Jionee vituko vya machawa
"Sijapata kuona haki ya Mungu! Awamu ya sita imemwaga mahela mengi ya maendeleo haijapata kutokea tangu nimekuwa senator wa bunge hili, haki ya Mungu! Zimemwagika hela za maendeleo mpaka natizama nasema; mama Mungu akujaalie sana."
"Sijapata kuona haki ya Mungu! Awamu ya sita imemwaga mahela mengi ya maendeleo haijapata kutokea tangu nimekuwa senator wa bunge hili, haki ya Mungu! Zimemwagika hela za maendeleo mpaka natizama nasema; mama Mungu akujaalie sana."