Msigwa: Sisemi napinga mfumo wa vyama vingi bali napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama wa CHADEMA na wengine

Msigwa: Sisemi napinga mfumo wa vyama vingi bali napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama wa CHADEMA na wengine

Mwananchi anatoa maoni na mtazamo wake huru kuhusu jambo fulani, kitu ambacho ni uhuru na haki ya kila mTanzania. Lakini inashangaza eti mtu from no where ana suffocate kwasababu yeye ana mawazo tofauti 🤣

Au uso usiokuwa na matumaini wa Katibu umekukwaza mkuu?
 
Nani ame suffocate Mkuu, mbona unajishtukia chawa?🤣🤣
badala mtu atoe wazo bora zaid, na mtazamo mpya wa maana wenye fikra mbadala dhidi ya hoja ya muungwana, eti mtu anajiskia vibaya 🤣

hii Demokrasia ni kito cha ajabu sana aise dah 🐒
 
CCM imejaza hazina ya watu wa kuisemea chama, tena wafia chama halafu leo eti mchungi mmoja awe ndio anakisemea chama kila mikutano.
Hahaa hii ni aibu kubwa kwa chama na zaidi aibu hiyo iwaendee hao wanaomualika kwenye mikutano yao
 
Mwananchi anatoa maoni na mtazamo wake huru kuhusu jambo fulani, kitu ambacho ni uhuru na haki ya kila mTanzania. Lakini inashangaza eti mtu from no where ana suffocate kwasababu yeye ana mawazo tofauti 🤣
Ogopa wajinga wakiwa wengi Wanaweza Kuchagua Rais, hasa wajinga wanapolindwa na nguvu ya Dola katika kutoa maoni ya kijinga huku watu wenye maarifa wakikaa kimya na kuangalia yanayoendelea
Plato aliona kuwa watu wengi, ambao aliwataja kama "wajinga," hawana uwezo wa kufanya maamuzi bora ya kisiasa kwa sababu hawana uelewa wa kutosha kuhusu mambo muhimu ya kiserikali au kijamii. Kwa hiyo, akasema kwamba uhuru wa watu hawa kutoa maoni na kushiriki katika maamuzi ya umma unaweza kuwa hatari kwa ustawi wa jamii.
Kwa mfano, Plato alilinganisha demokrasia na meli inayoendeshwa na wafanyakazi wasio na uzoefu, huku mabaharia wenye maarifa na uzoefu wakiwa hawazingatiwi. Katika hali kama hiyo, anasema kuwa meli haitaweza kufika salama kwa sababu ya ukosefu wa uongozi wenye hekima na maarifa
 
Wakuu,

Mambo yanazidi kunoga huko, ni mwendo wa kupondana kwa kwenda mbere!

====

“Nchi yetu ina utulivu mkubwa, tunapendana, tunashirikiana, sisemi mimi napinga mfumo wa vyama vingi, lakini napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama huu wa chadema na vyama vingine. Hawa ni wababaishaji, wakajifunze upya mfumo wa vyama vingi, tuna taifa la kulijenga.

“Kwahiyo nimekuja kwenu ndugu zangu kwamba tuna wajibu wa kumuunga mkono Rais Samia aendelee kuijenga nchi yetu na kuiongoza kwasababu katika kipindi chote Rais Samia amepeleka pesa nyingi katika miradi ya maendeleo.

“Wakina Mbowe wanaosema wanataka kukomboa nchi ni waongo, wanataka kukomboa matumbo yao, hii nchi ilishakombolewa, na ndio maana watu wa Dar waligoma kuandamana.”

“CHADEMA ni kama yule mtu ambaye kuna maua mengi lakini yeye anachagua miba badala ya kufurahia harufu yam aua na uzuri. Wanatafuta visababu vidogo vidogo ambavyo havina tija.”




Watu wanatekwa,wanauwawa,wanapokonywa haki ya kuishi yeye yuko yuko.
 
Ogopa wajinga wakiwa wengi Wanaweza Kuchagua Rais, hasa wajinga wanapolindwa na nguvu ya Dola katika kutoa maoni ya kijinga huku watu wenye maarifa wakikaa kimya na kuangalia yanayoendelea
Plato aliona kuwa watu wengi, ambao aliwataja kama "wajinga," hawana uwezo wa kufanya maamuzi bora ya kisiasa kwa sababu hawana uelewa wa kutosha kuhusu mambo muhimu ya kiserikali au kijamii. Kwa hiyo, akasema kwamba uhuru wa watu hawa kutoa maoni na kushiriki katika maamuzi ya umma unaweza kuwa hatari kwa ustawi wa jamii.
Kwa mfano, Plato alilinganisha demokrasia na meli inayoendeshwa na wafanyakazi wasio na uzoefu, huku mabaharia wenye maarifa na uzoefu wakiwa hawazingatiwi. Katika hali kama hiyo, anasema kuwa meli haitaweza kufika salama kwa sababu ya ukosefu wa uongozi wenye hekima na maarifa
hakuna haya ya kuogopa unless huna hoja au huna mipango....

Muerevu badala ya kutoa mawazo mapya na bora zaid ya wengine, Lakini pia badala ya kutoa maoni, mtazamo na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi, unatoa mihemko 🤣

Aristotle alisha sema, if you isolate yourself from taking part in political administrations by making yourself exceptional, educated, more superior than others others but you are unable to mobilize or convince one person to think like you, then don't blame to be ruled by a fool..

kujipa umuhimu wa kijinga na mihemko ni vitu useless kabisa kwenye siasa na uongozi, wakati huo huwezi kubadili mtazamo wa muungwana hata moja uwe sawa au kama wako, unalaumu tu ooh sijui nani wajinga 🤣
 
Wakuu,

Mambo yanazidi kunoga huko, ni mwendo wa kupondana kwa kwenda mbere!

====

“Nchi yetu ina utulivu mkubwa, tunapendana, tunashirikiana, sisemi mimi napinga mfumo wa vyama vingi, lakini napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama huu wa chadema na vyama vingine. Hawa ni wababaishaji, wakajifunze upya mfumo wa vyama vingi, tuna taifa la kulijenga.

“Kwahiyo nimekuja kwenu ndugu zangu kwamba tuna wajibu wa kumuunga mkono Rais Samia aendelee kuijenga nchi yetu na kuiongoza kwasababu katika kipindi chote Rais Samia amepeleka pesa nyingi katika miradi ya maendeleo.

“Wakina Mbowe wanaosema wanataka kukomboa nchi ni waongo, wanataka kukomboa matumbo yao, hii nchi ilishakombolewa, na ndio maana watu wa Dar waligoma kuandamana.”

“CHADEMA ni kama yule mtu ambaye kuna maua mengi lakini yeye anachagua miba badala ya kufurahia harufu yam aua na uzuri. Wanatafuta visababu vidogo vidogo ambavyo havina tija.”


His personal integrity has gone.
 
Huo uhuru unao uhubiri hapa ..mbona wakiongea wengine mnawateka na kuwaua!! ... Usiwe mjinga kiasi hicho.
Mimi ndo nawateka?
Au nyie wapumbavu wa Ccm ndo mnatekana ma wapumbavu wenzenu wa chadema?
 
Back
Top Bottom