Msijemwambia Pele kuwa anafananishwa na Messi

Mjadala mmeuleta tena kwa heading tofauti. Huu mjadala ushafungwa tangu dec 18. 2022. Wakati king Messiah alipovikwa joha na kukabidhiwa kombe la dunia mbele ya watu zaidi ya billion 5 ulimwenguni kote.

TeamCR7 mnateseka sana. Kazi kuhamisha magoli tu.
 
Hahaaaa!!!dawa ni chungu lakin utaimeza tu utake uctake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…