JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari kutoka Serena, Dar es Salaam, Machi 1, 2025.
Pia amewahasa vijana kuendelea kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ili kuisaidia serikali kutokomeza ugonja huu hatari.