chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,332
@ndikumangenge inaelekea namba 2 una bifu naye, bila shaka chuki inatokana na ID yako hiyo ndikumangenge [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hiyo namba 2
jamaa ni bonge LA mnafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@ndikumangenge inaelekea namba 2 una bifu naye, bila shaka chuki inatokana na ID yako hiyo ndikumangenge [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hiyo namba 2
jamaa ni bonge LA mnafiki
Katakutana tu! Kikundi ni chawasaka tonge, kinatabia za kitoto kikisutwa, kuchapwa shida ni tonge tu.Kwa hizi comments za wachangiaji sidhani haka ka kikundi katathubutu kukutana tena na kuutishia umma wa watanzania kuhusu ajenda za mwendazake !!
Kama mimi nilikuwa "Best man" wa babaako wakati anaoa, unafikiri yeye ni nani? Ahahahahahah!!!!!Mpuuzi tu na wewe
Wasipokuwa makini watapoteza Dira ya chama wakiendelea kuhangaika na masuala ya dini....Msigwa sishangai kuwatukana hawa viongozi maana kwao CHADEMA kiongozi wa dini lazima awaunge mkono wao. Na kila siku wanatetea uhuru kwa watu kuamua wanachokiamini. CHADEMA imekuwa ikiwaita wengine ni Madikteta huku wao wanataka kila mtu awe na msimamo kama wao lakini kwa upande wa MBOWE wako kimya.
Mr Msigwa kumbuka kuwa wewe ni miongoni mwa viongozi wanaopaswa kuheshimu viongozi wa dini na wengine kwenye jamii, Lakini unajitwika ujuaji usio na msingi kwa kuona mapungufu ya wenzako zaidi.
Napenda kuwakumbusha kuwa wewe na chama chako mnasafari ndefu sana ya kuwaaminisha watu kuwa lengo lenu ni kutetea haki au ni masrahi yenu binafsi yanawatawala huku mkijivika gozi ya kondoo ya uzalendo uchwara.
Msigwa sishangai kuwatukana hawa viongozi maana kwao CHADEMA kiongozi wa dini lazima awaunge mkono wao. Na kila siku wanatetea uhuru kwa watu kuamua wanachokiamini. CHADEMA imekuwa ikiwaita wengine ni Madikteta huku wao wanataka kila mtu awe na msimamo kama wao lakini kwa upande wa MBOWE wako kimya . Mr Msigwa kumbuka kuwa wewe ni miongoni mwa viongozi wanaopaswa kuheshimu viongozi wa dini na wengine kwenye jamii, Lakini unajitwika ujuaji usio na msingi kwa kuona mapungufu ya wenzako zaidi, Napenda kuwakumbusha kuwa wewe na chama chako mnasafari ndefu sana ya kuwaaminisha watu kuwa lengo lenu ni utetea haki au ni masrahi yenu binafsi yanawatawala huku mkijivika gozi ya kondoo ya uzalendo uchwara.
Wewe ni mnafiki tu! Umejaa uchaga! Tunawajua sana huko KKKT agenda kuu ni uchaga kwanza.Ni kweli kabisa viongozi wa dini waliokuwa wanamsujudu Magu walipendelewa sana kwa kodi za wananchi.
Askofu MALASUSA AKATAE HAYA;
1.Askofu mmoja kutibiwa nje(India)kwa fedha iliyolipwa na Magu kwa ushawishi na mgongo wa Malasusa.
2.Akatae kwenye baraza la MAASKOFU K.K.K.T amekuwa kinyume/msaliti na wenzake.
3.Akatae kama alimkabidhi ofisi ya Mkuu wa K.K.K.T kwa amani na upendo.
4.Akatae tuhuma nyingi kumhusu yeye na ushirikiano MAKONDA.
5.Akataye mbele za Mungu kama jina MSALITI halitumiki na baadhi ya waumini kutokana nakukengeuka.
6.Akatae Askofu Shoo hakusema "VIFUTU"sisi waumini wako tuliona ni miongoni kwa VIFUTU.
Mchg Msigwa kama amekukosea kukuita msaka tinge jitokeze ili tukuletee ushahidi.
