Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Jenga picha Pele Mchawi wa Mpira, Huyu katika Biblia ya Soka ni Moses. Ni nabii mkubwa sana. Just imajini akiwa kitandani aambiwe Lione Messi anafananishwa naye. Atakata roho hapo hapo kwa uchungu.
Msije mwambia jambo hili. Please sisi tuliokuwepo toka zamani tunao heshimu mpira na watu wake. Tuombee asije akasikia kuna vijana wanamkosea adabu kiasi hiki.
Nimeumia sana. Unaanzaje kumlinganisha Messi na Pele? Ni kuukosea mpira wa Miguu. Ni kuwatukana wahenga,mababu na watu wa kale wakubwa katika koo zetu.
Miaka ya nyuma mtu angechapwa viboko 100 na akiwa anachapwa akifuta wanaanza upya. Tena hadharani kabisa. Halafu angetengwa kwa muda usiopungua miezi mitatu akakae huko katikati ya pori la Mikumi, Serengeti au Manyara. Halafu arudi kuja omba radhi.
Nyie dot com. Mtaenda motoni vibaya sana. Pele msimfananishe na Messi. Hata kidogo. Msishiriki dhambi kama hii ambayo inakwepeka kirahisi tu. Na kama hata uliwahi fananisha watu hawa nenda katubu. Na utuombe radhi sisi kizazi cha 60s na kuendelea kasoro 90s na kuendelea.
Jamani.... Kwa nini mnapenda kwenda motoni kwa mambo yanayoepukika. Pele nakuomba uwasamehe hawa watoto. Hawajui wasemalo. Tusamehe na sisi kwa kuwazaa watoto wa namna hii baba. Tutajirekebisha...na tutajitahidi sana kuwaelewesha. Zaidi zaidi tutawaambia watu watumie kinga.
TAHADHALI.
MSIMFANANISHE PELE NA MAMBO MEPESI MEPESI.
Msije mwambia jambo hili. Please sisi tuliokuwepo toka zamani tunao heshimu mpira na watu wake. Tuombee asije akasikia kuna vijana wanamkosea adabu kiasi hiki.
Nimeumia sana. Unaanzaje kumlinganisha Messi na Pele? Ni kuukosea mpira wa Miguu. Ni kuwatukana wahenga,mababu na watu wa kale wakubwa katika koo zetu.
Miaka ya nyuma mtu angechapwa viboko 100 na akiwa anachapwa akifuta wanaanza upya. Tena hadharani kabisa. Halafu angetengwa kwa muda usiopungua miezi mitatu akakae huko katikati ya pori la Mikumi, Serengeti au Manyara. Halafu arudi kuja omba radhi.
Nyie dot com. Mtaenda motoni vibaya sana. Pele msimfananishe na Messi. Hata kidogo. Msishiriki dhambi kama hii ambayo inakwepeka kirahisi tu. Na kama hata uliwahi fananisha watu hawa nenda katubu. Na utuombe radhi sisi kizazi cha 60s na kuendelea kasoro 90s na kuendelea.
Jamani.... Kwa nini mnapenda kwenda motoni kwa mambo yanayoepukika. Pele nakuomba uwasamehe hawa watoto. Hawajui wasemalo. Tusamehe na sisi kwa kuwazaa watoto wa namna hii baba. Tutajirekebisha...na tutajitahidi sana kuwaelewesha. Zaidi zaidi tutawaambia watu watumie kinga.
TAHADHALI.
MSIMFANANISHE PELE NA MAMBO MEPESI MEPESI.