kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,946
- 5,470
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni nyie mkija mjini muache kulalamika chakula kidgo tuna ishi kwa budget uku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni nyie mkija mjini muache kulalamika chakula kidgo tuna ishi kwa budget uku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakua na fuko la Rambo sio bureUmenikumbusha mara ya kwanza kufika mjini kakasongwa kaugali nikafikiri labda kuna mtoto anasongewa alafu wakwetu utasongwa tena,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
Wanachokijua ni kuvaa nguo nyeusi na miwani mikubwa shaaaaaabashiiiiiii
Mganga ni mshikaji wangu, zile dawa zimemroga mwenyeweHivi mkuu wife alishamaliza kukushughulikia kule kule lwa mganga?
Ukipendeza ni dalili ya maringoHuyu hawajui watu wa vijijini most of them kwanza hawatupendi sisi watu wa mjini, utasikia " yaan linaringa" na hapo hakujui
Hivyoo?Ukipendeza ni dalili ya maringo
Habari ndio hiyoHivyoo?
Sio 'watu wa Dar' sema 'abahesya'Halafu kwenye wakati wa msosi utasikia "watu wa Dar" waanze kula! Hovyo kabisa na viwigi vyao huku wameshika maji ya uhai,!
Unaenda kuchimba kaburi huku umevaa pensi nyeupe sendo na soksi za kibishoo cheni inaning'inia shingoni na kacha mkononi huku walet imevimba mfukoni unachukua maselfie huku umeshika sululu....lazma wakutete kilugha....acheni ubishoo wa kindezi misibani.Waambie na hao wavijijini waache kusema sema hivyo ukipita wanasema,wanakutumbulia macho Kama wameona sijui nani kapita! Ukisema uchimbe kaburi ukishika sururu tu wanaanza kusema vilugha vyao! Waambie na wenyewe wabadilike..
Kwani hayo yote yanazuru nini..?unaenda kuchimba kaburi huku umevaa pensi nyeupe sendo na soksi za kibishoo cheni inaning'inia shingoni na kacha mkononi huku walet imevimba mfukoni unachukua maselfie huku umeshika sululu....lazma wakutete kilugha....acheni ubishoo wa kindezi misibani.
Nawachukia watu wote wanaoongea vilugha kwenye mikusanyiko ya watu wa tamaduni mbalimbali za kitanzania.Waambie na hao wavijijini waache kusema sema hivyo ukipita wanasema,wanakutumbulia macho Kama wameona sijui nani kapita! Ukisema uchimbe kaburi ukishika sururu tu wanaanza kusema vilugha vyao! Waambie na wenyewe wabadilike..
unachimba kaburi huku unaogopa kuchafuka soksi na pensi,tatizo linaanzia hapo😀😀Kwani hayo yote yanazuru nini..?
Mkuu ulitaka wavae hirizi pumuzi badala ya cheni.. halafu nijuavyo huchimbi kaburi na viatu Sasa soksi utazivalia wapi..! ile inakuwa ni shughuli ya watu wengi hata ukiingia kuchimba unakuta hutumii hata dk tano mwengine kaingia.. Labda zile sehemu ngumu za kutumia na sururu ndo inakuwa tafrani.. sioni haja ya kumteta mtu ni upuuzi tu si bora umwambie Kama ni kitu Cha mantiki mtu afate.. ukikuta wale wazee wanaojielewa hawana hata huo muda wa kuteta wanakuita pembeni wanakueleza taratibu zinavyofuatwa.. huku kwengine Sasa mpk huwa nashangaa akili za baadhi ya watu!.. ushamba ni mzigo Sana..unachimba kaburi huku unaogopa kuchafuka soksi na pensi,tatizo linaanzia hapo😀😀
Mimi zilikuja kama Slice nne ivi za mkate saa mbili usiku iyo nikapiga huku najisemea moyoni hii utangulizi chakula kina kuja, Wee kufika saa nne still nipo sebuleni sinikafatwa kuulizwa kuwa nimeshaoneshwa chumba cha kulala, lauhala nkauliza Chakula cha usiku tunakula sangapi nkambiwa ile chai ndio chakula cha usiku sikumaliza siku tatu nkasepaUmenikumbusha mara ya kwanza kufika mjini kakasongwa kaugali nikafikiri labda kuna mtoto anasongewa alafu wakwetu utasongwa tena,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ebwanaee, nikashngaa hako kaugali kanatengwa mezani na sahani kila mtu ya kwake madume kama 3 hivi eti ndio mlo wa mchana huo.
.
Nikajipa moyo labda jioni itakuwa afadhali.
Dadek jioni ukaletwa ubwabwa kwenye kihotport eti ndio mlo wa watu kama 4,
Nilitamani kulia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ndo mjifunze mkienda kileji umasaki uacheni huko hukoMkuu ulitaka wavae hirizi pumuzi badala ya cheni.. halafu nijuavyo huchimbi kaburi na viatu Sasa soksi utazivalia wapi..! ile inakuwa ni shughuli ya watu wengi hata ukiingia kuchimba unakuta hutumii hata dk tano mwengine kaingia.. Labda zile sehemu ngumu za kutumia na sururu ndo inakuwa tafrani.. sioni haja ya kumteta mtu ni upuuzi tu si bora umwambie Kama ni kitu Cha mantiki mtu afate.. ukikuta wale wazee wanaojielewa hawana hata huo muda wa kuteta wanakuita pembeni wanakueleza taratibu zinavyofuatwa.. huku kwengine Sasa mpk huwa nashangaa akili za baadhi ya watu!.. ushamba ni mzigo Sana..
NO.why not mixing with your fellow mourners,why not participating fully on funeral activities?
😅😅😅😅😅Mganga ni mshikaji wangu, zile dawa zimemroga mwenyewe
Sasa watapiga story na nani kama nyie hamleti story,halafu nani kakwambia kila mtu asili yake ni kijijini au atazikwa kijijini?Wakumbushe kaka,sio wanakuja kazi kuongea wao kwa wao ,wanapigiana story za mjini,wanasumbua watu ooh kanichajie simu,wapi kuna bia?ukienda kuzika shiriki mwanzo mwisho,hapo ndo chimbuko letu,na ndo tutakapozikiwa,tuheshimu tunaowakuta,tabia ya kuwa bize na smartphone msibani na kupigiana stori za mijini ziishe.
Ha ha haaaaaMjini kwenyewe Dar au!? Dar yenyewe kwaa mpalange!