Mkuu, huelewi mkiendeleza fyokofyoko zenu hata hiyo Bagamoyo mtaikosa?
Hoja zitaanza kujengwa kueleza historia nzima ya ukanda huo wa Pwani. Mzanzibari na mtu wa Pwani watadai wao siyo sehemu ya Tanganyika, mnayoitambua nyinyi kama Tanzania kwa sasa.
Mama na ndugu yake watairudisha Bagamoyo mahali pake, na huo ndio utakuwa mwisho wa habari yenu.
'Seriously', kuna mkakati mkubwa kati ya hawa wawili na jamaa zao akina Rostam na Zungu na wenzao. WaTanzania wasiposimama kidete na kupiga kelele, maskini wa nchi hii hataambulia kitu. Tuna majitu manyang'anyi wakubwa wanaosubiri kunyakuwa kila kitu.
Ngoja tusubiri, tutayaona mengi safari hii.