LGE2024 Msimamizi wa Uchaguzi Dodoma: CHADEMA wameweka mawakala 55 katika vituo 666

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Na wewe vitu vingine huwa unavimeza kishabiki sana....kuwa na mawakala wachache haimaanishi zoezi halina kasoro....hebu angalia ushahidi hapo chini wa watoto kutakiwa kuandikishwa

View: https://x.com/HildaNewton21/status/1846163076338319515
 
14 October 2024
Arusha, Tanzania

VITUO VYAONGEZWA GHAFLA KUTOKA 154 HADI ZAIDI YA VITUO 462 ILI VYAMA VIKOSE MAWAKALA


View: https://m.youtube.com/watch?v=PFpNvDqeongVyama vilijipanga kuwa na mawakala kusimamia vituo 196, lakini kisiri CCM wakaambiwa mapema kabla ya vyama vingine kuambiwa dakika za lala salama ...

Kuongezwa kinyemela kwa vituo kwa zaidi ya asilimia 300 yaani toka ile ya awali 154 hadi 462 kwa mahesabu vimepindukia mara 3 kulliko vya awali ni kuwa yule DC wa Loliondo aliposema tumeshamaliza michezo ndiyo hii michezo ya CCM na serikali yake.

Toka maktaba:

DC WA LOLIONDO ATUMBULIWA KWA KUTOA SIRI ZA CCM KUSHINDA UCHAGUZI


View: https://m.youtube.com/watch?v=M4rve_wh2IY
 
CHADEMA hawawezi kuweka mawakala kwasababu hela zote anakaa nazo mbowe anaona atakula hasara
 
Ccm ndio Ina baraka ya Dola kutawala!

Wapinzani hasta wapate kura nyingi kuliko CCM Bado hawana baraka za Dola hivyo hawatatangazwa washindi!
 
Kazi ipo kwa msimamizi mkwe wa rais ambaye pia ni kada na mdau wa uchaguzi aliyesema CCM lazima ishinde kwa gharama yeyote
 
Tulishasemaga siku nyingi sana hiki chama cha X hakina wanamikakati na chama hakiwezi kutoba bila ya uwepo wanamikakati na sio kutegemea wapiga kelele mitandaoni na kuongea na waandishi wa habari kuli uchao(Lema)
Mkakati wa kwanza ni ukusanyaji wa fedha wakuweza kuendesha chama cha, mkakati huo hawana, Wanatumia fedha nyingi kuandaa mikutano na maandamano wakati fedha nyingi zinatakiwa kipindi kama hiki.

Wamenunua Ofisi ghali mikocheni wakati wangeza kupata Eneo kubwa tu kigamboni nakujenga ofisi pamoja na vitega uchumi kama maduka ofisi na parking za kulaza magari. Sioni dalili zozote za wapinzani kushinda kwani wananchi wamepoteza imani kabisa na vyama hivi.

Pamoja na kwamba CCM inawatendea sivyo ndivyo lakini wananchi wanawaona wapinzani kama ni mandumi kuwili.Nadhani ni kweli sasa mda umefika wakati wa CDM kujipanga upya. Unaweza kujiuliza kwanini watu wengi wanalia na CDM, ni kwasababu wananchi wengi wamejenga matumaini juu ya hichi chama ilq kimekuwa kikizidiwa ujanja na mbinu kila siku huku kikibaki kiki lalamika
 

Yaani Tanzania wizi ni kama vile umehalalishwa na ni sehemu ya maisha ili mradi unaweza kujustify kijanjajanja.

Kwa nchi ambazo hakuna uhuni uhuni kwenye mambo kama haya huhitaji mawakala wa vyama kusimamia uandikishaji. Wanachoweza kufanya ni rondom verification tu kuwa zoezi linaenda vizuri. Imagine kama kila chama kitapeleka mawakala kila kituo si itakuwa ni vurugu moja kwa moja. Yaani, kila kituo kitakuwa na mawakala 17 .... Seriously!
 
Tulishasemaga siku nyingi sana hiki chama cha X hakina wanamikakati na chama hakiwezi kutoba bila ya uwepo wanamikakati na sio kutegemea wapiga kelele mitandaoni na kuongea na waandishi wa habari kuli uchao(Lema)
Msimamizi wa uchaguzi ni vyama viwili tu vimeweka mawakala Chadema na Ccm vingine vimeungana na ccm.
 
Msimamizi mwenyew ni mwanachama wa ccm halafu utegemee haki au uhuru kwenye uchaguzi. Itakuwa ndoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…