Pre GE2025 Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Pre GE2025 Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwema Wakuu!

Wapinzani pekee ambao ni maarufu kwa level ya kitaifa ni Freeman Mbowe, Tundu Lisu, Slaa na Zito Kabwe.

Lakini waliobakia hawana umaarufu kwa level ya kitaifa labda kikanda.

Msigwa anaweza akapita pale kariakoo na watu wasimtambue.

Wanaomfahamu Msigwa ni wale wanaofuatilia siasa ambao kwa nchi yetu sio wengi.
Watanzania wengi hujihusisha zaidi na Burudani kama muziki na michezo yaani usimba na uyanga.

Hivyo hakutakuwa na impact yoyote kwa Msigwa kama atazunguka nchi nzima kwa watu wasiomjua kukisema chama cha chadema alichotoka.

Mtu mashuhuri kwa level ya kitaifa akiondoka huondoka na lundo la watu. Yaani unaona waziwazi kabisa huyu alikuwa Mtu

Mfano Slaa kuondoka kwake kuliidhoofisha Chadema,
Lowasa kuliidhoofisha CCM
Zitto Naye aliidhoofisha kwa kiwango Fulani lakini sio kikubwa kama Slaa.

Hata Lisu akiondoka ataondoka na wafuasi kibao.

Msigwa labda aende Iringa jimboni kwake huko kidogo wanamjua kwa sababu ni kwao lakini akishuka mpaka Makambaku mwananchi wa kawaida ambaye hafuatilii siasa hawezi kumjua

Chadema round hii naona hawajatetemeshwa.

Hii inatoa funzo kwa vyama vya siasa kuwa visiwajenge watu kwa kiwango cha kuwa tishio kwa chama.

Upande wa CCM naona wanamjenga Makonda kuwa maarufu kuliko chama. Hii unaweza kuwasumbua baadaye

Mimi acha nilale sasa
Mkuu umenena point sana ukiamka asubuhi nenda hiyo bar ya pombe mwitu hapo jirani mwambie huyo mama akupe supu ya Pu mbu na chapati sita ntakuja kulipa.
 
Lowassa alidhoofisha ccm? 😂

Anyway, hata hao wanaofatilia siasa kuna ambao hawamjui
 
Lowasa aliidhoofisha CCM hiyo wala sio Siri

Ni kweli sio rahisi kumjua Msigwa mpaka uwe mfuatiliaji sana wa Siasa za Bongo
Ndo mara ya kwanza leo najua kuwa Lowassa alidhoofisha ccm baada ya kuondoka, ila tujiulize Lowassa alikuwa ana cheo gn pale ccm mpaka adhoofishe chama?
 
Kwema Wakuu!

Wapinzani pekee ambao ni maarufu kwa level ya kitaifa ni Freeman Mbowe, Tundu Lisu, Slaa na Zito Kabwe.

Lakini waliobakia hawana umaarufu kwa level ya kitaifa labda kikanda.

Msigwa anaweza akapita pale kariakoo na watu wasimtambue.

Wanaomfahamu Msigwa ni wale wanaofuatilia siasa ambao kwa nchi yetu sio wengi. Watanzania wengi hujihusisha zaidi na Burudani kama muziki na michezo yaani usimba na uyanga.

Hivyo hakutakuwa na impact yoyote kwa Msigwa kama atazunguka nchi nzima kwa watu wasiomjua kukisema chama cha chadema alichotoka.

Mtu mashuhuri kwa level ya kitaifa akiondoka huondoka na lundo la watu. Yaani unaona waziwazi kabisa huyu alikuwa Mtu

Mfano Slaa kuondoka kwake kuliidhoofisha Chadema, Lowasa kuliidhoofisha CCM, Zitto Naye aliidhoofisha kwa kiwango Fulani lakini sio kikubwa kama Slaa.

Hata Lisu akiondoka ataondoka na wafuasi kibao.

