko la loliondo pia litapita!Lowassa hakuwa mwanasiasa, bali mwizi aliyefanikiwa kuiba kupitia mlango wa siasa, hadi akawa na ndoto ya kuwa rais. Kwa kiwango kikubwa Lowassa alichangia kuitoa CDM kwenye siasa zake, kisha akarudi kwenye siasa za mbeleko ya vyombo vya dola ili aendelee kula asali.
Lakini hatimaye harakati za Ikulu zimeleta matumaini baada ya ccm sasa kukubali mchakato wa katiba mpyAMchungaji hajapenda harakati za mbowe kwenda Ikulu mara kwa mara na kuiuza chadema kwa vipande 30
Ushauri wake ulikuwa mujarabu chama kimejaa mihemko la loliondo pia litapita!
Mi siko kikosi cha kufikirika ulichonacho kichwani.Yupo kikosi kazi cha ufipa kama ulivyo wewe!
Kwani chimbuko la huu mgogoro wa Msigwa kutofautiana mawazo na wenzie si limeanzia na habari ya loliondo au unajitoa ufahamu kijana!Unaongea utoto gani mzee? Habari za Loliondo zinatoka wapi kwenye post yangu?
Mabadiliko yanakuja na jambo usilotegemea kabisa msigwa uyu uyu anaweza kufanya mkagawana mbao kibaya zaidi wale vijana kina martin, na Hilda, kina mdude hawana price tag so wangekuwa nayo wangesaliti chama hivi martin au Hilda afuatwe na V8 ambiwe njoo uku tunakupa cheo hiki hapa unazani watakataa wale njaa ndio Ina watesa wakiamini ipo siku chama kitawakumbukaAlikuwepo Zitto na Slaa. hivi kuna mtu anaweza kutuyumbisha kuzidi hao?
Umepiga kwenye mshonoMwizi akataka kuitumia chadema kwenda ikulu?
Yani chadema ilitaka kupeleka mwizi ikulu!
Huoni kama hicho chama ni cha mazuzu?
Naomba maoni yakoNitasema mwisho baada ya wote kuchangia!
Makamanda waheshimu mawazo ya wengine na kuacha kulazamisha watu wafuate misimamo yao!Naomba maoni yakoView attachment 2269355