​Hivi majuzi , mzee Kisumo alipokuwa anahojiwa na gazeti la mwananchi alisema kuwa Nyerere alipokwenda UN kati ya mwaka 1955, 1956 na 1957 alikutana na Cheaf Marealle akimpinga Tanganyika kupewa uhuru, au akitaka uhuru wa KILIMANJARO pekee(Chagga land)!
Kisumo ni mzandiki na alikuwa na chuki binafsi na ukoo wa Marealle, ndio maana amekuwa akitoa kauli hizo za kuuchafua ukoo wa Maraelle na kuharibu historia nzuri na chief huyo.
Na chakusangaza mpaka leo kwenye mashule, vyuoni watu wamekuwa wakifundishwa hivyo, kumbe ni juhudi binafsi za Marealle kumchafua Chief. Hata mimi nilikuwa nimeathirika na hiyo mitizamo hasi ya watu juu ya Paramount Chief Marealle.
UKWELI HUU HAPA; Kama ilivyosemwa na ndugu wa ukoo pia kwa mujibu wa maandiko mbalimbali katika historia, ambayo Kisumo nahakika hakuwa kuyasoma, hata wale Wahadhiri wangu UDSM cjui walikuwa wapi hawakuyapitia wakati wakinifundisha huu uongo wa Kisumo. Wanahistoria hao ambao ni AJ HUGHES katika kitabu ch East Africa, J CLAGGET TAYLOR ktk kitabu cha Political Development of Tanganyika na BERNARD CHIDREZO ktk kitabu cha Tanganyika and International Trusteeship, wote kwa upande mmoja wakisema kuwa Chifu na Nyerere waliafikiana juu ya lini Tanganyika ipewe uhuru wake, wakati Nyerere akisema muda wa kijiandaa kujitawala uwe "kati ya miaka 20-25 mwaka 1955, na mwaka 1956 iwe na kati ya miaka 10-12, Chifu Marealle alisema mwaka 1957 kuwa muda wa kujiandaa kujitawala iwe ni kati ya 10-15.
Katika hotuba ya mwaka June 18, 1957, Mwalimu Nyerere alisema hotuba ya Chifu UN ilikuwa ya maana kuliko ya kwake, " the statement of Chief Marealle II .....has been greater significance than mine"' na kwamba Chifu alikuwa anawakilisha Chifu wa Taifa na mwakilishi wa machifu wenzake.
Sasa huyo Peter Kisumo inayesemwa kuwa alikuwa karibu na Mwalimu kwann anataka kutudanganya, ni watanzania wangapi leo wanamaoni hasi juu wa huyu chifu, Je, serikali inachukuwa hatua gani kurekebisha hii historia ya Marealle ambaya inazidi kuharibiwa na Kisumo.
Ndikalawe
Inawezekana Mzee Peter Kisumo hakuwa mbali na ukweli. Nimetoa kipande kifuatacho kwenye Wikipedia:
http://http://en.wikipedia.org/wiki/Chaga_people
Hebu pima maelezo yake kisha utafsiri kama matukio haya yangeliwajengea uswahiba Nyerere na Marealle
Shukran
In 1952, the Chagga held an election to elect Mangi Mkuu, the "Paramount Chief", to look after their affairs and speak with colonial administrators on behalf of the Chagga.[2] Thomas Marealle of Marangu won the election, defeating divisional chiefs M. H. Abdiel Shangali of Hai and John Ndaskoi Maruma of Rombo. Another divisional chief, Petro Itosi Marealle of Vunjo, withdrew from consideration before the election.
Marealle consolidated power from the other three Chagga divisional chieftains, thus making the Chagga more powerful and in control of their own affairs. His capital was in Marangu. But Marealle's downfall occurred during Tanganyika's struggle for independence, for two main reasons:
First, He lost support among western educated people. When Chagga students at Makerere University criticized him in their college magazine, he publicly humbled them when they came home, in an "old" tribal way.[clarification needed] He placed his faith in Petro Njau, the elderly astute party organizer who had put him in. From 1958 Njau set himself the task of enlisting the support of the old conservatives and the clan elders. This was a spurious return to the great tribal past. But Mangi Mkuu believed and trusted implicitly in him, and in the exaggerated accounts of popularity which Njau reported.
Second, Mangi Mkuu crossed swords with T.A.N.U on his home ground of Kilimanjaro. He still supported the national aims of T.A.N.U for Tanganyika. He continued to support Julius Nyerere personally, as the national leader long after he had begun to deal summarily with local T.A.N.U critics at home, perhaps because these critics did not need to be taken seriously, since they were insignificantly unrepresentative of the people. In 1957-58 the British Administration were belatedly trying to organize a council of Chiefs in Tanganyika as a delaying action against T.A.N.U, Mangi Mkuu wrote the governor asking that Nyerere himself should be invited to address the chiefs. The request was refused. It was not until 1959, when he was fighting for his political life, that Mangi Mkuu cut across Nyerere personally and cut across the national movement as such. In January 1959, by which time he was sharply on the defensive at home, Mangi Mkuu criticized Nyerere's visit to Moshi to hold an open-air TANU meeting in the town. A few months later he circularized the chiefs on the mountain, threatening to sack them if they supported TANU.
In the local field of Chaga politics, however the break came earlier. It did not come from TANU branches as such which, though they had started in 1955 on the mountain, had made little headway among the people. It came from Machame, from the chiefly rival whom Mangi Mkuu had supplanted in 1951. Chief Abdieli Shangali threw the weight of his authority behind his son-in-law, Solomon Eliufoo, and this was the decisive factor. Eliufoo, a commoner from one of the oldest clans in Machame, and a Lutheran-trained teacher, was abroad in the United States and Great Britain from 1953 to 1956. In 1957, he returned as a teacher and joined the TANU branch in Machame. In 1958, he entered politics; he became a nominated member of the Chagga Council, being nominated by Hai divisional council of which his father-in-law, Chief Abdieli Shangali, was chairman. The same year, he was elected member of the legislative council in Dar es Salaam on the TANU ticket.