Msigwa labda aende Iringa jimboni kwake huko kidogo wanamjua kwa sababu ni kwao lakini akishuka mpaka Makambaku mwananchi wa kawaida ambaye hafuatilii siasa hawezi kumjua

Chadema round hii naona hawajatetemeshwa.

Hii inatoa funzo kwa vyama vya siasa kuwa visiwajenge watu kwa kiwango cha kuwa tishio kwa chama.

Upande wa CCM naona wanamjenga Makonda kuwa maarufu kuliko chama. Hii unaweza kuwasumbua baadaye

Mimi acha nilale sasa

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
UCKU MWEMA
 
Kwema Wakuu!

Wapinzani pekee ambao ni maarufu kwa level ya kitaifa ni Freeman Mbowe, Tundu Lisu, Slaa na Zito Kabwe.

Lakini waliobakia hawana umaarufu kwa level ya kitaifa labda kikanda.

Msigwa anaweza akapita pale kariakoo na watu wasimtambue.

Wanaomfahamu Msigwa ni wale wanaofuatilia siasa ambao kwa nchi yetu sio wengi. Watanzania wengi hujihusisha zaidi na Burudani kama muziki na michezo yaani usimba na uyanga.

Hivyo hakutakuwa na impact yoyote kwa Msigwa kama atazunguka nchi nzima kwa watu wasiomjua kukisema chama cha chadema alichotoka.

Mtu mashuhuri kwa level ya kitaifa akiondoka huondoka na lundo la watu. Yaani unaona waziwazi kabisa huyu alikuwa Mtu

Mfano Slaa kuondoka kwake kuliidhoofisha Chadema, Lowasa kuliidhoofisha CCM, Zitto Naye aliidhoofisha kwa kiwango Fulani lakini sio kikubwa kama Slaa.

Hata Lisu akiondoka ataondoka na wafuasi kibao.

Msigwa labda aende Iringa jimboni kwake huko kidogo wanamjua kwa sababu ni kwao lakini akishuka mpaka Makambaku mwananchi wa kawaida ambaye hafuatilii siasa hawezi kumjua

Chadema round hii naona hawajatetemeshwa.

Hii inatoa funzo kwa vyama vya siasa kuwa visiwajenge watu kwa kiwango cha kuwa tishio kwa chama.

Upande wa CCM naona wanamjenga Makonda kuwa maarufu kuliko chama. Hii unaweza kuwasumbua baadaye

Mimi acha nilale sasa

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Sikuwahi kumwona Msigwa kama mtu mkweli na imedhihirika hivyo.
 
Msigwa uumarufu wake ni sababu ya kuwa chadema otherwise hana ushawishi waina yeyote Tanzania,
 
Kwema Wakuu!

Wapinzani pekee ambao ni maarufu kwa level ya kitaifa ni Freeman Mbowe, Tundu Lisu, Slaa na Zito Kabwe.

Lakini waliobakia hawana umaarufu kwa level ya kitaifa labda kikanda.

Msigwa anaweza akapita pale kariakoo na watu wasimtambue.

Wanaomfahamu Msigwa ni wale wanaofuatilia siasa ambao kwa nchi yetu sio wengi. Watanzania wengi hujihusisha zaidi na Burudani kama muziki na michezo yaani usimba na uyanga.

Hivyo hakutakuwa na impact yoyote kwa Msigwa kama atazunguka nchi nzima kwa watu wasiomjua kukisema chama cha chadema alichotoka.

Mtu mashuhuri kwa level ya kitaifa akiondoka huondoka na lundo la watu. Yaani unaona waziwazi kabisa huyu alikuwa Mtu

Mfano Slaa kuondoka kwake kuliidhoofisha Chadema, Lowasa kuliidhoofisha CCM, Zitto Naye aliidhoofisha kwa kiwango Fulani lakini sio kikubwa kama Slaa.

Hata Lisu akiondoka ataondoka na wafuasi kibao.

Msigwa labda aende Iringa jimboni kwake huko kidogo wanamjua kwa sababu ni kwao lakini akishuka mpaka Makambaku mwananchi wa kawaida ambaye hafuatilii siasa hawezi kumjua

Chadema round hii naona hawajatetemeshwa.

