kingphisher
Member
- Nov 30, 2024
- 45
- 79
Nasikia huko watu wakijifariji et ooh, mechi ya simba na Yanga ikipangwa hafu mgeni rasmi awe "MAMA" yanga wataogopa na kukubali kucheza.
nimeshindwa kujua huyo mMama ni nani, na wanaiongelea mMama gani, yupi. ameikuta Yanga au Yanga imemkuta? sijajua huyo mmama ni nani.
Mpira wa miguu haitaji Siasa, ni kanuni na sheria za kimpira tu basi.
kama lengo lenu ilikuwa SImba aigomee mechi hafu mje mpange tarehe mnaotaka nyinyi kwa kumweka huyo "mamaenu" kama mgeni rasmi ili yanga waende uwanjani, sahau. sis ratiba ya darby kwa msimu huu tushamalizana nayo. hayo mengine ni ya kwenu.
nimeshindwa kujua huyo mMama ni nani, na wanaiongelea mMama gani, yupi. ameikuta Yanga au Yanga imemkuta? sijajua huyo mmama ni nani.
Mpira wa miguu haitaji Siasa, ni kanuni na sheria za kimpira tu basi.
kama lengo lenu ilikuwa SImba aigomee mechi hafu mje mpange tarehe mnaotaka nyinyi kwa kumweka huyo "mamaenu" kama mgeni rasmi ili yanga waende uwanjani, sahau. sis ratiba ya darby kwa msimu huu tushamalizana nayo. hayo mengine ni ya kwenu.