Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa amemwita Lissu kuwa sawa na yule mkuu wa propaganda wa Hitler Goebels!
WanaJF,
Aliyekuwa msimamizi wa Tundu Lissu katika tafiti zake alizofanya kwenye shahada yake ya pili (Masters degree) katika chuo kikuu cha Dar es salaam, Prof Rwazaura, amejuta kwanini alimsimamia Lissu katika masomo yake.
Prof Rwazaura ambae ana wasifu mzuri wa mambo ya kisheria ameyasema hayo kufuatia upuuzi ambao Tundu Lissu anaufanya bungeni na kudiriki kusema haumtambui kama mwanafunzi wake wa sheria.
Aidha, Prof Rwazaura aliongeza kwa kusema Tundu Lissu wa kwenye siasa ni tofauti kabisa na yule wa taaluma. Hivyo yeye kama msomi hawezi kushabikia ujinga wa Lissu bungeni.
Source: Mahojiano na Prof Rwazaura.
Kwa Taarifa yako Tundu Lisu hajafanyia Masters UDSM, Acha uwongo... Nusu Karne ya Uwongo iishe.
Source : Parliament of Tanzania
WanaJF,
Aliyekuwa msimamizi wa Tundu Lissu katika tafiti zake alizofanya kwenye shahada yake ya pili (Masters degree) katika chuo kikuu cha Dar es salaam, Prof Rwazaura, amejuta kwanini alimsimamia Lissu katika masomo yake.
Prof Rwazaura ambae ana wasifu mzuri wa mambo ya kisheria ameyasema hayo kufuatia upuuzi ambao Tundu Lissu anaufanya bungeni na kudiriki kusema haumtambui kama mwanafunzi wake wa sheria.
Aidha, Prof Rwazaura aliongeza kwa kusema Tundu Lissu wa kwenye siasa ni tofauti kabisa na yule wa taaluma. Hivyo yeye kama msomi hawezi kushabikia ujinga wa Lissu bungeni.
Source: Mahojiano na Prof Rwazaura.
WanaJF,
Aliyekuwa msimamizi wa Tundu Lissu katika tafiti zake alizofanya kwenye shahada yake ya pili (Masters degree) katika chuo kikuu cha Dar es salaam, Prof Rwezaura, amejuta kwanini alimsimamia Lissu katika masomo yake.
Prof Rwezaura ambaye ana wasifu mzuri wa mambo ya kisheria ameyasema hayo kufuatia upuuzi ambao Tundu Lissu anaufanya bungeni na kudiriki kusema haumtambui kama mwanafunzi wake wa sheria.
Aidha, Prof Rwezaura aliongeza kwa kusema Tundu Lissu wa kwenye siasa ni tofauti kabisa na yule wa taaluma. Hivyo yeye kama msomi hawezi kushabikia ujinga wa Lissu bungeni.
Source: Mahojiano na Prof Rwazaura.
WanaJF,
Aliyekuwa msimamizi wa Tundu Lissu katika tafiti zake alizofanya kwenye shahada yake ya pili (Masters degree) katika chuo kikuu cha Dar es salaam, Prof Rwezaura, amejuta kwanini alimsimamia Lissu katika masomo yake.
Prof Rwezaura ambaye ana wasifu mzuri wa mambo ya kisheria ameyasema hayo kufuatia upuuzi ambao Tundu Lissu anaufanya bungeni na kudiriki kusema haumtambui kama mwanafunzi wake wa sheria.
Aidha, Prof Rwezaura aliongeza kwa kusema Tundu Lissu wa kwenye siasa ni tofauti kabisa na yule wa taaluma. Hivyo yeye kama msomi hawezi kushabikia ujinga wa Lissu bungeni.
Source: Mahojiano na Prof Rwazaura.
