Msigwa kama Manara tuu.. CD zao zimestuck penye scratch

Msigwa kama Manara tuu.. CD zao zimestuck penye scratch

Wamesajiliwa kwa kazi hiyo.
Hayo mambo ya maendeleo ya walikohamia hayawahusu, wao wanalipwa kwa kupiga spana za majungu huko walikotoka.
 
Tatizo ni kuwa Msigwa amegusa pabaya.

Kwani tulijua kuna kina Nkulunziza CDM?

Ukweli mchungu:

Viva Lissu, Viva! Pamoja nawe ukombozi utapatikana!
Msigwa Kila akila lala na kuamkaa ana Ana muwaza mbowe .Kila akifumba macho na kufumbua n mbowe ..ameshindwa ku move kbs amwache x wake ambaye hata simu zake hapokeiii
amwache x wake ambaye hata simu zake hapokeiii😂😂😂😂
Nyinyi mnaoamini Mbowe ni malaika ndiyo tatizo ndani ya Chadema...

Nawahakikishia Lissu akiondoka kwasababu ya Mbowe, ile tetesi ya uchaga ndani ya chama itawamaliza...
Kuna mahali nimemtaja? Kwa jina?
Bado ni mulemule cd imescratch
 
Ukiona mtu kapata mpenzi mpya lakini 24/7 ni kumzungumzia eksi wake.. Tambua wazi bado ana mahaba ya dhati naye, ila ni hasira tu kulingana na mazingira ya kuachwa.
 
GTFZt9qXIAAtaj0.jpeg
 
Kuna na Upendo Peneza pia
Manara msemaji wa Yanga deep down ni SIMBA 100% Kaenda Yanga kwa sababu ya njaa tu
Msigwa si mwana CCM kwa hali iwayo yote.. Njaa iliyokimbilia kichwani ndio iliyompeleka CCM
Mapenzi ya kitu huja na kupoteana lakini sio mahaba.. Wapenzi waachanao na kurudiana kila wakati hawa wana mahaba ya dhati kati hao!
Ukiona mtu kapata mpenzi mpya lakini 24/7 ni kumzungumzia eksi wake.. Tambua wazi bado ana mahaba ya dhati naye, ila ni hasira tu kulingana na mazingira ya kuachwa.

Natambua kuna taharuki ya kuachwa lakini isiwe ya muda mrefu ni lazima ku move on! Ukibaki na kumbukumbu zile zile.. Tambua deep down your heart umekosa mbadala wake na huko uliko kuna ombwe kubwa lisilozibika! Na ndipo hapo cd hukwamwa na kujirudiarudia kutokana na scratch za mahaba ya dhati

Manara alishatoka SIMBA lakini mpaka wa kesho ameshindwa kabisa ku move on! Nje ya content za kuinanga SIMBA hana jipya Yanga

Msigwa na Peneza wameshaondoka CHADEMA lakini nje ya content za kuinanga CHADEMA hawana mapya ya kukijenga CCM!

Wape kipaza sauti kwa dakika 30 uone kitakachotokea.. Dakika 22 zitakuwa kuitaja CHADEMA na mwenyekiti wake na dakika 8 zitakuwa za kumsifu mama.. Kishapo dakika 0 zitakuwa na kuelezea mambo positive watakayofanya kukistawisha chama chao kipya!
Hakuna kitu kibaya kama njaa ikihamia kichwani lazima cd is scratch mpaka hadhira iangue kichekoView attachment 3065031
cd ime scrutch....nimependa msmo huu. Msigwa ni spent orce....
 
Tatizo ni kuwa Msigwa amegusa pabaya.

Kwani tulijua kuna kina Nkulunziza CDM?

Ukweli mchungu:

Viva Lissu, Viva! Pamoja nawe ukombozi utapatikana!

Akae na mkewe wayajenge.Alikua kikwazo.
Ni mumewe..😂
Msigwa Kila akila lala na kuamkaa ana Ana muwaza mbowe .Kila akifumba macho na kufumbua n mbowe ..ameshindwa ku move kbs amwache x wake ambaye hata simu zake hapokeiii
amwache x wake ambaye hata simu zake hapokeiii😂😂😂😂
Nyinyi mnaoamini Mbowe ni malaika ndiyo tatizo ndani ya Chadema...

Nawahakikishia Lissu akiondoka kwasababu ya Mbowe, ile tetesi ya uchaga ndani ya chama itawamaliza...
Kuna mahali nimemtaja? Kwa jina?
Bado ni mulemule cd imescratch
 
Tatizo ni kuwa Msigwa amegusa pabaya.

Kwani tulijua kuna kina Nkulunziza CDM?

Ukweli mchungu:

Viva Lissu, Viva! Pamoja nawe ukombozi utapatikana!

Akae na mkewe wayajenge.Alikua kikwazo.
Ni mumewe..😂
Msigwa Kila akila lala na kuamkaa ana Ana muwaza mbowe .Kila akifumba macho na kufumbua n mbowe ..ameshindwa ku move kbs amwache x wake ambaye hata simu zake hapokeiii
amwache x wake ambaye hata simu zake hapokeiii😂😂😂😂
Nyinyi mnaoamini Mbowe ni malaika ndiyo tatizo ndani ya Chadema...

Nawahakikishia Lissu akiondoka kwasababu ya Mbowe, ile tetesi ya uchaga ndani ya chama itawamaliza...
Kuna mahali nimemtaja? Kwa jina?
Bado ni mulemule cd imescratch
Kwani anayeitisha makamanda kukomaa anasema je?
Ndio nani huyo
 
Kuna na Upendo Peneza pia
Manara msemaji wa Yanga deep down ni SIMBA 100% Kaenda Yanga kwa sababu ya njaa tu
Msigwa si mwana CCM kwa hali iwayo yote.. Njaa iliyokimbilia kichwani ndio iliyompeleka CCM
Mapenzi ya kitu huja na kupoteana lakini sio mahaba.. Wapenzi waachanao na kurudiana kila wakati hawa wana mahaba ya dhati kati hao!
Ukiona mtu kapata mpenzi mpya lakini 24/7 ni kumzungumzia eksi wake.. Tambua wazi bado ana mahaba ya dhati naye, ila ni hasira tu kulingana na mazingira ya kuachwa.

Natambua kuna taharuki ya kuachwa lakini isiwe ya muda mrefu ni lazima ku move on! Ukibaki na kumbukumbu zile zile.. Tambua deep down your heart umekosa mbadala wake na huko uliko kuna ombwe kubwa lisilozibika! Na ndipo hapo cd hukwamwa na kujirudiarudia kutokana na scratch za mahaba ya dhati

Manara alishatoka SIMBA lakini mpaka wa kesho ameshindwa kabisa ku move on! Nje ya content za kuinanga SIMBA hana jipya Yanga

Msigwa na Peneza wameshaondoka CHADEMA lakini nje ya content za kuinanga CHADEMA hawana mapya ya kukijenga CCM!

Wape kipaza sauti kwa dakika 30 uone kitakachotokea.. Dakika 22 zitakuwa kuitaja CHADEMA na mwenyekiti wake na dakika 8 zitakuwa za kumsifu mama.. Kishapo dakika 0 zitakuwa na kuelezea mambo positive watakayofanya kukistawisha chama chao kipya!
Hakuna kitu kibaya kama njaa ikihamia kichwani lazima cd is scratch mpaka hadhira iangue kichekoView attachment 3065031
Na lisu?
 
Back
Top Bottom