Msimamo : Sitashiriki dua ya kuiombea Taifa Stars iliyoitishwa na Makonda siku ya Jumamosi

niliposikia taarifa ya kuleta mtaalam kutoka nje ili kupanga ratiba nilicheka sana !
Naanza kuamini kweli wanasiasa ni wateja wakubwa wa waganga wa kienyeji kama mambo yenyewe ndo haya jamani si waombe ata lecturers wa vyuo vyetu wawasaidie kupanga hio ratiba ya ligi aibu aisee!! Ata manager wa bar anaweza kawapangia ratiba vizuri tu
 
kwani wewe ni nani mkurugenzi kwenye masuala ya ki Imani mpaka ionekani kwamba kutokushiriki kwako kutaleta Impacts?
 
Mimi siwezi kushiriki katika lolote analoanzisha huyu bwana. Kwa ujumla hajawahi kuanzisha jambo likafanikiwa
 
Wengi tulishampuuza ila uzuri anamazombi wake anaowaongoza so tusishangae wakafulika
 
Kabisa hii tabia ya kumsingizia Mungu kwa kila kitu ni hovyo sana. Mungu akakupa uwezo wa kujisaidia sasa badala ya kujiandaa vizuri kama unavyosema tunakimbilia Mungu. Huwa nachukia hata nikiona mchezaji baada ya mechi anahojiwa team imefungwa utasikia tunashukuru tu Mungu yaani wao wanajitoa na majukumu ni kama majaliwa yao tu. Fanyeni mazoezi mipango kabambe Mungu yeye anamambo yake sisi binadamu hatuna uwezo nayo. Kuna maradhi, kifo sijui vimbunga na mambo ambayo hayako katika uwezo wetu haya ya kumuomba Mungu. Mpira fanya mazoezi Mungu ni wetu wote sisi pamoja wa wapinzani.
 
Mimi nafikiri ma CCM wote wameokotwa jalalani. Maana wote wanafanana kwa tabia. Wewe angalia tu Iringa, Dar, Arusha, na pale Dodoma bungeni na yule mbwa koko wa Dodoma police
 
Ngoma inogile
 
https://www.facebook.com/video.php?v=1685756668235772
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…