magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Edo Kumwembe: ''Nasikia tu kuna bifu Wanigeria vs Watanzania mitandaoni.NINACHOJUA ni hiki hapa, zamani walikuwa wanatuzidi kuuza unga, sasa hivi tumewazidi.
Wakatuzidi kucheza filamu, tukawaiga sana tukawakaribia, Kanumba alipofariki wakarudi fomu tena wakatuacha.
Wakatuzidi muziki, wameona Diamond kaja juu, wamenuna.Wakatuzidi Big brother wakaoa na dada yetu, lakini sasa tumewazidi tena Big Brother, kwanini wasinune?''.
Wakatuzidi kucheza filamu, tukawaiga sana tukawakaribia, Kanumba alipofariki wakarudi fomu tena wakatuacha.
Wakatuzidi muziki, wameona Diamond kaja juu, wamenuna.Wakatuzidi Big brother wakaoa na dada yetu, lakini sasa tumewazidi tena Big Brother, kwanini wasinune?''.