Tungekuwa hatujakutana na Kagera nayo ungeiweka. Hivi msimu uliopita baada ya mechi mbili simba alikuwa na points ngapi na mabao mangapi?Kwa simba hii na mpira mliocheza game mbili hizi..washabiki mjiandae...ligi hii itakua ngumu sana kwenu hapo bado hamjakutana na Yanga
Singida
Azam
Coast
Mbeya city..nk
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisa mkuu, itakuwa taabu tupu hasa ugenini.Kwa simba hii na mpira mliocheza game mbili hizi..washabiki mjiandae...ligi hii itakua ngumu sana kwenu hapo bado hamjakutana na Yanga
Singida
Azam
Coast
Mbeya city..nk
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Mechi mbili za kwanza zilikuwa za awayTungekuwa hatujakutana na Kagera nayo ungeiweka. Hivi msimu uliopita baada ya mechi mbili simba alikuwa na points ngapi na mabao mangapi?
Kwa hiyo Costal na Polisi ni timu za Arusha?Mechi mbili za kwanza zilikuwa za away
Kwa hiyo Costal na Polisi ni timu za Arusha?
Hamuwezi kuitaja makolo stars bila kui mention Yanga Mabingwa wa wakati wote?Mimi yanga,lakini huyu mzungu ni lewandoski mtupu [emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]
Sasa kama wamezoea matuta mbona wakija kwa Mkapa wanalala? Kwa msimu huu Simba siyo ya msimu uliopita. La mkoani litapita naamini bado utatuambia subiri acheze mfululizo mechi nyingi.Hapana bali wamezoea kucheza kwenye matuta ya mikonge na viazi je Mtamleta mzungu away acheze kwenye matuta ya viazi saa 10 jioni?
Hivi Kiwanja cha Arusha kina ubora gani?Viwanja vya mikoani msimu huu vinavyotumika ni vyenye ubora tuu vyengine vimefungiwa
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
'ubingwa wa mchongo,,Utopolo FC bila mipango nje ya uwanja hakuna ushindi,Hamuwezi kuitaja makolo stars bila kui mention Yanga Mabingwa wa wakati wote?
Karia and Co waliipangia Yanga ianze na Mechi ngumu ugenini halafu Simba. Ianze nyumbani kwa makusudi kabisa wakijua yanga atapoteza huku Simba akishinda ili Yanga wapoteze focus. Naona matarajio yamekuwa tofauti. Sijui Karia Sasa anaanda mkakati gani mwingine dhidi ya YangaYanga imecheza ugenini kwenye vichuguu sio mkeka na wameshinda
Uzuri hiyo mipango ya nje tunaifanya hadi kwa makolo😊😊😊😊😊.'ubingwa wa mchongo,,Utopolo FC bila mipango nje ya uwanja hakuna ushindi,
Hilo ndy lililopo ktk ubingwa wa utopolo.
Simba Haina ubora wowote. Mmekutana ba timu ambazo uwezo wao wa kuadhibu makosa ni mdogo mno. Mechi zote mbili mlikuwa vurnarable. Ni Kama mlivyowafunga St.George mkaniona mna bonge la timu. Halafu mkaja kuonyeshwa panapovuja na Yanga. Mda si mrefu mtaonyeshwa tena panapovujaBila ushabiki, makosa yaliyojitokeza mechi ya ngao na kupelekea Simba kufungwa, haimaanishi Simba ni mbovu, team za ligi kuu lazima zimuogope Simba, ni hatarii. Pamoja na kufunga, mzungu bado hawezi mpira, hana nguvu miguuni, apambane Sana kwenye mazoezi haswa gym.
Simba inasaidiwa Sana na beki ya Inonga na Outarra, tuombe beki hii iwe na afya njema muda wote.
Kwani kwenye ngao ya hisani hakucheza huyo*TAKATAKA* wenu ?Lete mzunguuu...
Maninee aje awaumize Yanga Game ijayooo
Bila ushabiki, makosa yaliyojitokeza mechi ya ngao na kupelekea Simba kufungwa, haimaanishi Simba ni mbovu, team za ligi kuu lazima zimuogope Simba, ni hatarii. Pamoja na kufunga, mzungu bado hawezi mpira, hana nguvu miguuni, apambane Sana kwenye mazoezi haswa gym.
Simba inasaidiwa Sana na beki ya Inonga na Outarra, tuombe beki hii iwe na afya njema muda wote.
Point yangu ilikuwa ni aina ya uwanja, aina ya mpira wa Simba na Yanga huwa zinabebwa sana na ubora wa viwanja. Na ndio maana mechi za mikoani huwa zinaonekana ngumu sana kuliko zinazochezwa kwa Mkapa. Swala la timu ipi ni bora, nadhani jibu inapaswa kusubiri muda uongee. Ubingwa ni safari ndefu yeyote kati ya hizi timu mbili anaweza beba kombeKwa hiyo Costal na Polisi ni timu za Arusha?
Kuna mipango inayofanyikia ndani ya uwanja we kolo kubwa ,sema sishangai nyi makolo mipango yenu mnafanyiaga ndani ya uwanja kv kuchoma viwanja'ubingwa wa mchongo,,Utopolo FC bila mipango nje ya uwanja hakuna ushindi,
Hilo ndy lililopo ktk ubingwa wa utopolo.
Akikujibu niambie. Nimekaa palee🤣Na kwenye hiyo List mkuu Geita hujaitaja kwa makusudi tu au kwakuws tumeshaifunga 3 basi sio timu nzuri tena?
Unamanisha vinyezii viliwatoka?Kweli ww kiredio yani kila thread unapita na kiredio kurudia upupu wako huku roho inakuuma. Kipa alikua anajisaidia pale chini na mwenzake akawa anaenda kumsaidia akukutana na shuti kali la mgongo akaangukia huko wote wakaanza kujisaidia. Lete mzuuuuuuungu lete mzuuuunguuuu