Pre GE2025 Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Pre GE2025 Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwema Wakuu!

Wapinzani pekee ambao ni maarufu kwa level ya kitaifa ni Freeman Mbowe, Tundu Lisu, Slaa na Zito Kabwe.

Lakini waliobakia hawana umaarufu kwa level ya kitaifa labda kikanda.

Msigwa anaweza akapita pale kariakoo na watu wasimtambue.

Wanaomfahamu Msigwa ni wale wanaofuatilia siasa ambao kwa nchi yetu sio wengi.
Watanzania wengi hujihusisha zaidi na Burudani kama muziki na michezo yaani usimba na uyanga.

Hivyo hakutakuwa na impact yoyote kwa Msigwa kama atazunguka nchi nzima kwa watu wasiomjua kukisema chama cha chadema alichotoka.

Mtu mashuhuri kwa level ya kitaifa akiondoka huondoka na lundo la watu. Yaani unaona waziwazi kabisa huyu alikuwa Mtu

Mfano Slaa kuondoka kwake kuliidhoofisha Chadema,
Lowasa kuliidhoofisha CCM
Zitto Naye aliidhoofisha kwa kiwango Fulani lakini sio kikubwa kama Slaa.

Hata Lisu akiondoka ataondoka na wafuasi kibao.

Msigwa labda aende Iringa jimboni kwake huko kidogo wanamjua kwa sababu ni kwao lakini akishuka mpaka Makambaku mwananchi wa kawaida ambaye hafuatilii siasa hawezi kumjua

Chadema round hii naona hawajatetemeshwa.

Hii inatoa funzo kwa vyama vya siasa kuwa visiwajenge watu kwa kiwango cha kuwa tishio kwa chama.

Upande wa CCM naona wanamjenga Makonda kuwa maarufu kuliko chama. Hii unaweza kuwasumbua baadaye

Mimi acha nilale sasa
Hivi unamjuaje mwanaume mwenzako? Msaada please.
 
Kwema Wakuu!

Wapinzani pekee ambao ni maarufu kwa level ya kitaifa ni Freeman Mbowe, Tundu Lisu, Slaa na Zito Kabwe.

Lakini waliobakia hawana umaarufu kwa level ya kitaifa labda kikanda.

Msigwa anaweza akapita pale kariakoo na watu wasimtambue.

Wanaomfahamu Msigwa ni wale wanaofuatilia siasa ambao kwa nchi yetu sio wengi.
Watanzania wengi hujihusisha zaidi na Burudani kama muziki na michezo yaani usimba na uyanga.

Hivyo hakutakuwa na impact yoyote kwa Msigwa kama atazunguka nchi nzima kwa watu wasiomjua kukisema chama cha chadema alichotoka.

Mtu mashuhuri kwa level ya kitaifa akiondoka huondoka na lundo la watu. Yaani unaona waziwazi kabisa huyu alikuwa Mtu

Mfano Slaa kuondoka kwake kuliidhoofisha Chadema,
Lowasa kuliidhoofisha CCM
Zitto Naye aliidhoofisha kwa kiwango Fulani lakini sio kikubwa kama Slaa.

Hata Lisu akiondoka ataondoka na wafuasi kibao.

Msigwa labda aende Iringa jimboni kwake huko kidogo wanamjua kwa sababu ni kwao lakini akishuka mpaka Makambaku mwananchi wa kawaida ambaye hafuatilii siasa hawezi kumjua

Chadema round hii naona hawajatetemeshwa.

Hii inatoa funzo kwa vyama vya siasa kuwa visiwajenge watu kwa kiwango cha kuwa tishio kwa chama.

Upande wa CCM naona wanamjenga Makonda kuwa maarufu kuliko chama. Hii unaweza kuwasumbua baadaye

Mimi acha nilale sasa
Msigwa anajulikana sana tu alikuwa active sana bungeni na amezunguka na CHADEMA nchi nzima acha ujinga dogo

USSR
 
Kwema Wakuu!

Wapinzani pekee ambao ni maarufu kwa level ya kitaifa ni Freeman Mbowe, Tundu Lisu, Slaa na Zito Kabwe.

Lakini waliobakia hawana umaarufu kwa level ya kitaifa labda kikanda.

Msigwa anaweza akapita pale kariakoo na watu wasimtambue.

Wanaomfahamu Msigwa ni wale wanaofuatilia siasa ambao kwa nchi yetu sio wengi.
Watanzania wengi hujihusisha zaidi na Burudani kama muziki na michezo yaani usimba na uyanga.

