Msikilize mwananchi aliyekutana na kuongea live na Yesu

Msikilize mwananchi aliyekutana na kuongea live na Yesu

Hatujui sura ya Yesu kimwili kwani eliyemwena ni mwigizaji mashuhuri siyo yesu.Yeye angesema amekutana na Yesu rohoni mwake angeeleweka na wengi.
Kwani yeye anasemaje? Hebu msikilize vizuri mkuu.
 
Sasa wao kumbe wanaamini nini? Ile siku ya kiyama wanayosema ina maana gani?
Hapo sijui😀. Ngoja atokee wa kutupa muongozo.
Ila sijawahi kusikia alie wahi kutokewa na Mtume, wakristu wamezidi sana uongo uongo.
 
Zumaridi, Geor Davie Kila siku wanapiga na Yesu story mpaka anaomba lifti kwenye gari ya nabii!

Ndugu zetu hakuna kichaka Cha kufuru ambacho hamtaingia, kwa sababu dini nzima ilijengwa juu ya kufuru! Kuleni matunda yake!
Imejengwaje juu ya jufuru mkuu? Mbona mi nimemuona mtume Muhammad na nimeongea naye?
 
Jamaa yupo sahihi sana hana tofauti yoyote na wanao amani Mungu yupo tena yeye kafika mbali zaidi kaona hadi sura.
 
Hapo sijui😀. Ngoja atokee wa kutupa muongozo.
Ila sijawahi kusikia alie wahi kutokewa na Mtume, wakristu wamezidi sana uongo uongo.
Basi tuwasubiri wenyewe waje mkuu
 
What do you mean mkuu? Do you believe that Jesus is living? Please substantiate your statement.
Please substantiate your delusional fabrication/fictional story. i.e simply because he is alive, you deranged people have access to physically meet Jesus as u wish :DESKCHAN:
 
Imejengwaje juu ya jufuru mkuu? Mbona mi nimemuona mtume Muhammad na nimeongea naye?
Kufuru ilianzia baada ya "Mungu" kuacha enzi yake akaingia tumboni mwa mwanamke akazaliwa mtoto asiyejielewa, akalia, akatahiriwa akaogeshwa na kuchambwa, akachokoza warumi, wakamuwamba kwenye mti kwa kilio kikubwa na kufa!

Kama hayo hapo juu yaliwezekana kwa Mungu, basi hakuna usishangae ukimkuta uwanja wa fisi!
 
Kufuru ilianzia baada ya "Mungu" kuacha enzi yake akaingia tumboni mwa mwanamke akazaliwa mtoto asiyejielewa, akalia, akatahiriwa akaogeshwa na kuchambwa, akachokoza warumi, wakamuwamba kwenye mti kwa kilio kikubwa na kufa!

Kama hayo hapo juu yaliwezekana kwa Mungu, basi hakuna usishangae ukimkuta uwanja wa fisi!
Mkuu umeenda mbali sana. Tena mate chini
 
Kwani yeye anasemaje? Hebu msikilize vizuri mkuu.
Amesema sura ni ile .Anayomwona kila siku ni ya Brian mwigizaji ambayo wengi tuliamini kuya ni Yesu. Tukitaka kuongea na Yesu ni kulishika neno lake na kulitenda kwa sababu Yesu ni Neno.Atakaporudi kila jicho litamwona
 
Back
Top Bottom