imekubali isikilizeYuko wapi sasa huyo kiroboto sijui chawa !!
Nchi hii hatuwezi kuendelea kamwe kama nchi kwa akili butu kama hizi.Jionee vituko vya machawa
Aibu unaona wewe,ndio hivyo sasa kaeleza ukweli na huo ndio uhalisia..Jionee vituko vya machawa
Umri ule ni wa kufanya jiving hivyo? kujikomba kwa watoto wadogo!Aibu unaona wewe,ndio hivyo sasa kaeleza ukweli na huo ndio uhalisia..
Kinachokusumbua hapa ni chuki baada ya kuona Rais Samia kavunja mifupa iliyowashinda wengi..
Hata Lukuvi Leo Amesema toka amekuwa Mbunge kwa mara ya kwanza jimboni kwake watapata Maji zaidi bili.81 zimemwagwa haijawahi tokea..
Hali iko hivyo Nchi nzima na kwenye sekta zote..
exactly Lugola typeNchi hii hatuwezi kuendelea kamwe kama nchi kwa akili butu kama hizi.
Bora upigane kivyako utoboe na sio kama taifa.
Lidog flani hivi.
Lugola type
Anajikomba kwa nani hasa? Jah people ni tajiri ukoo wenu mtakufa na kuzaliwa kamwe hamtakuja kumfikia..Umri ule ni wa kufanya jiving hivyo? kujikomba kwa watoto wadogo!
Kumbe ndiyo maana unashambuliwa hapa JF. Nimeona watu wanakusakama kuwa ....... if that is the kind of thinking, then you need to be blocked kupunguza wastage of time and MBs!Anajikomba kwa nani hasa? Jah people ni tajiri ukoo wenu mtakufa na kuzaliwa kamwe hamtakuja kumfikia..
Anaongea from heart hapa ni whether unapenda au hupendi aliyoyaongea ndio ukweli,kwa Samia ni mwendo wa mabilioni tuu.
Kwani wewe ni mgeni na jf? Kwani hujui humu wamejaa Chadomo?Kumbe ndiyo maana unashambuliwa hapa JF. Nimeona watu wanakusakama kuwa ....... if that is the kind of thinking, then you need to be blocked kupunguza wastage of time and MBs!
Wivu unawatesa watu humu JF, ukiwa tofauti nao kimawazo na kimaoni wewe tayari ni chawa.Aibu unaona wewe,ndio hivyo sasa kaeleza ukweli na huo ndio uhalisia..
Kinachokusumbua hapa ni chuki baada ya kuona Rais Samia kavunja mifupa iliyowashinda wengi..
Hata Lukuvi Leo Amesema toka amekuwa Mbunge kwa mara ya kwanza jimboni kwake watapata Maji zaidi bili.81 zimemwagwa haijawahi tokea..
Hali iko hivyo Nchi nzima na kwenye sekta zote..
Huyu Nchi za wenzetu anapotezwa haraka sana ila kibongobongo ndio kwanza watu watapiga makofi.imekubali isikilize
Hakuna kauli mpya hapo!!hizo zote na zaidi yake kipindi cha jiwe waliyasema, siasa za Afrika bila unafiki haziendi.Aibu unaona wewe,ndio hivyo sasa kaeleza ukweli na huo ndio uhalisia..
Kinachokusumbua hapa ni chuki baada ya kuona Rais Samia kavunja mifupa iliyowashinda wengi..
Hata Lukuvi Leo Amesema toka amekuwa Mbunge kwa mara ya kwanza jimboni kwake watapata Maji zaidi bili.81 zimemwagwa haijawahi tokea..
Hali iko hivyo Nchi nzima na kwenye sekta zote..
Samia ni Rais wa vitendo hakuna kauli ya sifa za kipuuzi hapo.Hakuna kauli mpya hapo!!hizo zote na zaidi yake kipindi cha jiwe waliyasema, siasa za Afrika bila unafiki haziendi.
Huyu si Deo Sanga a.k.a Eltwege.Jionee vituko vya machawa