Hiki ndo Chama kikuu cha upinzani,na hawa ndo viongozi waandamizi wa Chama,tuna safari ndefu sana kufika nchi ya ahadi,hawa jamaa kama ndo tunawategemea kuja kuindoa CCM tusahau kwa sasa labda vizazi vya 2100.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Isemee nafsi yako kuwa wewe una Safari ndefu ya kubadilika! Mimi niweke Kandi kwani safari yangu ni fupi tu haizidi km.4 kutoka nilipo!
Msigwa unaweza ukawa sahihi katika kauli yako,lakini ukawa umekosa hekima katika kuwasilisha ujumbe wako.
Msigwa sishangai kuwatukana hawa viongozi maana kwao CHADEMA kiongozi wa dini lazima awaunge mkono wao. Na kila siku wanatetea uhuru kwa watu kuamua wanachokiamini. CHADEMA imekuwa ikiwaita wengine ni Madikteta huku wao wanataka kila mtu awe na msimamo kama wao lakini kwa upande wa MBOWE wako kimya . Mr Msigwa kumbuka kuwa wewe ni miongoni mwa viongozi wanaopaswa kuheshimu viongozi wa dini na wengine kwenye jamii, Lakini unajitwika ujuaji usio na msingi kwa kuona mapungufu ya wenzako zaidi, Napenda kuwakumbusha kuwa wewe na chama chako mnasafari ndefu sana ya kuwaaminisha watu kuwa lengo lenu ni kutetea haki au ni masrahi yenu binafsi yanawatawala huku mkijivika gozi ya kondoo ya uzalendo uchwara.
Msigwa sishangai kuwatukana hawa viongozi maana kwao CHADEMA kiongozi wa dini lazima awaunge mkono wao. Na kila siku wanatetea uhuru kwa watu kuamua wanachokiamini. CHADEMA imekuwa ikiwaita wengine ni Madikteta huku wao wanataka kila mtu awe na msimamo kama wao lakini kwa upande wa MBOWE wako kimya . Mr Msigwa kumbuka kuwa wewe ni miongoni mwa viongozi wanaopaswa kuheshimu viongozi wa dini na wengine kwenye jamii, Lakini unajitwika ujuaji usio na msingi kwa kuona mapungufu ya wenzako zaidi, Napenda kuwakumbusha kuwa wewe na chama chako mnasafari ndefu sana ya kuwaaminisha watu kuwa lengo lenu ni kutetea haki au ni masrahi yenu binafsi yanawatawala huku mkijivika gozi ya kondoo ya uzalendo uchwara.
ha ha ha ha haaaaa. we jamaa weweBora tunamarais wengi ni muda wa MSIGWA KUUNGANA NA MATAKATIFU EZEKIELI KUFANYA KAZI MORTUARY ILI kuidentify nani awe MIFUPA MIKAVU NA YUPI WA KUZIKWA TU - MCHAGA NA DINI HAKOSEI
Papa mzima jibu lako ndio hilo?Kazi iendelee
Dawa ya wahuni Ni kuwajibu kihuni tuHiki ndo Chama kikuu cha upinzani,na hawa ndo viongozi waandamizi wa Chama,tuna safari ndefu sana kufika nchi ya ahadi,hawa jamaa kama ndo tunawategemea kuja kuindoa CCM tusahau kwa sasa labda vizazi vya 2100.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Fikiria Magufuli alipeleka Jeshi Lindi na Mtwara kwenda kunyang'anya korosho za wanyonge ila hawa viongozi wa dini wooote walikaa kimya!Inabidi hawa viongozi wa dini (kamati ya amani) wajitafakari, inaonekana wamekosa ushawishi!! Nina Mashaka na Mungu wanaomtaja
8.mchungaji msigwaGenge la wahuni wanaotumia jina la Mungu:
1. Malasusa
2.Sheikh wa Dar aliyechambana na Mange
3.Pengo
4.Gwajiboy
5.Gamanywa
6. Mtokambali mzee wa kutoa tuzo kwa yesu wa Chato
7.Ikongo
Ulimsahau Shehe Majini, toka UZIGUANI-TANGAGenge la wahuni wanaotumia jina la Mungu:
1. Malasusa
2.Sheikh wa Dar aliyechambana na Mange...
Hiyo namba 2Genge la wahuni wanaotumia jina la Mungu:
1. Malasusa
2. Sheikh wa Dar aliyechambana na Mange
3. Pengo
4. Gwajiboy
5. Gamanywa
6. Mtokambali mzee wa kutoa tuzo kwa yesu wa Chato
7. Ikongo