Hii inatoa funzo kwa vyama vya siasa kuwa visiwajenge watu kwa kiwango cha kuwa tishio kwa chama.

Upande wa CCM naona wanamjenga Makonda kuwa maarufu kuliko chama. Hii unaweza kuwasumbua baadaye

Mimi acha nilale sasa

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
NEC ya CCM ni chombo kikubwa sana katika siasa za nchi hii, nilishangaa sana tena sana kuona wajumbe wote wa NEC hadi Mwenyekiti wao wakiimba kuwa na Imani na Msigwa mtu ambaye wiki iliyopita tu akiwa Singida alikuwa akiwapaka kinyesi. Nimewadharau sana.
 
Kwema Wakuu!

Wapinzani pekee ambao ni maarufu kwa level ya kitaifa ni Freeman Mbowe, Tundu Lisu, Slaa na Zito Kabwe.

Lakini waliobakia hawana umaarufu kwa level ya kitaifa labda kikanda.

Msigwa anaweza akapita pale kariakoo na watu wasimtambue.

Wanaomfahamu Msigwa ni wale wanaofuatilia siasa ambao kwa nchi yetu sio wengi. Watanzania wengi hujihusisha zaidi na Burudani kama muziki na michezo yaani usimba na uyanga.

Hivyo hakutakuwa na impact yoyote kwa Msigwa kama atazunguka nchi nzima kwa watu wasiomjua kukisema chama cha chadema alichotoka.

Mtu mashuhuri kwa level ya kitaifa akiondoka huondoka na lundo la watu. Yaani unaona waziwazi kabisa huyu alikuwa Mtu

Mfano Slaa kuondoka kwake kuliidhoofisha Chadema, Lowasa kuliidhoofisha CCM, Zitto Naye aliidhoofisha kwa kiwango Fulani lakini sio kikubwa kama Slaa.

Hata Lisu akiondoka ataondoka na wafuasi kibao.

Msigwa labda aende Iringa jimboni kwake huko kidogo wanamjua kwa sababu ni kwao lakini akishuka mpaka Makambaku mwananchi wa kawaida ambaye hafuatilii siasa hawezi kumjua

Chadema round hii naona hawajatetemeshwa.

Hii inatoa funzo kwa vyama vya siasa kuwa visiwajenge watu kwa kiwango cha kuwa tishio kwa chama.

Upande wa CCM naona wanamjenga Makonda kuwa maarufu kuliko chama. Hii unaweza kuwasumbua baadaye

Mimi acha nilale sasa

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Siasa bwana.Miaka 20 tunahubiriwa uongo.KUMBE NA YEYE ALIKUWA MWONGO LEO KABADILIKA[emoji1][emoji1].Unajua wanasiasa wanatuonaga ss wananchi hatuna akili.Tunajua uongo na ukweli tuachweee tuna akili zetu.Kwa hyo uongo wa Chadema,Ccm hawakuuona siku zote hzo??? yye ndo akaueleze.HATARI
 
Siasa bwana.Miaka 20 tunahubiriwa uongo.KUMBE NA YEYE ALIKUWA MWONGO LEO KABADILIKA[emoji1][emoji1].Unajua wanasiasa wanatuonaga ss wananchi hatuna akili.Tunajua uongo na ukweli tuachweee tuna akili zetu.Kwa hyo uongo wa Chadema,Ccm hawakuuona siku zote hzo??? yye ndo akaueleze.HATARI

Kwenye siasa maslahi binafsi ndio kipaombele
 
Kwa wanasiasa wenzake na wafuatiliaji wa siasa.

Lakini wananchi wengi hawamjui nakuambia

Ni sawa useme Mpina ni maarufu kisa anaongea ongea bungeni. Maarufu kwa wanasiasa na wanaofuatilia siasa lakini huku mtaani mambo ni tofauti
Ni kama chedema inajulikana jf
 
Back
Top Bottom