Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ubishUmetunga lihadithi lako unawapotezea watu muda wa ku comment kwenye ujinga. Hayo maneno aliyasema lini na wapi na kwa nini usiweke link ya sehemu uliyoipatia taarifa yako tuhakiki kama habari ni ya kweli?
Iko wapi hiyo audio tumsikilize?.
Kocha Mkuu wa klabu ya As Vita Club Florent Ibange amesema kuwa hakuwahi kutegemea kuona katika kundi lao ambalo walipangwa kundi D kama klabu ya Simba ingepita na kutinga hatua ya robo fainali kwani yeye kama kocha wa As Vita Club katika kundi hilo alitegemea kuona timu yake ikipata upinzani kutoka kwa Al Ahly pekee
..
Pia Florent Ibange amesema kuwa alichokutananacho katika kundi hilo hawezi kusahau timu ambayo alidhani ni mbovu imepita
.
Florent Ibange nilikosea kuitazama Simba kama ni timu mbovu kiukweli Simba Sio timu ya kuiletea utani katika mechi muhimu nimengudua kuwa timu hii huwa inapambana zaidi katika mechi ambazo zinaitoa timu sehemu moja kwenda sehemu nyingine
.
Pia nilishangazwa na aina ya wachezaji ambao ni bora wakiwa wako katika timu hii ya Simba najiuliza hawa wachezaji Simba imewatoa wapi wakati As Vita Club inasaka wachezaji kila kukicha inashindwa kuwapata wachezaji wenye ubora kama walioko pale Simba
.
Kikweli ni timu yenye wachezaji wenye vipaji vikubwa nimevutiwa sana na uwezo wa wachezaji wao Simba Sc
.
Timu hiii inaweza kufika mbali kama wataonyesha ushirikiano kwa kocha wao Aussems ni kocha bora sana hata Mimi siku zote huwa namkubali sana Aussems
.
As Vita tumefungwa na Simba licha ya kuwa inaumiza ila haya ni matokeo ya kimchezo kikubwa Simba wanastahili pongezi
.
Kocha wa As Vita Club Florent Ibange.View attachment 1048875View attachment 1048877View attachment 1048880
Sent using Jamii Forums mobile app
Peleka makalio kule. Simba haina njaa. Watamuuza mchezaji wakipenda hakuna mwenye ubavu wa kuwalazimisha.Kagere huyo As Vita.
KPeleka makalio kule. Simba haina njaa. Watamuuza mchezaji wakipenda hakuna mwenye ubavu wa kuwalazimisha.
Weka video tumuone wenyewe..
Kocha Mkuu wa klabu ya As Vita Club Florent Ibange amesema kuwa hakuwahi kutegemea kuona katika kundi lao ambalo walipangwa kundi D kama klabu ya Simba ingepita na kutinga hatua ya robo fainali kwani yeye kama kocha wa As Vita Club katika kundi hilo alitegemea kuona timu yake ikipata upinzani kutoka kwa Al Ahly pekee
..
Pia Florent Ibange amesema kuwa alichokutananacho katika kundi hilo hawezi kusahau timu ambayo alidhani ni mbovu imepita
.
Florent Ibange nilikosea kuitazama Simba kama ni timu mbovu kiukweli Simba Sio timu ya kuiletea utani katika mechi muhimu nimengudua kuwa timu hii huwa inapambana zaidi katika mechi ambazo zinaitoa timu sehemu moja kwenda sehemu nyingine
.
Pia nilishangazwa na aina ya wachezaji ambao ni bora wakiwa wako katika timu hii ya Simba najiuliza hawa wachezaji Simba imewatoa wapi wakati As Vita Club inasaka wachezaji kila kukicha inashindwa kuwapata wachezaji wenye ubora kama walioko pale Simba
.
Kikweli ni timu yenye wachezaji wenye vipaji vikubwa nimevutiwa sana na uwezo wa wachezaji wao Simba Sc
.
Timu hiii inaweza kufika mbali kama wataonyesha ushirikiano kwa kocha wao Aussems ni kocha bora sana hata Mimi siku zote huwa namkubali sana Aussems
.
As Vita tumefungwa na Simba licha ya kuwa inaumiza ila haya ni matokeo ya kimchezo kikubwa Simba wanastahili pongezi
.
Kocha wa As Vita Club Florent Ibange.View attachment 1048875View attachment 1048877View attachment 1048880
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]As vita walicheza na vībwengo siku ile haswa kipindi cha pili ndo viliingia uwanjani
As vita walicheza na vībwengo siku ile haswa kipindi cha pili ndo viliingia uwanjani
Badala ya kuomba wafanye vizuri nanyi mpate nafasi ya kushiriki mashindano makubwa wewe unaombea washindwe?Too much hype! Mnaboa.
Mikia mtarudi tu mchangani muda si mrefu.
Kwani unafikiri hasidi ana sababu?Yeye huyo hasidi anaposhindwa kwenye mipango yake basi humuhasidi kila alie mbele yake.Hata kama mafanikio ya mwenzake yamtamletea yeye faida japo kidogo.Badala ya kuomba wafanye vizuri nanyi mpate nafasi ya kushiriki mashindano makubwa wewe unaombea washindwe?
Kweli ndio maana kila mkicheza nao mnapaki basi. Bila ya basi ingekuwa balaa. Vipi zile ngonjera za kupuliziwa dawa zime expire?As vita walicheza na vībwengo siku ile haswa kipindi cha pili ndo viliingia uwanjani
Aisee wewe mbumbumbu mpururaKweli ndio maana kila mkicheza nao mnapaki basi. Bila ya basi ingekuwa balaa. Vipi zile ngonjera za kupuliziwa dawa zime expire?
Sasa mmekuja na vibwengo?