USHAURI WANGU KWAKO;
Heshimu Baraza la Maaskofu K.K.K.T kwa vikao vyote na matamko mnayokubaliana kwani ndiyo jukwaa HALALI la K.K.K.T-KISHERIA
Achana kutoa matamko kupitia KAMATI YA AMANI DAR.Unajivunjia heshima kwani haipo KISHERIA
MIMI NIKIWA MUUMINI NAKWAZIKA SANA UNAVYOJISHUSHIA HESHIMA.
NAMUONA SHE PONDA ANAIPONYA NAFSI YANGU BILA KUJALI ITIKADI YA IMANI KWANI NI MKWELI.
JITOKEZE UTUOMBE MSAMAHA WAUMINI.
PIA KAWAOMBE MSAMAHA MAASKOFU WENZAKO uliyoyafanya ya usaliti kwa miaka 6
AMANI IWE KWAKO
Hiyo yako nayo ni nafsi kweli?Nikimjibu Mch. Msigwa nitakuwa nimeidhulumu nafsi yangu.
8. Mama Rwakatare8.mchungaji msigwa
6:27 AM Juni 15, 2021, aliyekuwa Mbunge wa Iringa, Peter Msigwa ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Twitter:
"Hii sio kamati ya Amani, ni kikundi cha watu wasaka tonge. Wanotumia Neno la Mungu kuilinda serikali ya CCM ibaki madarakani. Wanastahili kupuuzwa na jamii ya Watanzania. Ni sawa na wapuuzi wengine tu."
========
View attachment 1821568
"
Tuachane na matusi mkuu, unawez kusema hicho kikundi kilikuwa wapi kipindi watu wanatekwa na kuuliwa?Msigwa sishangai kuwatukana hawa viongozi maana kwao CHADEMA kiongozi wa dini lazima awaunge mkono wao. Na kila siku wanatetea uhuru kwa watu kuamua wanachokiamini. CHADEMA imekuwa ikiwaita wengine ni Madikteta huku wao wanataka kila mtu awe na msimamo kama wao lakini kwa upande wa MBOWE wako kimya.
Mr Msigwa kumbuka kuwa wewe ni miongoni mwa viongozi wanaopaswa kuheshimu viongozi wa dini na wengine kwenye jamii, Lakini unajitwika ujuaji usio na msingi kwa kuona mapungufu ya wenzako zaidi.
Napenda kuwakumbusha kuwa wewe na chama chako mnasafari ndefu sana ya kuwaaminisha watu kuwa lengo lenu ni kutetea haki au ni masrahi yenu binafsi yanawatawala huku mkijivika gozi ya kondoo ya uzalendo uchwara.
Hiki ndo Chama kikuu cha upinzani,na hawa ndo viongozi waandamizi wa Chama,tuna safari ndefu sana kufika nchi ya ahadi,hawa jamaa kama ndo tunawategemea kuja kuindoa CCM tusahau kwa sasa labda vizazi vya 2100.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Wasipokuwa makini watapoteza Dira ya chama wakiendelea kuhangaika na masuala ya dini....
Siku zote huwa nasema CHADEMA ni mambumbumbu wa siasa! Huu ni mwendelezo tu kama ule wa kupambana na Diamond wakiamini ndio wanapambana na ccm!
Ili chama chako kiweze kwenda ikulu ni lazima kiungwe mkono na vyombo vyote vya usalama, na pia kiungwe mkono na dini zote,
Chadema imeshawatukana viongozi karibu wote wa vyombo vya usalama, angali hapa tena wanatukana viongozi wa dini.
Bila shaka hawa chadema hakuna msomi hata mmoja mwenye kushauri mambo ya siasa kisomi. Wakipandwa na mizuka kama ile ya wana twitter huo ndio huwa msimamo wao.
Na kazi ya kulichonga apewe Kigwangala.Sanamu la Mch.Msigwa Liwekwe Posta Mpya
CCM kama chama cha siasa ilishakufa limebaki genge la wahuni wanaotumia vyombo vya dola kubaki madarakani na kupora rasilimali za nchiHiki ndo Chama kikuu cha upinzani,na hawa ndo viongozi waandamizi wa Chama,tuna safari ndefu sana kufika nchi ya ahadi,hawa jamaa kama ndo tunawategemea kuja kuindoa CCM tusahau kwa sasa labda vizazi vya 2100.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app