Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Sasa mbona anachoma mihogo kama kwao wako poa, pengine kafukuzwa nyumbani kwao maana anakaribia miaka 40 bado anaishi home hana hili wala lile.Last time alikua anasoma pale Mzumbe Dsm MBA, nadhani ni marketing,miaka ya 2016 huko!
Huyu jamaa kafulia?? Kwao si wapo njema hawa,wazee wa Upanga! Mother wake alishawahi kuwa Mbunge wa viti maalum kupitia Chadema! Madam Kaihula!
Ungewasikia hapa "....jamaaa ana roho mbaya.........binti alimbeba kwenye nyimbo zake..........masharti hayo ya mganga........"Angekua na ushirika na Diamond, kelele zingekua sio za nchi hii.
Ila ni AY na FA watu wamemute.
Maisha mapambano, huwezi kumlaumu mtu kwa kufeli kwako, kila mtu na mizigo yakeUngewasikia hapa "....jamaaa ana roho mbaya.........binti alimbeba kwenye nyimbo zake..........masharti hayo ya mganga........"
Sasa angalia FA na AY wamepiga bil 2,ila hata kumsaidia hawezi kumsaidia.
Ila maisha ni fumbo kubwa sana, saa yoyote wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho anaweza kuwa wa kwanza,tusiache kumwomba Mungu.
Ila huyu binti na sikia aliyekuwa mme wake aliyezaa nae nae kipindi cha nyuma alikuwa drugs dealer, hatujui labda alimuingiza humo.
Humjui GK wewe, umekalia stori za kizushiSasa mbona anachoma mihogo kama kwao wako poa, pengine kafukuzwa nyumbani kwao maana anakaribia miaka 40 bado anaishi home hana hili wala lile.
Hua anaenda kwa usafiri binafsi? Hapa street hua tunapiga naye stori mbili tatu ila jamaa anazunguka na land cruiser/ prado nafikiriAnachoma mihogo pale Coco Beach
Huyo hamjui Gk, achana naeHua anaenda kwa usafiri binafsi? Hapa street hua tunapiga naye stori mbili tatu ila jamaa anazunguka na land cruiser/ prado nafikiri
Wabongo wape kichwa cha habari nyama nyama wanajazia wenyeweHuyo hamjui Gk, achana nae
Exactly, wabongo tuna roho za kimasikini sanaWabongo wape kichwa cha habari nyama nyama wanajazia wenyewe
Kama simjuwi mbona nimemtambua akichoma mihogo?Humjui GK wewe, umekalia stori za kizushi
Huwaga anaenda na ile baiskeli yake ya BMX, nafikiri hilo Land Cruiser ni la Mama yake anazuga nalo tuHua anaenda kwa usafiri binafsi? Hapa street hua tunapiga naye stori mbili tatu ila jamaa anazunguka na land cruiser/ prado nafikiri
Amani kwako kaka voda milionea, mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea [emoji38]Inasikitisha Sana!!
Amani kwa Kaka Voda Milionea wastue vijana waache poda wale mmea!
nimetizama kipindi cha ICU Dstv. so sad.
Mkuu nifafanulie kuhusu uzuri wa mwanamke una uhusiano gani na kabila na anachokulaIla beuty span ya mwanamke ni kipindi kifupi mno.
14-25 baada ya hapo sasa inategemea ni kabila gani na anakula nini[emoji16][emoji16].
Pauline ashajichanganya na madawa kawa bibi.
Daaa. Yani alikua anaomba vizuri sana. Jamani akamatwe asaidiwe kama Ray c. Yani huyu dada kwanza apewe msaada wa afya ya akili. Nadhan pia mtunisi alimsababishia stress sana4yrs ago Niliwahi kuhudhuria harusi moja pale Quality Center na mburudishaji alikua anaimba live na kinanda alikua huyu dada
Nilikuja kushtuka kwamba ni yeye alipoimba moja ya nyimbo zake na baadae akajitambulisha
Nilipata shida sana kuamini kama ni yeye
Kwa muonekano tu alionekana ni “teja”
Alikua amechoka amekongoroka na amelewa sana tu
Na baada ya shughuli alikua anakamata kilaji hatari
Nilipo dadisi nikaambiwa siku hizi kavurugikiwa kwa unga na ulevi