Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzee unawezekana yupo sahihi ila watangazaji waliomhoji ndio vilaza. Walipaswa wamchimbr zaidi.Amesema sura ni ile .Anayomwona kila siku ni ya Brian mwigizaji ambayo wengi tuliamini kuya ni Yesu. Tukitaka kuongea na Yesu ni kulishika neno lake na kulitenda kwa sababu Yesu ni Neno.Atakaporudi kila jicho litamwona
Sasa hapo kinachoshindikana ni nini Mungu kuchukua umbo la mwanadamu na kutaluwa kama mwanadamu?Kufuru ilianzia baada ya "Mungu" kuacha enzi yake akaingia tumboni mwa mwanamke akazaliwa mtoto asiyejielewa, akalia, akatahiriwa akaogeshwa na kuchambwa, akachokoza warumi, wakamuwamba kwenye mti kwa kilio kikubwa na kufa!
Kama hayo hapo juu yaliwezekana kwa Mungu, basi hakuna usishangae ukimkuta uwanja wa fisi!
Kivipi imechezewa wakati unaona huyu kapata Neema ya kumuona YESUHii dini ya wenzetu inachezewa sana aisee.
Uwepo wa mtume ni suala la nadharia. There is no practicality in the term "prophet'' just like the current looming list of false prophets in the country.Hapo sijui😀. Ngoja atokee wa kutupa muongozo.
Ila sijawahi kusikia alie wahi kutokewa na Mtume, wakristu wamezidi sana uongo uongo.
Sure bro ila kondoo ni kondoo tu.Huo wote ni utapeli na pia biashara za watu ili wapige pesa mkuu. That is business as usual.
Thibitisha unalosemaKivipi imechezewa wakati unaona huyu kapata Neema ya kumuona YESU
Neema ambayo wewe hutakaa uipate maisha yako yote