Msikilize "Chawa" per se wa 2022, CCM vituko!

Uhalisia gani wewe,Tofauti yake na wewe ni kwamba huyo ni chawa mzee na wewe ni chawa kijana.Mengine ni mbwembwe tu za kujikomba kwasababu mnalamba asali.
 
Uhalisia gani wewe,Tofauti yake na wewe ni kwamba huyo ni chawa mzee na wewe ni chawa kijana.Mengine ni mbwembwe tu za kujikomba kwasababu mnalamba asali.
Utaishia hivyo hivyo, tukutane 2025 ndio tutajua nani anafanya mbwewe na nani anaongea upumbavu.

By the way mwanasiasa usipojikomba kwa wananchi wapiga kura unataka ajikombe kwa nani?
 
Nchi ngumu Sana hii, mbunge wa makambako huyo, jah people
 
Huu ujinga ndiyo unatuchelewesha kuifikia neema waliyo nayo wakenya. Jiyu lina mwili mkubwa lkn akili ndogo Kama ya uduvi.

wakenya wana neema gani wewe nzi??

jiwe kafariki lakini ulivyo kahaba bado huridhiki na mama yako unatamani vya kenya.
 
Hawa wabunge wakiongea mbele ya Raisi unashindwa kuelewa ni wabunge kweli hawa au ni wapiga debe wa stand!
Ni mwendo wa kupayuka na kupiga makelele bila mpangilio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…