Msikilize Harmonize akihojiwa na Salim Kikeke wa BBC, anena mazito

Msikilize Harmonize akihojiwa na Salim Kikeke wa BBC, anena mazito

Dogo anaulizwa maswali kiswahili halafu anajikuta anajua kuchanganya kiingereza kwenye kujibu. Zero kabisa.
 
Kuna wimbo remix ameuimba pale bbc leo mabata wadogo wanaogelea kwa kwa kwa kwa..umebamba hatariii.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Huyu kumbe bado mshambaa...
Mpuuzi kabisa.

Hata Wema siku hizi haongei hivyo...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Maelezo gani yana
Hakika kwa maelezo aliyoyatoa Harmonize ni wazi ameshindwa kuondoka WCB na mimi nasema wazi Harmonize ameshindwa kuondoka kabisa WCB

Naona alifanya haraka sana kutaka kujitoa WCB ndio maana hana majibu kabisa na limekuwa swali baya sana kwake na linamtesa!

Alitakiwa kujipanga kwanza kabla ya kuomba kujitoa WCB.....
yo kufanya uone kashindwa kuondoka? Ameulizwa kuhusu kuondoka na amesema hilo kwa sasa hawezi kuliongelea, ana sababu zake. Kikubwa ni kuwa ameanya show peke yake bila WCB na amejaza ukumbi vibaya mno, hili ndilo la maana kwake na wanao mpa support, hayo mengine ni UCHAWI tu, na hata dondoka ng'o kwanza AHATEGEMI KUMUEGEMEA MTU.
 
Back
Top Bottom