MSIMAMO WA MEDALI ZA OLYMPICS 2024 KWA NCHI ZA AFRIKA

MSIMAMO WA MEDALI ZA OLYMPICS 2024 KWA NCHI ZA AFRIKA

greater than

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
1,653
Reaction score
3,060
Michezo ya Olympic inaendelea,Washindi katika kila michezo wanazidi patikana...
Angalia orodha ya nchi za Afrika zilizopata medali mpaka....
  1. Kenya - Medali 6,Riadha
  2. Afrika Kusini - 5,Kuogelea+Mbio fupi+Rugby+Baiskeli
  3. Uganda - 2,Riadha
  4. Algeria- 2,Ndondi + Gymnastics
  5. Morocco- 2 , Mpira + kuruka viunzi
  6. Ethiopia - 2,Riadha
  7. Botswana - 1,Mbio fupi
  8. Misri -1 ,Mpira
  9. Tunisia-1 ,Taekwondo
  10. Cape Verde-1 Ndondi
  11. Zambia - Mbio fupi
Nilicho kiona
  • Bara la Afrika lina uwekezaji mdogo kwenye michezo
  • Nchi za weusi ni tunajua kukimbia tu.
  • Waarabu wapo katika kila michezo
  • Ukitaka kushinda medali kwenye michezo ya majini na hatari ,peleka Ngozi nyeupe.mf Afrika Kusini...
  • Ukanda wa Afrika Mashariki ndiyo waongoza kwa medali,,,Asanteni Kenya,,Ug na Ethiopia
 
Michezo ya olimpic inahitaji uwekezaji kwenye maeneo ya michezo tofauti tofauti kwa muda mrefu
 
Back
Top Bottom