Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ni muda sasa chama chako hakina imani nawe. Naona hata Iringa tu hawawakukubali. Sababu hazinihusu.
Ila karibu sana CCM huku nadhani utapata nafasi ya kuweza kufanya mambo yako vizuri.kwa uhuru.
Chadema nadhani ni kama wamekuchoka pia kutokana na matamko yako. Umekuwa one man arm. Huaminiki,hukubaliki. Vijana wanakushambulia kutoka kila pande. Viongozi wamenyamaza hawasemi kitu.
Najua Zitto anatamani jina lako litokee tokee Mch. Msigwa. Kwnye chama chake ili kuongezea ka uaminifu flani. Lakini siamini kama wewe unaweza ukaakaa na Zitto. Zitto anapenda Umwinyi sana. Umwogope umche n.k hamtawezana.
Kiasili Wanyalukolo hawana hizo tabia. Labda tu uazime kwa watu wa Pwani. Then mnaweza sasa mkaendana. So kwa moyo Mkunjufu. Karibu sana CCM hapa ni Mtakuja. Wenzio akina Mdee tunapanga nao mikakati vizuri tu.
Ila karibu sana CCM huku nadhani utapata nafasi ya kuweza kufanya mambo yako vizuri.kwa uhuru.
Chadema nadhani ni kama wamekuchoka pia kutokana na matamko yako. Umekuwa one man arm. Huaminiki,hukubaliki. Vijana wanakushambulia kutoka kila pande. Viongozi wamenyamaza hawasemi kitu.
Najua Zitto anatamani jina lako litokee tokee Mch. Msigwa. Kwnye chama chake ili kuongezea ka uaminifu flani. Lakini siamini kama wewe unaweza ukaakaa na Zitto. Zitto anapenda Umwinyi sana. Umwogope umche n.k hamtawezana.
Kiasili Wanyalukolo hawana hizo tabia. Labda tu uazime kwa watu wa Pwani. Then mnaweza sasa mkaendana. So kwa moyo Mkunjufu. Karibu sana CCM hapa ni Mtakuja. Wenzio akina Mdee tunapanga nao mikakati vizuri tu.