G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Tungekuwa hatujakutana na Kagera nayo ungeiweka. Hivi msimu uliopita baada ya mechi mbili simba alikuwa na points ngapi na mabao mangapi?Kwa simba hii na mpira mliocheza game mbili hizi..washabiki mjiandae...ligi hii itakua ngumu sana kwenu hapo bado hamjakutana na Yanga
Singida
Azam
Coast
Mbeya city..nk
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app