Msigwa alalamikiwa kuwalamba block CHADEMA wenzake

Msigwa ana haki ya ku block yeyote asiyependa kuwasiliana nae, ni uhuru wake na asipangiwe. Tatizo kubwa ndani ya upinzani wanahubiri demokrasia ilia hawezi kuishi kwenye demokrasia. Ukiwa tofauti kimtizamo utaitwa msaliti, umefika bei, au kibaraka.
 
Katika kuunganisha dot tunaweza kusema kuna jambo la siri linaendelea baina ya MSIGWA na SHANGAZI YETU Bint Karume maana wote wameonyesha kuwa na Bifu na CHADEMA kipindi hiki. Na pia wote wamekuwa na msimamo mmoja kuhusu issue ya Loliondo.

Ni suala la muda tu tuendelee kusubiri
 
Msigwa ana haki ya ku block yoyote asiyependa kuwasiliana nae, ni uhuru wake na asipangiwe. Tatizo kubwa ndani ya upinzani wanahubiri demokrasia ilia hawezi kuishi kwenye demokrasia. Ukiwa tofauti kimtizamo utaitwa msaliti, umefika bei, au kibaraka.
Msigwa ndio alitakiwa kuwa "advocate" wa hiyo demokrasia anayohubiri badala ya kuwa block wenzake, kitendo cha kuwa block maana yake pia hataki mawazo tofauti na yake, amefeli.
 
Yuko sahihi kuwablock, ktk mambo ambayo chadema wanakera ni pale mtu anapotofautiana nao ktk maamuzi akaitwa msaliti, kama tunaitaji chama imara tunahitaji kuwa na vifua vya kumeza nakupokea hata kama chungu nakuheshimu maamuzi ya kila mmoja
 
Chadema, wanaharakati hawajui siasa na ndio maana inakuwa taabu kuaminiwa...

Chadema ina vijana wengi ambao ni waropokaji tu
Kwa hiyo wewe siyo bavicha kumbe?

Wewe ni mwanangogwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…