Kwa hili sawaSamia ni Rais wa vitendo hakuna kauli ya sifa za kipuuzi hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hili sawaSamia ni Rais wa vitendo hakuna kauli ya sifa za kipuuzi hapo.
🤣🤣🤣🤣Jionee vituko vya machawa
Uhalisia gani wewe,Tofauti yake na wewe ni kwamba huyo ni chawa mzee na wewe ni chawa kijana.Mengine ni mbwembwe tu za kujikomba kwasababu mnalamba asali.Aibu unaona wewe,ndio hivyo sasa kaeleza ukweli na huo ndio uhalisia..
Kinachokusumbua hapa ni chuki baada ya kuona Rais Samia kavunja mifupa iliyowashinda wengi..
Hata Lukuvi Leo Amesema toka amekuwa Mbunge kwa mara ya kwanza jimboni kwake watapata Maji zaidi bili.81 zimemwagwa haijawahi tokea..
Hali iko hivyo Nchi nzima na kwenye sekta zote..
Utaishia hivyo hivyo, tukutane 2025 ndio tutajua nani anafanya mbwewe na nani anaongea upumbavu.Uhalisia gani wewe,Tofauti yake na wewe ni kwamba huyo ni chawa mzee na wewe ni chawa kijana.Mengine ni mbwembwe tu za kujikomba kwasababu mnalamba asali.
🤣🤣🤣Nchi ngumu Sana hii, mbunge wa makambako huyo, jah people
Taratibu jamaani matusi sio sehemu ua ustaraabuSperm za mbwa umejaa mausaa kichwani.
Huu ujinga ndiyo unatuchelewesha kuifikia neema waliyo nayo wakenya. Jiyu lina mwili mkubwa lkn akili ndogo Kama ya uduvi.
Kama hawa ndio anlina ya viongozi tulionao, basi maendeleo ya kweli ni ndoto za mchqnaJionee vituko vya machawa
Huyu si ndiye alikuwa anasema JPM.aongezewe muda au Amegeukia.kwa Mama SamiaJionee vituko vya machawa
Kama vipi kazikwe na jiwe kule Chatowakenya wana neema gani wewe nzi??
jiwe kafariki lakini ulivyo kahaba bado huridhiki na mama yako unatamani vya kenya.