Toka 1948 mpk sasa ni zaidi ya miaka hamsini je alishindwa nn kuubomoa miaka yote hiyo!?Si umesema Israel ni dhaalimu na udhaalimu wake bado yupo na mmemshindwa mnaishia kumpa cheo cha udhalimu, anabomoa ili awe supper dhaalimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka 1948 mpk sasa ni zaidi ya miaka hamsini je alishindwa nn kuubomoa miaka yote hiyo!?Si umesema Israel ni dhaalimu na udhaalimu wake bado yupo na mmemshindwa mnaishia kumpa cheo cha udhalimu, anabomoa ili awe supper dhaalimu
Toka 1948 mpk sasa ni zaidi ya miaka hamsini je alishindwa nn kuubomoa miaka yote hiyo!?Si umesema Israel ni dhaalimu na udhaalimu wake bado yupo na mmemshindwa mnaishia kumpa cheo cha udhalimu, anabomoa ili awe supper dhaalimu
Na utakuwa tayari kupigana? 😝😝😝Siku wazayuni wakivunja uo msikiti ndiyo siku itapotokea vita ya tatu ya dunia!
Labda sijui kusoma Uislam ulikuwepo kabla ya Mtue au baada ya Mtume kama ni baada ya Mtume basi alizaliwa 600 years baada ya Issa bin Mariam. Uwepo wa Uislam maeneo yale ni ndoto za mchana. Hekalu la Solomon lilijengwa hata kabla ya Issa Bin Mariam iweje leo Uislam uwepo pale enzi hizo rudi tena kwenye maandiko Bro.Unasema uyahudi ulikua kabla ya uislam je una ushahidi gani?
Makala gani uyasemayo ww kuwa uyahudi ulikua kabla ya uislam?
Embu leta hayo makala.
Maana kwa makala niloyasoma mm na niyajuayo mm uislam ulikuwepo toka enzi sambaba na dini zingine (uyahudi,ukristo).
Na ht huko Occupied west bank ktk majangwa yake kuna misikiti iligundulika ikikuwepo toka miaka ya 500 AD.
Na huo mwaka hata mtume Muhammad hajazaliwa amekuja kuzaliwa miaka 40 ijayo km sikosei.
Hilo jina la Suleyman na Daud ni majina ya kiasili ya Kiarabu siyo kiyahudi.
Mpaka hapo ushafeli.
Na kuhusu Masjid Aqswa/Baitul Maqdis miaka nenda miaka rudi ndio unajulikana upo hapo ila hakuna hata chembe ya ushahidi kuhusu hekalu.
LETA HAYO MAKALA NAYASUBIRI.
Maandiko yapi uyasemayo wewe?Labda sijui kusoma Uislam ulikuwepo kabla ya Mtue au baada ya Mtume kama ni baada ya Mtume basi alizaliwa 600 years baada ya Issa bin Mariam. Uwepo wa Uislam maeneo yale ni ndoto za mchana. Hekalu la Solomon lilijengwa hata kabla ya Issa Bin Mariam iweje leo Uislam uwepo pale enzi hizo rudi tena kwenye maandiko Bro.
OOoh Uislam ilikuwepo kabla ya Issa okay good to know. This is to say Islam existed before Christianity right Kosugi? This is big news thanks.Maandiko yapi uyasemayo wewe?
Kama biblia leta hapa.
Kama Qur'an yenyewe inathibitisha kuwa uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad(s.a.w) kuzaliwa.
Na kulikua kuna mitume kabla yake ikiwemo Nabii.Ibrahim(a.s) na unyayo wake wa zaidi ya futi tano uko pale Makkah umefunikwa.
Ikionesha yeye ndiye aliyejenga Kaabah.
Ukija huko upasemapo kuna mabaki na foundation ya misikiti iligundulika na kupimwa ikionesha imejengwa miaka ya 500A.D ambapo mtume Muhammad bado hakuzaliwa.
Petra pia ipo hyo mabaki ya misikiti.
KIPI HUKIELEWI WEWE?
Hata Mfalme Daud and mwanae Solomon were also Muslim right? So these people now fighting for Aqsa have no clues that the Mosque is also theirs. No need to demolish it rather seek permission to share it right?Maandiko yapi uyasemayo wewe?
Kama biblia leta hapa.
Kama Qur'an yenyewe inathibitisha kuwa uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad(s.a.w) kuzaliwa.
Na kulikua kuna mitume kabla yake ikiwemo Nabii.Ibrahim(a.s) na unyayo wake wa zaidi ya futi tano uko pale Makkah umefunikwa.
Ikionesha yeye ndiye aliyejenga Kaabah.
Ukija huko upasemapo kuna mabaki na foundation ya misikiti iligundulika na kupimwa ikionesha imejengwa miaka ya 500A.D ambapo mtume Muhammad bado hakuzaliwa.
Petra pia ipo hyo mabaki ya misikiti.
KIPI HUKIELEWI WEWE?
Umejibiwa leta hoja co kutoa kashfa!!Una mtindio?
Sijasema uislam ulikuwepo kabla ya ukristo bali nimesema uislam ulikuwepo sambamba na dini zingine.Embu soma vizuri.OOoh Uislam ilikuwepo kabla ya Issa okay good to know. This is to say Islam existed before Christianity right Kosugi? This is big news thanks.
Mbona unachanganya madesa mazeh!?Hata Mfalme Daud and mwanae Solomon were also Muslim right? So these people now fighting for Aqsa have no clues that the Mosque is also theirs. No need to demolish it rather seek permission to share it right?
Du hii mpya kabisa, Al Aqsa sio jengo ni uwanja. Wala Solomon hakuwa Muslim wala mkristo kwa taarifa yako.Mbona unachanganya madesa mazeh!?
Sijazungumzia Al aqswa mm nimezungumzia misikiti iliogundulika ikiwa na umri huo tajwa.
Ila km unazungumzia kuhusu Suleyman na Daud kwa mafundisho yangu hao ni waislam na hao ndio waliojenga Al aqswa.
😂😂😂😂😂😂 Ndugu yangu unaanza kudata.Du hii mpya kabisa, Al Aqsa sio jengo ni uwanja. Wala Solomon hakuwa Muslim wala mkristo kwa taarifa yako.
You keep charging goal post thanks for chatting.😂😂😂😂😂😂 Ndugu yangu unaanza kudata.
Embu onesha wapi nimesema Suleyman na Daud hawakua waislam wala wakristo?
Tafadhali nioneshe.
Nioneshe pia wapi nimesema alaqswa sio msikiti?
Embu soma vzuri.