Msikilize Mzee wa Upupu

Msikilize Mzee wa Upupu

Ungemsikiliza vizuri Mecky Mexime baada ya kufungwa na KMC 3 - 0, ndiyo ungenielewa vizuri.

Alikiri sababu mojawapo ya kufungwa ilikuwa ni wachezaji wake kutumia nguvu kubwa walipo cheza na Yanga na ambapo walifanikiwa kupata sare.
So madhara yake nini

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
,Hili suala la kukamia linanichanganya labda unaweza kunielewesha ndugu.
Issue wachezaji wa timu ndogo wakicheza na timu kubwa kiutamaduni huwa lazima iwe hivyo ili kuiuza timu yao kwani ndio mechi za mapato makubwa na ambalo ni kubwa ni kijitangaza wao wenyewe au kujiweka sokoni

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Ni utaratibu tu usio rasmi wa timu 'ndogo' katika ligi kuonesha bidii na maarifa mengi wachezapo na timu kubwa. Malengo yanaweza kuwa mengi, ila baadhi ni kwa wachezaji kutaka kuonekana na kusajiriwa na timu kubwa, makocha wazawa kutaka kuonekana wana uwezo kama ule wa makocha wa kigeni, nk.

Lakini pia baadhi ya timu huwa na mafungamano ya wazi au siri na timu ngingine na hivyo kuathiri mfumo mzima wa uchezaji. Mfano mdogo tu enzi timu ya Toto Afrika ya Mwanza ilipokuwa inashiriki ligi kuu, ilikuwa ni rahisi sana kufungwa na Yanga! Ila siyo Simba!

Umeelewa walau kidogo tu?
Utaratibu rasmi wa team ndogo ktk ligi kuonesha mafanikio ni upi? Kinyume cha kukamia ni nini?
 
Issue wachezaji wa timu ndogo wakicheza na timu kubwa kiutamaduni huwa lazima iwe hivyo ili kuiuza timu yao kwani ndio mechi za mapato makubwa na ambalo ni kubwa ni kijitangaza wao wenyewe au kujiweka sokoni

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Dah!! Bora hata umenisaidia kuwaelewesha.
 
Back
Top Bottom