Msimamo: Sitashiriki Misa ya Christmas kwenye kanisa ninalolishiriki miaka yote kwa vile halipigi vita utekaji

Msimamo: Sitashiriki Misa ya Christmas kwenye kanisa ninalolishiriki miaka yote kwa vile halipigi vita utekaji

Mtu kaenda kulala kwa mchepuko "katekwa"
Mtu kakamatwa tu na polisi wasio na sare tu " katekwa"
Mwogopeni mungu nyie watu mambo ya kutekana muyasikie tu.
Halafu hizo ni taasisi zinazofanya kazi kivyake, leo hii kweli ww ushindwe kwenda kanisani kisa Magu anasali pale na ww hajawakamata watekaji???
Iko siku mtasema mnaumwa na mbu rais yuko wapi mnapata marelia.
Iko siku mtaumwa kipindupindu mtamlaumu rais.
 
Baada ya kutafakari kwa muda mfupi nimefikia hitimisho kwamba kuanzia leo sitashiriki ibada zote kwenye kanisa ninaloshiriki siku zote na nililozoeleka kuabudu baada ya kanisa hilo kufumbia macho utekaji unaofanywa nchini mwetu.

Kanisa hili ni miongoni mwa makanisa ambayo watuhumiwa wa utekaji husali pia, nimeamua kujiondoa kwa hofu ya kumchukiza Mungu kwa kushirikiana madhabau na wanaonyooshewa vidole na wananchi huku kanisa langu na viongozi wake wakinyamazia, natambua kwamba dhambi ya kushirikiana na wenye tuhuma hizi itanikabili mimi binafsi mbele za Mungu bila Mchungaji au baba Paroko kunisaidia, najua wapo wanaosema nisali kwa ajili ya Mungu na si kwa ajili ya binadamu, lakini wamesahau kujiuliza kwanini maeneo matakatifu kama makanisa yalianzishwa.

Sitashiriki misa kwenye kanisa linalonyamazia dhambi kwa sababu MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI.
Usishirikiane na serikali pia... maana wasiojulikana hawajawakatama hadi leo
 
Baada ya kutafakari kwa muda mfupi nimefikia hitimisho kwamba kuanzia leo sitashiriki ibada zote kwenye kanisa ninaloshiriki siku zote na nililozoeleka kuabudu baada ya kanisa hilo kufumbia macho utekaji unaofanywa nchini mwetu.

Kanisa hili ni miongoni mwa makanisa ambayo watuhumiwa wa utekaji husali pia, nimeamua kujiondoa kwa hofu ya kumchukiza Mungu kwa kushirikiana madhabau na wanaonyooshewa vidole na wananchi huku kanisa langu na viongozi wake wakinyamazia, natambua kwamba dhambi ya kushirikiana na wenye tuhuma hizi itanikabili mimi binafsi mbele za Mungu bila Mchungaji au baba Paroko kunisaidia, najua wapo wanaosema nisali kwa ajili ya Mungu na si kwa ajili ya binadamu, lakini wamesahau kujiuliza kwanini maeneo matakatifu kama makanisa yalianzishwa.

Sitashiriki misa kwenye kanisa linalonyamazia dhambi kwa sababu MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI.
Mimi ni Mkatoliki jana na leo sijaenda. Nimesali nyumbani, siwezi kuungana na wahuni eti na mapadre na maaskofu hasa lile Pengo la kwenye meno ya shetani! Siwezi!
 
Mimi ni Mkatoliki jana na leo sijaenda. Nimesali nyumbani, siwezi kuungana na wahuni eti na mapadre na maaskofu hasa lile Pengo la kwenye meno ya shetani! Siwezi!
Hakika Mungu atakubariki sana
 
Nilishaaga acha kuamin hawa wachungaji maana kweny siasa wapo,serikalini wapo,,hata uzinzi ,,kama aliye mlaza muumin kifo cha mende,,nakushauli baki na msimamo wako
 
Utakuwa hujawahi kwenda Kanisani kufatana na inavyotakiwa.
 
Back
Top Bottom