Mwananchi anatoa maoni na mtazamo wake huru kuhusu jambo fulani, kitu ambacho ni uhuru na haki ya kila mTanzania. Lakini inashangaza eti mtu from no where ana suffocate kwasababu yeye ana mawazo tofauti 🤣
badala mtu atoe wazo bora zaid, na mtazamo mpya wa maana wenye fikra mbadala dhidi ya hoja ya muungwana, eti mtu anajiskia vibaya 🤣Nani ame suffocate Mkuu, mbona unajishtukia chawa?🤣🤣
ni miongoni mwa wanao suffocate sio gentleman 🤣Au uso usiokuwa na matumaini wa Katibu umekukwaza mkuu?
ni miongoni mwa wanao suffocate sio gentleman 🤣
Tumbo linambabaisha,siku akipata uhakika kimywaaa kabisa wala hutamsikia bado wenzie aliowafuata wanamkamatia mkono kwenye mchuzi wa moto.Ili waendelee kufaidi wenyewe.Huyu ifike hatua anyamaze .....Anajiaibisha tu wenzake wanamchora.
Ogopa wajinga wakiwa wengi Wanaweza Kuchagua Rais, hasa wajinga wanapolindwa na nguvu ya Dola katika kutoa maoni ya kijinga huku watu wenye maarifa wakikaa kimya na kuangalia yanayoendeleaMwananchi anatoa maoni na mtazamo wake huru kuhusu jambo fulani, kitu ambacho ni uhuru na haki ya kila mTanzania. Lakini inashangaza eti mtu from no where ana suffocate kwasababu yeye ana mawazo tofauti 🤣
Wakuu,
Mambo yanazidi kunoga huko, ni mwendo wa kupondana kwa kwenda mbere!
====
“Nchi yetu ina utulivu mkubwa, tunapendana, tunashirikiana, sisemi mimi napinga mfumo wa vyama vingi, lakini napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama huu wa chadema na vyama vingine. Hawa ni wababaishaji, wakajifunze upya mfumo wa vyama vingi, tuna taifa la kulijenga.
“Kwahiyo nimekuja kwenu ndugu zangu kwamba tuna wajibu wa kumuunga mkono Rais Samia aendelee kuijenga nchi yetu na kuiongoza kwasababu katika kipindi chote Rais Samia amepeleka pesa nyingi katika miradi ya maendeleo.
“Wakina Mbowe wanaosema wanataka kukomboa nchi ni waongo, wanataka kukomboa matumbo yao, hii nchi ilishakombolewa, na ndio maana watu wa Dar waligoma kuandamana.”
“CHADEMA ni kama yule mtu ambaye kuna maua mengi lakini yeye anachagua miba badala ya kufurahia harufu yam aua na uzuri. Wanatafuta visababu vidogo vidogo ambavyo havina tija.”
Lazima atembee na CDM bampa to bampaKashindwa kabisa ku move on
Kwa miaka mitano zimefika na kuzidi, ila tangu Msigwa arudi CCM Kanenepa, huko chadema alikuwa anateseka tuTrillion 11 zilizopelekwa Kigoma ni za sarafu gani ChoiceVariable chiembe ?
Unaweza kuwa ni mmoja kati ya wale wagonjwa wa akili kati ya wanna .... Wewe ni mmoja wao.... Hazikutoshi...Sindano imeingia mahali pakee
Huo uhuru unao uhubiri hapa ..mbona wakiongea wengine mnawateka na kuwaua!! ... Usiwe mjinga kiasi hicho.Anatumia haki yake ya kikatiba Freedom of expression kwahiyo aachwe
hakuna haya ya kuogopa unless huna hoja au huna mipango....Ogopa wajinga wakiwa wengi Wanaweza Kuchagua Rais, hasa wajinga wanapolindwa na nguvu ya Dola katika kutoa maoni ya kijinga huku watu wenye maarifa wakikaa kimya na kuangalia yanayoendelea
Plato aliona kuwa watu wengi, ambao aliwataja kama "wajinga," hawana uwezo wa kufanya maamuzi bora ya kisiasa kwa sababu hawana uelewa wa kutosha kuhusu mambo muhimu ya kiserikali au kijamii. Kwa hiyo, akasema kwamba uhuru wa watu hawa kutoa maoni na kushiriki katika maamuzi ya umma unaweza kuwa hatari kwa ustawi wa jamii.
Kwa mfano, Plato alilinganisha demokrasia na meli inayoendeshwa na wafanyakazi wasio na uzoefu, huku mabaharia wenye maarifa na uzoefu wakiwa hawazingatiwi. Katika hali kama hiyo, anasema kuwa meli haitaweza kufika salama kwa sababu ya ukosefu wa uongozi wenye hekima na maarifa
His personal integrity has gone.Wakuu,
Mambo yanazidi kunoga huko, ni mwendo wa kupondana kwa kwenda mbere!
====
“Nchi yetu ina utulivu mkubwa, tunapendana, tunashirikiana, sisemi mimi napinga mfumo wa vyama vingi, lakini napinga mfumo wa vyama vingi vya ubabaishaji kama huu wa chadema na vyama vingine. Hawa ni wababaishaji, wakajifunze upya mfumo wa vyama vingi, tuna taifa la kulijenga.
“Kwahiyo nimekuja kwenu ndugu zangu kwamba tuna wajibu wa kumuunga mkono Rais Samia aendelee kuijenga nchi yetu na kuiongoza kwasababu katika kipindi chote Rais Samia amepeleka pesa nyingi katika miradi ya maendeleo.
“Wakina Mbowe wanaosema wanataka kukomboa nchi ni waongo, wanataka kukomboa matumbo yao, hii nchi ilishakombolewa, na ndio maana watu wa Dar waligoma kuandamana.”
“CHADEMA ni kama yule mtu ambaye kuna maua mengi lakini yeye anachagua miba badala ya kufurahia harufu yam aua na uzuri. Wanatafuta visababu vidogo vidogo ambavyo havina tija.”
Mimi ndo nawateka?Huo uhuru unao uhubiri hapa ..mbona wakiongea wengine mnawateka na kuwaua!! ... Usiwe mjinga kiasi hicho.