Msikilize Florent lbenge Kocha wa AS VITA, akiizungumzia SIMBA

Msikilize Florent lbenge Kocha wa AS VITA, akiizungumzia SIMBA

Umetunga lihadithi lako unawapotezea watu muda wa ku comment kwenye ujinga. Hayo maneno aliyasema lini na wapi na kwa nini usiweke link ya sehemu uliyoipatia taarifa yako tuhakiki kama habari ni ya kweli?
 
.
Kocha Mkuu wa klabu ya As Vita Club Florent Ibange amesema kuwa hakuwahi kutegemea kuona katika kundi lao ambalo walipangwa kundi D kama klabu ya Simba ingepita na kutinga hatua ya robo fainali kwani yeye kama kocha wa As Vita Club katika kundi hilo alitegemea kuona timu yake ikipata upinzani kutoka kwa Al Ahly pekee
..
Pia Florent Ibange amesema kuwa alichokutananacho katika kundi hilo hawezi kusahau timu ambayo alidhani ni mbovu imepita
.
Florent Ibange nilikosea kuitazama Simba kama ni timu mbovu kiukweli Simba Sio timu ya kuiletea utani katika mechi muhimu nimengudua kuwa timu hii huwa inapambana zaidi katika mechi ambazo zinaitoa timu sehemu moja kwenda sehemu nyingine
.
Pia nilishangazwa na aina ya wachezaji ambao ni bora wakiwa wako katika timu hii ya Simba najiuliza hawa wachezaji Simba imewatoa wapi wakati As Vita Club inasaka wachezaji kila kukicha inashindwa kuwapata wachezaji wenye ubora kama walioko pale Simba
.
Kikweli ni timu yenye wachezaji wenye vipaji vikubwa nimevutiwa sana na uwezo wa wachezaji wao Simba Sc
.
Timu hiii inaweza kufika mbali kama wataonyesha ushirikiano kwa kocha wao Aussems ni kocha bora sana hata Mimi siku zote huwa namkubali sana Aussems
.
As Vita tumefungwa na Simba licha ya kuwa inaumiza ila haya ni matokeo ya kimchezo kikubwa Simba wanastahili pongezi
.
Kocha wa As Vita Club Florent Ibange.View attachment 1048875View attachment 1048877View attachment 1048880

Sent using Jamii Forums mobile app
Iko wapi hiyo audio tumsikilize?

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mwalim wa As Vita ajakosea alichosema, Simba bado haiaminiki, wala na mashabiki wake, wala na wachambuzi wa michezo hapa nyumabani, na wengi tulizima radio na TV wakati mchezo ukiendelea,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Kocha Mkuu wa klabu ya As Vita Club Florent Ibange amesema kuwa hakuwahi kutegemea kuona katika kundi lao ambalo walipangwa kundi D kama klabu ya Simba ingepita na kutinga hatua ya robo fainali kwani yeye kama kocha wa As Vita Club katika kundi hilo alitegemea kuona timu yake ikipata upinzani kutoka kwa Al Ahly pekee
..
Pia Florent Ibange amesema kuwa alichokutananacho katika kundi hilo hawezi kusahau timu ambayo alidhani ni mbovu imepita
.
Florent Ibange nilikosea kuitazama Simba kama ni timu mbovu kiukweli Simba Sio timu ya kuiletea utani katika mechi muhimu nimengudua kuwa timu hii huwa inapambana zaidi katika mechi ambazo zinaitoa timu sehemu moja kwenda sehemu nyingine
.
Pia nilishangazwa na aina ya wachezaji ambao ni bora wakiwa wako katika timu hii ya Simba najiuliza hawa wachezaji Simba imewatoa wapi wakati As Vita Club inasaka wachezaji kila kukicha inashindwa kuwapata wachezaji wenye ubora kama walioko pale Simba
.
Kikweli ni timu yenye wachezaji wenye vipaji vikubwa nimevutiwa sana na uwezo wa wachezaji wao Simba Sc
.
Timu hiii inaweza kufika mbali kama wataonyesha ushirikiano kwa kocha wao Aussems ni kocha bora sana hata Mimi siku zote huwa namkubali sana Aussems
.
As Vita tumefungwa na Simba licha ya kuwa inaumiza ila haya ni matokeo ya kimchezo kikubwa Simba wanastahili pongezi
.
Kocha wa As Vita Club Florent Ibange.View attachment 1048875View attachment 1048877View attachment 1048880

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka video tumuone wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As vita walicheza na vībwengo siku ile haswa kipindi cha pili ndo viliingia uwanjani
 
Too much hype! Mnaboa.
Mikia mtarudi tu mchangani muda si mrefu.
Badala ya kuomba wafanye vizuri nanyi mpate nafasi ya kushiriki mashindano makubwa wewe unaombea washindwe?
 
Badala ya kuomba wafanye vizuri nanyi mpate nafasi ya kushiriki mashindano makubwa wewe unaombea washindwe?
Kwani unafikiri hasidi ana sababu?Yeye huyo hasidi anaposhindwa kwenye mipango yake basi humuhasidi kila alie mbele yake.Hata kama mafanikio ya mwenzake yamtamletea yeye faida japo kidogo.
 
As vita walicheza na vībwengo siku ile haswa kipindi cha pili ndo viliingia uwanjani
Kweli ndio maana kila mkicheza nao mnapaki basi. Bila ya basi ingekuwa balaa. Vipi zile ngonjera za kupuliziwa dawa zime expire?
Sasa mmekuja na vibwengo?
 
Kweli ndio maana kila mkicheza nao mnapaki basi. Bila ya basi ingekuwa balaa. Vipi zile ngonjera za kupuliziwa dawa zime expire?
Sasa mmekuja na vibwengo?
Aisee wewe mbumbumbu mpurura
 
Back
Top Bottom