Hivyo hakutakuwa na impact yoyote kwa Msigwa kama atazunguka nchi nzima kwa watu wasiomjua kukisema chama cha chadema alichotoka.

Mtu mashuhuri kwa level ya kitaifa akiondoka huondoka na lundo la watu. Yaani unaona waziwazi kabisa huyu alikuwa Mtu

Mfano Slaa kuondoka kwake kuliidhoofisha Chadema,
Lowasa kuliidhoofisha CCM
Zitto Naye aliidhoofisha kwa kiwango Fulani lakini sio kikubwa kama Slaa.

Hata Lisu akiondoka ataondoka na wafuasi kibao.

Msigwa labda aende Iringa jimboni kwake huko kidogo wanamjua kwa sababu ni kwao lakini akishuka mpaka Makambaku mwananchi wa kawaida ambaye hafuatilii siasa hawezi kumjua

Chadema round hii naona hawajatetemeshwa.

Hii inatoa funzo kwa vyama vya siasa kuwa visiwajenge watu kwa kiwango cha kuwa tishio kwa chama.

Upande wa CCM naona wanamjenga Makonda kuwa maarufu kuliko chama. Hii unaweza kuwasumbua baadaye

Mimi acha nilale sasa
Kweli. Msigwa bila chadema ni level ya Stive Nyerere tu. Ccm yenyewe bila wizi wa kura hata TLP inaweza kuiangusha. Yaani ccm wameishiwa marifa wanafikiri mchawi wao ni upizani, kumbe mchawi wao ni matendo yao wenyewe.
 
Msigwa ap
Kwema Wakuu!

Wapinzani pekee ambao ni maarufu kwa level ya kitaifa ni Freeman Mbowe, Tundu Lisu, Slaa na Zito Kabwe.

Lakini waliobakia hawana umaarufu kwa level ya kitaifa labda kikanda.

Msigwa anaweza akapita pale kariakoo na watu wasimtambue.

Wanaomfahamu Msigwa ni wale wanaofuatilia siasa ambao kwa nchi yetu sio wengi.
Watanzania wengi hujihusisha zaidi na Burudani kama muziki na michezo yaani usimba na uyanga.

Hivyo hakutakuwa na impact yoyote kwa Msigwa kama atazunguka nchi nzima kwa watu wasiomjua kukisema chama cha chadema alichotoka.

Mtu mashuhuri kwa level ya kitaifa akiondoka huondoka na lundo la watu. Yaani unaona waziwazi kabisa huyu alikuwa Mtu

Mfano Slaa kuondoka kwake kuliidhoofisha Chadema,
Lowasa kuliidhoofisha CCM
Zitto Naye aliidhoofisha kwa kiwango Fulani lakini sio kikubwa kama Slaa.

Hata Lisu akiondoka ataondoka na wafuasi kibao.

Msigwa labda aende Iringa jimboni kwake huko kidogo wanamjua kwa sababu ni kwao lakini akishuka mpaka Makambaku mwananchi wa kawaida ambaye hafuatilii siasa hawezi kumjua

Chadema round hii naona hawajatetemeshwa.

Hii inatoa funzo kwa vyama vya siasa kuwa visiwajenge watu kwa kiwango cha kuwa tishio kwa chama.

Upande wa CCM naona wanamjenga Makonda kuwa maarufu kuliko chama. Hii unaweza kuwasumbua baadaye

Mimi acha nilale sasa
Msigwa apewe KAZI nyingine Tu kama ukurugenzi wa makampuni ya serekali, asihangaike na siasa za majukwaani CCM bado nawakubali Sana kwa sasa
 
Hata Mbowe hana ushawishi wowote kwa Sasa, Bila Chopa kuzunguka mjini huwa hapati watu. Na watu huwa almost wanaenda kushangaa Ndege nimeijua hii mikoa zaidi ya Mitatu
Unaelewa maana ya ushawishi. Mbowe hajaanza siasa Leo. Ungekuwepo kwenye kampeni za urais 2005 ndio ungejua Kama ana ushawishi ama la.
 
Msigwa anajulikana sana tu alikuwa active sana bungeni na amezunguka na CHADEMA nchi nzima acha ujinga dogo

USSR
Anajulikana kwa wafuatiliaji wa siasa. Kwa mfano watanzania wasiofatilia mambo ya nchi ukiwauliza Waziri wa Utawala Bora ni nani utashangaa hawamfahamu.
 
Back
Top Bottom