Msigwa: Sisemi napinga mfumo wa vyama vingi bali napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama wa CHADEMA na wengine

Msigwa: Sisemi napinga mfumo wa vyama vingi bali napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama wa CHADEMA na wengine

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mambo yanazidi kunoga huko, ni mwendo wa kupondana kwa kwenda mbere!

====

“Nchi yetu ina utulivu mkubwa, tunapendana, tunashirikiana, sisemi mimi napinga mfumo wa vyama vingi, lakini napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama huu wa chadema na vyama vingine. Hawa ni wababaishaji, wakajifunze upya mfumo wa vyama vingi, tuna taifa la kulijenga.

“Kwahiyo nimekuja kwenu ndugu zangu kwamba tuna wajibu wa kumuunga mkono Rais Samia aendelee kuijenga nchi yetu na kuiongoza kwasababu katika kipindi chote Rais Samia amepeleka pesa nyingi katika miradi ya maendeleo.

“Wakina Mbowe wanaosema wanataka kukomboa nchi ni waongo, wanataka kukomboa matumbo yao, hii nchi ilishakombolewa, na ndio maana watu wa Dar waligoma kuandamana.”

“CHADEMA ni kama yule mtu ambaye kuna maua mengi lakini yeye anachagua miba badala ya kufurahia harufu yam aua na uzuri. Wanatafuta visababu vidogo vidogo ambavyo havina tija.”

Soma Pia:



 
Tatizo la huyu jamaa ni elimu duni. Kuna wanasiasa wengi wamehamia CCM lakini sio muda mwingi wanatumia kuponda walikotoka. Msigwa angekuwa na elimu ya kutosha labda angepata teuzi kama kina dogo janja na yule wa Tunduma. Msigwa na Suphian watafute namna sahihi kufanya siasa.
 
Mbowe snr miaka ya 60anampa mwl Nyerere nauli ya kwenda UNO,,,Leo Mbowe jnr ana njaa huyu nae n mchungaji km kiboko ya wachawi labda!
 
hyu mzee alipokua chadema alikua ana ujuzi wa kupangilia hoja, ukimsikiliza mpaka unasema huyu ndo kiongozi, ila tangu kahamia huko, yan hana tofauti na mwijaku, flowless, pointless, kapoteza mvuto kabisa
Amekumbwa na ugonjwa unaitwa brain stagnation na kigugumizi cha uzeeni. He's become more than hopeless material!
 
Wakuu,

Mambo yanazidi kunoga huko, ni mwendo wa kupondana kwa kwenda mbere!

====

“Nchi yetu ina utulivu mkubwa, tunapendana, tunashirikiana, sisemi mimi napinga mfumo wa vyama vingi, lakini napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama huu wa chadema na vyama vingine. Hawa ni wababaishaji, wakajifunze upya mfumo wa vyama vingi, tuna taifa la kulijenga.

“Kwahiyo nimekuja kwenu ndugu zangu kwamba tuna wajibu wa kumuunga mkono Rais Samia aendelee kuijenga nchi yetu na kuiongoza kwasababu katika kipindi chote Rais Samia amepeleka pesa nyingi katika miradi ya maendeleo.

“Wakina Mbowe wanaosema wanataka kukomboa nchi ni waongo, wanataka kukomboa matumbo yao, hii nchi ilishakombolewa, na ndio maana watu wa Dar waligoma kuandamana.”

“CHADEMA ni kama yule mtu ambaye kuna maua mengi lakini yeye anachagua miba badala ya kufurahia harufu yam aua na uzuri. Wanatafuta visababu vidogo vidogo ambavyo havina tija.”


Jamaa kumbe miaka yote aliyokuwepo huko Chadema alikuwa akiwaongopea watu ili apate kula yake tu ???!

Kweli kumbe Siasa ni uongo uongo tu !
Hivyo na wakati huu anaendeleza mdundo ule ule wa miaka yote 😳🙄 !

Salaleeeh SiHasa ni SiHasa kweli kweli !
 
Wakuu,

Mambo yanazidi kunoga huko, ni mwendo wa kupondana kwa kwenda mbere!

====

“Nchi yetu ina utulivu mkubwa, tunapendana, tunashirikiana, sisemi mimi napinga mfumo wa vyama vingi, lakini napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama huu wa chadema na vyama vingine. Hawa ni wababaishaji, wakajifunze upya mfumo wa vyama vingi, tuna taifa la kulijenga.

“Kwahiyo nimekuja kwenu ndugu zangu kwamba tuna wajibu wa kumuunga mkono Rais Samia aendelee kuijenga nchi yetu na kuiongoza kwasababu katika kipindi chote Rais Samia amepeleka pesa nyingi katika miradi ya maendeleo.

“Wakina Mbowe wanaosema wanataka kukomboa nchi ni waongo, wanataka kukomboa matumbo yao, hii nchi ilishakombolewa, na ndio maana watu wa Dar waligoma kuandamana.”

“CHADEMA ni kama yule mtu ambaye kuna maua mengi lakini yeye anachagua miba badala ya kufurahia harufu yam aua na uzuri. Wanatafuta visababu vidogo vidogo ambavyo havina tija.”


Huyo kapewa tenda ya kuitukana vhadema iliyo mlea na kimkuza. Huyo ndo mtoto wa nuhu mbena mpangwa mjinga
 
Wakuu,

Mambo yanazidi kunoga huko, ni mwendo wa kupondana kwa kwenda mbere!

====

“Nchi yetu ina utulivu mkubwa, tunapendana, tunashirikiana, sisemi mimi napinga mfumo wa vyama vingi, lakini napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama huu wa chadema na vyama vingine. Hawa ni wababaishaji, wakajifunze upya mfumo wa vyama vingi, tuna taifa la kulijenga.

“Kwahiyo nimekuja kwenu ndugu zangu kwamba tuna wajibu wa kumuunga mkono Rais Samia aendelee kuijenga nchi yetu na kuiongoza kwasababu katika kipindi chote Rais Samia amepeleka pesa nyingi katika miradi ya maendeleo.

“Wakina Mbowe wanaosema wanataka kukomboa nchi ni waongo, wanataka kukomboa matumbo yao, hii nchi ilishakombolewa, na ndio maana watu wa Dar waligoma kuandamana.”

“CHADEMA ni kama yule mtu ambaye kuna maua mengi lakini yeye anachagua miba badala ya kufurahia harufu yam aua na uzuri. Wanatafuta visababu vidogo vidogo ambavyo havina tija.”


Msigwa sasa amekuwa kama roboti hana jipya yeye kila akisimama ni chadema tu hana analoongea kuhusu uchumi, matatizo ya ajira, elimu, afya, usalama nk kiasi kwamba amechusha kumsikiliza kwakuwa anachozungumza ninkama sala ya bwana unajua ataanzia hapa atamalizia pale. Sasa wa nini kumsikiliza?
 
Back
Top Bottom