Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
6:27 AM Juni 15, 2021, aliyekuwa Mbunge wa Iringa, Peter Msigwa ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Twitter:
"Hii sio kamati ya Amani, ni kikundi cha watu wasaka tonge. Wanotumia Neno la Mungu kuilinda serikali ya CCM ibaki madarakani. Wanastahili kupuuzwa na jamii ya Watanzania. Ni sawa na wapuuzi wengine tu."
========
"
"Hii sio kamati ya Amani, ni kikundi cha watu wasaka tonge. Wanotumia Neno la Mungu kuilinda serikali ya CCM ibaki madarakani. Wanastahili kupuuzwa na jamii ya Watanzania. Ni sawa na wapuuzi wengine tu."
========
"