Msimamamo wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Tundu Lissu) juu ya viti maalum

Msimamamo wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Tundu Lissu) juu ya viti maalum

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Muda mchache kabla ya kuondoka nchini, Aliyekuwa mgombea uraisi wa kupitia Chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema Tundu Lissu alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari na kuseama kuwa uchaguzi uliopita ni uchaguzi ambao uliovurugwa na kuharibiwa sana, amesema kuwa katika vikao halali vya chama vya kamati kuu wameutathmini uchaguzi huo na kuona kuwa hakukuwa na uchaguzi pale bali uchafuzi. Kwa hiyo kutokana na uchafuzi huo chama hakiwezi kushiriki kuhalalisha uharamu huo. Amesema kwa hiyo Chadema haiwezi kuchukua viti maalum vilivyotokana na mchakato haramu, Amesema kuwa haramu ni haramu na haiwezi kuwa halali!

Pia ndugu Lissu amesema kuwa kwa mujibu wa sheria anayepeleka majina ya viti maalum ni katibu mkuu wa chama, kwa hiyo mtu yeyote atakayepeleka majina NEC kwa ajili ya viti hivyo kinyume na katibu mkuu wa chama bado atakuwa anafanya kitu ambacho siyo sawa kisheria.

Kwa maelezo zaidi unaweza kumsikiliza hapa:
 
Hakuna kitakachoharibika, hata CUF ilisusa kuanzia 2015~2020 na kila kitu kilienda kama kilivyopangwa
Hakuna shida!. Na wao hawajasema wanataka kitu kiharibike, wao hawataki kuhalalisha haramu iwe halali!
Kama mnaona kuwaibia wananchi nguvu yao ya kuchagua viongozi wao siyo tatizo basi hewala, endeleeni kuiba na kuiba tu chaguzi maana nyie ndo mnamiliki bunduki na vifaru na mabomu ya machozi!
 
Siyo kuwa safari hii ccm imesaidia kuwatoa ving'ang'anizi wa madaraka, mi naona wapenda demokrasia wa chadema waishukuru ccm kuwaondoa viongozi wa kudumu illi waje wenye mawazo mapya.
 
Hakuna kitakachoharibika, hata CUF ilisusa kuanzia 2015~2020 na kila kitu kilienda kama kilivyopangwa
@Pohamba . Majimboni mlitumia maaskari kuhakikisha Cdm hawaingii bungeni sasa mbona mnawagawia viti maalumu ?! Vya nini ?!. Kwa akili za kawaida chama kina mbunge moja wa Jimbo viti maalumu 19 vya nini ?!. Cdm wamenyanyaswa kwa kuwa hawana bunduki
 
Hakuna kitakachoharibika, hata CUF ilisusa kuanzia 2015~2020 na kila kitu kilienda kama kilivyopangwa

Kwa Akili yako ni sawa sawa kabisa kuwaza hivyo ,wakubwa zako wana haha kila uchwao kutatua huu mkwamo.
 
Muda mchache kabla ya kuondoka nchini, Aliyekuwa mgombea uraisi wa kupitia Chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema Tundu Lissu alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari na kuseama kuwa uchaguzi uliopita ni uchaguzi ambao uliovurugwa na kuharibiwa sana, amesema kuwa katika vikao halali vya chama vya kamati kuu wameutathmini uchaguzi huo na kuona kuwa hakukuwa na uchaguzi pale bali uchafuzi. Kwa hiyo kutokana na uchafuzi huo chama hakiwezi kushiriki kuhalalisha uharamu huo. Amesema kwa hiyo Chadema haiwezi kuchukua viti maalum vilivyotokana na mchakato haramu, Amesema kuwa haramu ni haramu na haiwezi kuwa halali!

Pia ndugu Lissu amesema kuwa kwa mujibu wa sheria anayepeleka majina ya viti maalum ni katibu mkuu wa chama, kwa hiyo mtu yeyote atakayepeleka majina NEC kwa ajili ya viti hivyo kinyume na katibu mkuu wa chama bado atakuwa anafanya kitu ambacho siyo sawa kisheria.

Kwa maelezo zaidi unaweza kumsikiliza hapa:

Legally there is no basis where CHADEMA can base its selection of special seats to go to the parliament since there was no ELECTION from where the law enables the party to select special seats; as the election was defective ab initio and this renders the whole process ILLEGAL
 
Tatizo lenu kubwa ni ukosefu wa nidhamu kwa viongozi wenu

1) Mliambiwa mbaki vituoni mlinde kura mkapuuza
2) Mliambiwa mtoke muandamane mkapuuza

Jifunzeni kuwa na nidhamu
Kwa Akili yako ni sawa sawa kabisa kuwaza hivyo ,wakubwa zako wana haha kila uchwao kutatua huu mkwamo.
 
Siyo kuwa safari hii ccm imesaidia kuwatoa ving'ang'anizi wa madaraka, mi naona wapenda demokrasia wa chadema waishukuru ccm kuwaondoa viongozi wa kudumu illi waje wenye mawazo mapya.

Kwa kweli huruma mnayo. Kuliko ya mbwa mwitu kwa mwana kondoo!
 
Nitafutie nyumba ya chumba ,sebule na choo chake nakuja kulipia.
Ukipata niambie
 
Hakuna kitakachoharibika, hata CUF ilisusa kuanzia 2015~2020 na kila kitu kilienda kama kilivyopangwa
Sawa,sio mbaya ili wapate maendeleo siku zote kimekuwepo kisingizio cha kukwamisha maendeleo.
 
Muda mchache kabla ya kuondoka nchini, Aliyekuwa mgombea uraisi wa kupitia Chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema Tundu Lissu alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari na kuseama kuwa uchaguzi uliopita ni uchaguzi ambao uliovurugwa na kuharibiwa sana, amesema kuwa katika vikao halali vya chama vya kamati kuu wameutathmini uchaguzi huo na kuona kuwa hakukuwa na uchaguzi pale bali uchafuzi. Kwa hiyo kutokana na uchafuzi huo chama hakiwezi kushiriki kuhalalisha uharamu huo. Amesema kwa hiyo Chadema haiwezi kuchukua viti maalum vilivyotokana na mchakato haramu, Amesema kuwa haramu ni haramu na haiwezi kuwa halali!

Pia ndugu Lissu amesema kuwa kwa mujibu wa sheria anayepeleka majina ya viti maalum ni katibu mkuu wa chama, kwa hiyo mtu yeyote atakayepeleka majina NEC kwa ajili ya viti hivyo kinyume na katibu mkuu wa chama bado atakuwa anafanya kitu ambacho siyo sawa kisheria.

Kwa maelezo zaidi unaweza kumsikiliza hapa:


Kama kawaida, huyu ndiye Tundu Lissu...

He has never failed anyone...

Anajua na kuelewa vyema kila anachokizungumza...

I see "people's salvation on him"..

Kila kheri brother Tundu Lissu, akili kubwa...
 
Back
Top Bottom