Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Waumini wote mnaosali kanisa analohudumu mch Msigwa hameni. Huyu sio mchungaji ni dalali wa kisiasa.Akihojiwa na Mwanahalisi Digital, aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na baadaye kuhamia CCM, Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa kuna orodha kabisa imewekwa ya Watu wa kuondoka ambapo yupo Msigwa, Lissu, Lema na Heche kwa sababu ni watu wana uelewa na wanahoji
Amesema Wakati fulani nakumbuka tulikuwa na akina Baregu (marehemu), Prof. Kitila, Zitto Kabwe, walikuwepo watu wengi wazuri. Ulikuwa ukiiona Kamatyi Kuu ya CHADEMA, wakijipanga hivi unaona kuna Chama mbadala. Ila kwa bahati mbaya uelewa ulikuwa mdogo”
Ameongeza kuwa kutokana na uelewa mdogo ni saw ana mbuzi kuchekelea wakati mwewe akichukua kuku na kusahau kuwa bucha lipo karibu
Amesema “Tulichekelea sana Kitila wanachukuliwa na mwewe, Zitto wanachukuliwa na Mwewe, na kusahau kuwa bucha lipo karibu. Mambo haya kweli yalifanyika kipindi hicho. Bwana mkubwa [Mbowe] ana historia akiona mtu anamfahamu vizuri lazima atafuta namna ya kumuondoa. Ndio maana list ya kutaka kutuondoa imetajwa kabisa. Lazima aondoke Msigwa, Lissu, Lema na Heche”
Mengi anayoongea kuhusu mwenyekiti yanaonekana yana fikirisha,lakini alitakiw aondoke kabla hajaanguka kwenye uchaguzi na alikosea kwenda CCM,Bora angeenda udp upendo akazungumza haya.Akihojiwa na Mwanahalisi Digital, aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na baadaye kuhamia CCM, Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa kuna orodha kabisa imewekwa ya Watu wa kuondoka ambapo yupo Msigwa, Lissu, Lema na Heche kwa sababu ni watu wana uelewa na wanahoji
Amesema Wakati fulani nakumbuka tulikuwa na akina Baregu (marehemu), Prof. Kitila, Zitto Kabwe, walikuwepo watu wengi wazuri. Ulikuwa ukiiona Kamatyi Kuu ya CHADEMA, wakijipanga hivi unaona kuna Chama mbadala. Ila kwa bahati mbaya uelewa ulikuwa mdogo”
Ameongeza kuwa kutokana na uelewa mdogo ni saw ana mbuzi kuchekelea wakati mwewe akichukua kuku na kusahau kuwa bucha lipo karibu
Amesema “Tulichekelea sana Kitila wanachukuliwa na mwewe, Zitto wanachukuliwa na Mwewe, na kusahau kuwa bucha lipo karibu. Mambo haya kweli yalifanyika kipindi hicho. Bwana mkubwa [Mbowe] ana historia akiona mtu anamfahamu vizuri lazima atafuta namna ya kumuondoa. Ndio maana list ya kutaka kutuondoa imetajwa kabisa. Lazima aondoke Msigwa, Lissu, Lema na Heche”
Haka kajamaa ninkakichaa,ule ukichaa kama wa moulima flani aliyemuua RC.Kwanini asichague kuwa mstaarabu kama Rwakis a ka Engaju ya Bukoba na wengine? Katika siasa unaambiwa; Usilonge ukamala:Nashangaa sana hizi siasa za kijinga hivi
Kweli mtu mzima unaongea haya kama una sura 3
Sasa hapo ndiyo unaona nani Msomi wa kweli. Yule Dr.wa kweli PhD, Masingi sijui (katibu Mkuu wa Chadema) alipovutwa kwa nguvu na CCM aliondoka akakaa kimya unajua tu kuwa alilazimishwa akajinyamazia kmyaaaa! Msigwa kweli shule haijapanda, angeacha kuongea, hata akiongea vipi nazidi kujiharibia, angeziba huu mdomo. Hii diarrhea ya mouth inamponzaAkihojiwa na Mwanahalisi Digital, aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na baadaye kuhamia CCM, Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa kuna orodha kabisa imewekwa ya Watu wa kuondoka ambapo yupo Msigwa, Lissu, Lema na Heche kwa sababu ni watu wana uelewa na wanahoji
Amesema Wakati fulani nakumbuka tulikuwa na akina Baregu (marehemu), Prof. Kitila, Zitto Kabwe, walikuwepo watu wengi wazuri. Ulikuwa ukiiona Kamatyi Kuu ya CHADEMA, wakijipanga hivi unaona kuna Chama mbadala. Ila kwa bahati mbaya uelewa ulikuwa mdogo”
Ameongeza kuwa kutokana na uelewa mdogo ni saw ana mbuzi kuchekelea wakati mwewe akichukua kuku na kusahau kuwa bucha lipo karibu
Amesema “Tulichekelea sana Kitila wanachukuliwa na mwewe, Zitto wanachukuliwa na Mwewe, na kusahau kuwa bucha lipo karibu. Mambo haya kweli yalifanyika kipindi hicho. Bwana mkubwa [Mbowe] ana historia akiona mtu anamfahamu vizuri lazima atafuta namna ya kumuondoa. Ndio maana list ya kutaka kutuondoa imetajwa kabisa. Lazima aondoke Msigwa, Lissu, Lema na Heche”
Raila alikwenda KANU ndiyo ukawa mwisho wa KANU.Amekosea kwenda CCM, hayo ni maoni yangu.