So madhara yake niniUngemsikiliza vizuri Mecky Mexime baada ya kufungwa na KMC 3 - 0, ndiyo ungenielewa vizuri.
Alikiri sababu mojawapo ya kufungwa ilikuwa ni wachezaji wake kutumia nguvu kubwa walipo cheza na Yanga na ambapo walifanikiwa kupata sare.
Naomba nitofautiane nawe hana wachezaji wazuri kbs itachukua miaka kuwa sawaYanga ina wachezaji wazuri lakini bado inasota,shida ni nini?
Issue wachezaji wa timu ndogo wakicheza na timu kubwa kiutamaduni huwa lazima iwe hivyo ili kuiuza timu yao kwani ndio mechi za mapato makubwa na ambalo ni kubwa ni kijitangaza wao wenyewe au kujiweka sokoni,Hili suala la kukamia linanichanganya labda unaweza kunielewesha ndugu.
Utaratibu rasmi wa team ndogo ktk ligi kuonesha mafanikio ni upi? Kinyume cha kukamia ni nini?Ni utaratibu tu usio rasmi wa timu 'ndogo' katika ligi kuonesha bidii na maarifa mengi wachezapo na timu kubwa. Malengo yanaweza kuwa mengi, ila baadhi ni kwa wachezaji kutaka kuonekana na kusajiriwa na timu kubwa, makocha wazawa kutaka kuonekana wana uwezo kama ule wa makocha wa kigeni, nk.
Lakini pia baadhi ya timu huwa na mafungamano ya wazi au siri na timu ngingine na hivyo kuathiri mfumo mzima wa uchezaji. Mfano mdogo tu enzi timu ya Toto Afrika ya Mwanza ilipokuwa inashiriki ligi kuu, ilikuwa ni rahisi sana kufungwa na Yanga! Ila siyo Simba!
Umeelewa walau kidogo tu?
Dah!! Bora hata umenisaidia kuwaelewesha.Issue wachezaji wa timu ndogo wakicheza na timu kubwa kiutamaduni huwa lazima iwe hivyo ili kuiuza timu yao kwani ndio mechi za mapato makubwa na ambalo ni kubwa ni kijitangaza wao wenyewe au kujiweka sokoni
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app