United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Ni kitu Gani hicho kafanya kweny soka had asiwe kiti kimoja na CR7Messi usimuweke daraja moja na CR7 Ni dhambi kubwa sana
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kitu Gani hicho kafanya kweny soka had asiwe kiti kimoja na CR7Messi usimuweke daraja moja na CR7 Ni dhambi kubwa sana
Huyu pigmiss ambae anakuzwa na vyombo vya habari ambavyo vinahongwa na makampuni yanayomdhamini ndio anafanishwa na PELE?.
NB: UKITAKA KUJUA KUKUZWA (KUBEBWA) KWAKE REJELEA PENALTY ZA MCHONGO KWENYE WC NA COPA AMERICA KUFANYIKA MARA 4 KWENYE MIAKA 8 HAYA YOTE YAMEFANYWA ILI DWARF ASHINDE HAYO MAKOMBE NA KWA UFAHAMU ZAIDI REJELEA CHANZO CHA FIFA KUVUNJA USHIRIKIANO NA BALLON D'OR.
MESSI MOST OVERRATED FOOTBALLER EVER.