Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaNa kavaa miwani ya giza mahali palipo na giza...
Kwahiyo mpaka sasa hamna aliyeangalia jamani tujue kilichozungumzwa
Walipoambiwa elimu ni muhimu waliona ni mizinguo tu.Dogo anaulizwa maswali kiswahili halafu anajikuta anajua kuchanganya kiingereza kwenye kujibu. Zero kabisa.
Ebu niambie basi mangi [emoji847]Mimi nimeangalia yote
Bando zimepanda bei mtu anaanza kutuwekea tena video hapaHahaahaha...
Ishu ya bundle kwakweli ni utata munoo...
Na kavaa miwani ya giza mahali palipo na giza...
Sasa mtu ameomba tumwambie sisi tulioangalia
Nmemwambia tulichoona au hujaona bado
Mtajuaje kama ni Mmakonde na yupo UlayaDogo anaulizwa maswali kiswahili halafu anajikuta anajua kuchanganya kiingereza kwenye kujibu. Zero kabisa.
Tuangalie pamoja wapiii
yo kufanya uone kashindwa kuondoka? Ameulizwa kuhusu kuondoka na amesema hilo kwa sasa hawezi kuliongelea, ana sababu zake. Kikubwa ni kuwa ameanya show peke yake bila WCB na amejaza ukumbi vibaya mno, hili ndilo la maana kwake na wanao mpa support, hayo mengine ni UCHAWI tu, na hata dondoka ng'o kwanza AHATEGEMI KUMUEGEMEA MTU.Hakika kwa maelezo aliyoyatoa Harmonize ni wazi ameshindwa kuondoka WCB na mimi nasema wazi Harmonize ameshindwa kuondoka kabisa WCB
Naona alifanya haraka sana kutaka kujitoa WCB ndio maana hana majibu kabisa na limekuwa swali baya sana kwake na linamtesa!
Alitakiwa kujipanga kwanza kabla ya kuomba kujitoa WCB.....
Ebu niambie basi mangi [emoji847]
Hahahah ebu nitumie basi lile la mwezi mangiNataka nikutumie bando usikilize wenyewe
Tunaangalia vipi yaaniYouTube
Natumaje sasa mama?Hahahah ebu nitumie basi lile la mwezi mangi