| Salutation | Honourable |
| First Name: | Tundu |
| Middle Name: | Antiphas Mughwai |
| Last Name: | Lissu |
| Constituent: | Singida Mashariki |
| Political Party: | CHADEMA |
| Office Location: | Box 21746, Dar Es Salaam |
| Office Phone: | +255 22 2780859/+255 754 447323/+255 786 572 571 |
| Ext.: | |
| Office Fax: | |
| Office E-mail: | tlissu@parliament.go.tz |
| Member Status: | Current Member |
| Date of Birth | 20 January 1968 |
| University of Warwick, UK | LLM | 1995 | 1996 | MASTERS DEGREE |
| University of Dar Es Salaam | LLB | 1991 | 1994 | GRADUATE |
| Galanos Secondary School | A-Level Education | 1987 | 1989 | HIGH SCHOOL |
| Ilboru Secondary School | O-Level Education | 1983 | 1986 | SECONDARY |
| Mahambe Primary School | Primary Education | 1976 | 1982 | PRIMARY |
| Company Name | Position | From | To |
|---|---|---|---|
| The Parliament of Tanzania | Member - Singida West Constituency | 2010 | 2015 |
| Lawyers' Environmental Action Team (LEAT) | Director of Researcher | 2003 | 2008 |
| The World Resources Institute (WRI), USA | Researcher | 1999 | 2002 |
| Lawyers' Environmental Action Team (LEAT) | Researcher | 1998 | 1999 |
| D'Souza Chambers | Advocates | 1994 | 1997 |
| Bondeni Secondary School | Teacher | 1990 | 1991 |
| CHADEMA | Director of Law | 2004 | |
| NCCR-Mageuzi | Member of Parliament Candid |
Mode watu kama hawa Hamy-D hawastaihili kupewa access kwenye JF's tena. Wanaishushia hadhi JF's kwa kuongea uongo kwa makusudi ili kuridhisha nafsi zao au kuwapaka matope watu.
Pro. Rwazaura tangu lini amekuwa mkufunzi chuo cha Warwick. Huu mtandao hadhi yake inashuka siku hadi siku kutokana na watu kama Hamy-D kupewa fursa humu.
Mode imsimpige BAN tu fukuza kabisa watu kama hawa JF's hadhi yake isishuke
Wewe ni kichaa kwani ukisoma nje huwezi simamiwa na mtu wa chuo tofauti katika presentation?
WanaJF,
Aliyekuwa msimamizi wa Tundu Lissu katika tafiti zake alizofanya kwenye shahada yake ya pili (Masters degree) katika chuo kikuu cha Dar es salaam, Prof Rwezaura, amejuta kwanini alimsimamia Lissu katika masomo yake.
Prof Rwezaura ambaye ana wasifu mzuri wa mambo ya kisheria ameyasema hayo kufuatia upuuzi ambao Tundu Lissu anaufanya bungeni na kudiriki kusema haumtambui kama mwanafunzi wake wa sheria.
Aidha, Prof Rwezaura aliongeza kwa kusema Tundu Lissu wa kwenye siasa ni tofauti kabisa na yule wa taaluma. Hivyo yeye kama msomi hawezi kushabikia ujinga wa Lissu bungeni.
Source: Mahojiano na Prof Rwazaura.
WanaJF,
Aliyekuwa msimamizi wa Tundu Lissu katika tafiti zake alizofanya kwenye shahada yake ya pili (Masters degree) katika chuo kikuu cha Dar es salaam, Prof Rwezaura, amejuta kwanini alimsimamia Lissu katika masomo yake.
Prof Rwezaura ambaye ana wasifu mzuri wa mambo ya kisheria ameyasema hayo kufuatia upuuzi ambao Tundu Lissu anaufanya bungeni na kudiriki kusema haumtambui kama mwanafunzi wake wa sheria.
Aidha, Prof Rwezaura aliongeza kwa kusema Tundu Lissu wa kwenye siasa ni tofauti kabisa na yule wa taaluma. Hivyo yeye kama msomi hawezi kushabikia ujinga wa Lissu bungeni.
Source: Mahojiano na Prof Rwazaura.
WanaJF,
Aliyekuwa msimamizi wa Tundu Lissu katika tafiti zake alizofanya kwenye shahada yake ya pili (Masters degree) katika chuo kikuu cha Dar es salaam, Prof Rwezaura, amejuta kwanini alimsimamia Lissu katika masomo yake.
Prof Rwezaura ambaye ana wasifu mzuri wa mambo ya kisheria ameyasema hayo kufuatia upuuzi ambao Tundu Lissu anaufanya bungeni na kudiriki kusema haumtambui kama mwanafunzi wake wa sheria.
Aidha, Prof Rwezaura aliongeza kwa kusema Tundu Lissu wa kwenye siasa ni tofauti kabisa na yule wa taaluma. Hivyo yeye kama msomi hawezi kushabikia ujinga wa Lissu bungeni.
Source: Mahojiano na Prof Rwazaura.
Wewe ni kichaa kwani ukisoma nje huwezi simamiwa na mtu wa chuo tofauti katika presentation?