Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sijui😀. Ngoja atokee wa kutupa muongozo.Sasa wao kumbe wanaamini nini? Ile siku ya kiyama wanayosema ina maana gani?
Imejengwaje juu ya jufuru mkuu? Mbona mi nimemuona mtume Muhammad na nimeongea naye?Zumaridi, Geor Davie Kila siku wanapiga na Yesu story mpaka anaomba lifti kwenye gari ya nabii!
Ndugu zetu hakuna kichaka Cha kufuru ambacho hamtaingia, kwa sababu dini nzima ilijengwa juu ya kufuru! Kuleni matunda yake!
Mbona mi nimetokewa na mtume Muhammad akiwa ameongozana na bi. Aisha?😀😀😀😀Hapo sijui😀. Ngoja atokee wa kutupa muongozo.
Ila sijawahi kusikia alie wahi kutokewa na Mtume, wakristu wamezidi sana uongo uongo.
Uchokozi huo😅😅Mbona mi nimetokewa na mtume Muhammad akiwa ameongozana na bi. Aisha?😀😀😀😀
Sasa unambishia mwamba. Mzee kumuona mtume muddy(57) akiwa na bi. Aisha(9)Uchokozi huo😅😅
Wapi huko?Sasa unambishia mwamba. Mzee kumuona mtume muddy(57) akiwa na bi. Aisha(9)
Huyo Brian kamuonea wapi huyu mzee? Labda kwenye ndotoBrian Deacon umemuona unasema Yesu, eti sura yake Ile ile...ipi?
Please substantiate your delusional fabrication/fictional story. i.e simply because he is alive, you deranged people have access to physically meet Jesus as u wishWhat do you mean mkuu? Do you believe that Jesus is living? Please substantiate your statement.

Kufuru ilianzia baada ya "Mungu" kuacha enzi yake akaingia tumboni mwa mwanamke akazaliwa mtoto asiyejielewa, akalia, akatahiriwa akaogeshwa na kuchambwa, akachokoza warumi, wakamuwamba kwenye mti kwa kilio kikubwa na kufa!Imejengwaje juu ya jufuru mkuu? Mbona mi nimemuona mtume Muhammad na nimeongea naye?
Mkuu umeenda mbali sana. Tena mate chiniKufuru ilianzia baada ya "Mungu" kuacha enzi yake akaingia tumboni mwa mwanamke akazaliwa mtoto asiyejielewa, akalia, akatahiriwa akaogeshwa na kuchambwa, akachokoza warumi, wakamuwamba kwenye mti kwa kilio kikubwa na kufa!
Kama hayo hapo juu yaliwezekana kwa Mungu, basi hakuna usishangae ukimkuta uwanja wa fisi!
huyo jamaa kichwa kibovu kweli. Ona sasa hilo jina lake.Mkuu umeenda mbali sana. Tena mate chini
Amesema sura ni ile .Anayomwona kila siku ni ya Brian mwigizaji ambayo wengi tuliamini kuya ni Yesu. Tukitaka kuongea na Yesu ni kulishika neno lake na kulitenda kwa sababu Yesu ni Neno.Atakaporudi kila jicho litamwonaKwani yeye anasemaje? Hebu msikilize vizuri mkuu.