Msikilize Pauline Zongo wa East Coast Team, anasikitisha sana

Msikilize Pauline Zongo wa East Coast Team, anasikitisha sana

Last time alikua anasoma pale Mzumbe Dsm MBA, nadhani ni marketing,miaka ya 2016 huko!

Huyu jamaa kafulia?? Kwao si wapo njema hawa,wazee wa Upanga! Mother wake alishawahi kuwa Mbunge wa viti maalum kupitia Chadema! Madam Kaihula!
Sasa mbona anachoma mihogo kama kwao wako poa, pengine kafukuzwa nyumbani kwao maana anakaribia miaka 40 bado anaishi home hana hili wala lile.
 
Angekua na ushirika na Diamond, kelele zingekua sio za nchi hii.
Ila ni AY na FA watu wamemute.
Ungewasikia hapa "....jamaaa ana roho mbaya.........binti alimbeba kwenye nyimbo zake..........masharti hayo ya mganga........"

Sasa angalia FA na AY wamepiga bil 2,ila hata kumsaidia hawezi kumsaidia.

Ila maisha ni fumbo kubwa sana, saa yoyote wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho anaweza kuwa wa kwanza,tusiache kumwomba Mungu.

Ila huyu binti na sikia aliyekuwa mme wake aliyezaa nae nae kipindi cha nyuma alikuwa drugs dealer, hatujui labda alimuingiza humo.
 
Ungewasikia hapa "....jamaaa ana roho mbaya.........binti alimbeba kwenye nyimbo zake..........masharti hayo ya mganga........"

Sasa angalia FA na AY wamepiga bil 2,ila hata kumsaidia hawezi kumsaidia.

Ila maisha ni fumbo kubwa sana, saa yoyote wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho anaweza kuwa wa kwanza,tusiache kumwomba Mungu.

Ila huyu binti na sikia aliyekuwa mme wake aliyezaa nae nae kipindi cha nyuma alikuwa drugs dealer, hatujui labda alimuingiza humo.
Maisha mapambano, huwezi kumlaumu mtu kwa kufeli kwako, kila mtu na mizigo yake
 
Alijisemea Vanessa kwamba msione wasanii wanacheka wana show off life styles zao but deep inside wanastress za hatari na kama huna background nzuri unaishia kwny matumizi ya mihadarati. Kwanza wanataka hela za kumaintain status zao kwny jamii pili wanahitaji kuwa on the top wasikike hali ikiwa ndivyo sivyo wanapata msongo mkubwa wa mawazo inaplekea kuwa wabwiaji wa unga. Ni wachache sana ambao hawapelekeshwi na hali ya joto la umaarufu. So pauline atakua alipitia kipindi kigumu alikosa washauri wazuri
 
Maswala kunesa,
Maswala kubembea.

Pole sana dada Pauline Zongo.

-Kaveli-
 
Level ya maisha anayoishi sasa kila atakachosema watu watamchukulia kama ameshadata na close friends wa zamani ni kama wanamkimbia na hawataki hata kumsikia, wanahisi atakuwa ni mzigo utakaowaelemea.
Hivi mbona hazungumzii au kulaumu ndugu ilhali marafiki anawalaumu sana kwa kumtupa? Ni kwamba hana ndugu au nao wamemsusa.
Frustrations zinasababisha anakuwa anakasirika na kuhamaki kwenye issues zozote but it's understandable kwani ni kama dunia yote imemsusa ila wanaoathirika zaidi hasa kisaikolojia ni watoto, angekubali watoto wachukuliwe na baba zao lakini inaonekana bado anawategemea kama vitega uchumi yaani misaada na matumizi ya watoto ni moja ya survival strategy kwake.
 
Ila beuty span ya mwanamke ni kipindi kifupi mno.
14-25 baada ya hapo sasa inategemea ni kabila gani na anakula nini[emoji16][emoji16].

Pauline ashajichanganya na madawa kawa bibi.
Mkuu nifafanulie kuhusu uzuri wa mwanamke una uhusiano gani na kabila na anachokula
 
4yrs ago Niliwahi kuhudhuria harusi moja pale Quality Center na mburudishaji alikua anaimba live na kinanda alikua huyu dada
Nilikuja kushtuka kwamba ni yeye alipoimba moja ya nyimbo zake na baadae akajitambulisha

Nilipata shida sana kuamini kama ni yeye
Kwa muonekano tu alionekana ni “teja”
Alikua amechoka amekongoroka na amelewa sana tu
Na baada ya shughuli alikua anakamata kilaji hatari

Nilipo dadisi nikaambiwa siku hizi kavurugikiwa kwa unga na ulevi
 
4yrs ago Niliwahi kuhudhuria harusi moja pale Quality Center na mburudishaji alikua anaimba live na kinanda alikua huyu dada
Nilikuja kushtuka kwamba ni yeye alipoimba moja ya nyimbo zake na baadae akajitambulisha

Nilipata shida sana kuamini kama ni yeye
Kwa muonekano tu alionekana ni “teja”
Alikua amechoka amekongoroka na amelewa sana tu
Na baada ya shughuli alikua anakamata kilaji hatari

Nilipo dadisi nikaambiwa siku hizi kavurugikiwa kwa unga na ulevi
Daaa. Yani alikua anaomba vizuri sana. Jamani akamatwe asaidiwe kama Ray c. Yani huyu dada kwanza apewe msaada wa afya ya akili. Nadhan pia mtunisi alimsababishia stress sana

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom