JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Hivi ndivyo msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya Simba kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Mkapa, Agosti 20, 2022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa na undugu wale sio BureMimi yanga,lakini huyu mzungu ni lewandoski mtupu [emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]
Kweli ww kiredio yani kila thread unapita na kiredio kurudia upupu wako huku roho inakuuma. Kipa alikua anajisaidia pale chini na mwenzake akawa anaenda kumsaidia akukutana na shuti kali la mgongo akaangukia huko wote wakaanza kujisaidia. Lete mzuuuuuuungu lete mzuuuunguuuuHatimaye Mzungu Afunga goli Kali sana huku golini kukiwa hakuna Kipa. [emoji3][emoji3]
Ligi kuwa ngumu ni jambo la kawaida hakuna ligi rahisi na sisi tumejiandaa kupata matokeo kwenye michezo yote ili kuwa mabingwa wa msimu huuKwa simba hii na mpira mliocheza game mbili hizi..washabiki mjiandae...ligi hii itakua ngumu sana kwenu hapo bado hamjakutana na Yanga
Singida
Azam
Coast
Mbeya city..nk
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Na kwenye hiyo List mkuu Geita hujaitaja kwa makusudi tu au kwakuws tumeshaifunga 3 basi sio timu nzuri tena?Kwa simba hii na mpira mliocheza game mbili hizi..washabiki mjiandae...ligi hii itakua ngumu sana kwenu hapo bado hamjakutana na Yanga
Singida
Azam
Coast
Mbeya city..nk
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Mpira mbinu zilizotumika kwa kagera sahau kuona kwa singida na uchezaji piaKwa simba hii na mpira mliocheza game mbili hizi..washabiki mjiandae...ligi hii itakua ngumu sana kwenu hapo bado hamjakutana na Yanga
Singida
Azam
Coast
Mbeya city..nk
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sasa Yanga uliiona ilivyotota kwa coastal afu mnaona mnacheza vzr sana? Nyie iombeeni timu yenu achaneni na timu yetuKwa simba hii na mpira mliocheza game mbili hizi..washabiki mjiandae...ligi hii itakua ngumu sana kwenu hapo bado hamjakutana na Yanga
Singida
Azam
Coast
Mbeya city..nk
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sasa Yanga uliiona ilivyotota kwa coastal afu mnaona mnacheza vzr sana? Nyie iombeeni timu yenu achaneni na timu yetu