Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwanza waambie hao wamama wa msibani waache kihelehele chao cha kukimbilia kupanda magari kuelekea makaburini
halafu wakifika huko hawana cha kufanya wanakaa tu kusubiria wanaume ambao wamekuja kwa miguu baada ya kukosa nafasi ya gari ndio waje wazike
Pili ongea vizuri na mapasta wajue namna ya kucheza na muda kwenye mahubiri yao pale makaburini.
Kuna siku tulitaka tumuachie maiti pasta mmoja baada ya kuona anaji less. Msimu wa kifuku wingu limetanda tunaona mvua inakuja kutoka nga'mbo karibia na makaburini eti ye bado anaendelea kunena kwa lugha
Tatu waambie serikali yako ya mitaa kua waheshimu muktadha wa tukio husika. Wasitumie msiba kama njia ya wao kutangaza majitoleo ya kijiji tukiwa huko makaburini.
halafu wakifika huko hawana cha kufanya wanakaa tu kusubiria wanaume ambao wamekuja kwa miguu baada ya kukosa nafasi ya gari ndio waje wazike
Pili ongea vizuri na mapasta wajue namna ya kucheza na muda kwenye mahubiri yao pale makaburini.
Kuna siku tulitaka tumuachie maiti pasta mmoja baada ya kuona anaji less. Msimu wa kifuku wingu limetanda tunaona mvua inakuja kutoka nga'mbo karibia na makaburini eti ye bado anaendelea kunena kwa lugha
Tatu waambie serikali yako ya mitaa kua waheshimu muktadha wa tukio husika. Wasitumie msiba kama njia ya wao kutangaza majitoleo ya kijiji tukiwa huko makaburini.