Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ni mchanganyiko kutoka watu wa mataifa mbalimbali. Utakuta wachina, warusi, waarabu, wahindi, waafrika, walatino, wajapani bila kusahau black Americans. Wote hao wanabeba bendera ya MarekaniMarekani ni watu wa-bad sana, kila sekta wao huongoza, Ni taifa la namna gani aisee?!
Tatizo sio kufanya kazi ovyo ovyo, tatizo tulilonalo ni la kulindana, yaani atavurunda weee mtapiga kelele ila wapi, kila uchaguzi ukifika anachaguliwa tena, hiyo ndio advantage ya kuwa Chama tawala, Sasa hapo unatarajia kuna siku tutasonga mbele?Lkn sisiem haimwambii Bayi afanye hovyohovyo
Mbio za mita 10000 wanawake leo mshindi wa kwanza ni mdada mwenye asili ya Ethiopia lakini raia wa Uholanzi,mshindi wa pili ni wa Bahrain na yeye ni mwenye asili ya Ethiopia na watatu ni Muethiopia mwenyewe,wenzetu vipaji vipo na vinaendelezwa haswa,wanapewa mauraia ya nchi za kizungu huko sisi huku ndiyo kila siku vita UVCCM na BAWACHA..Marekani ni pool ya vipaji, pale utakuta hata 30% ya washiriki sio wazawa. Arnold Schwarzenegger kazaliwa na kukulia Austria ila kawa gavana wa jimbo kubwa kiuchumi Marekani. Ile nchi ishajielewa hata sisi tunatamani kuishi kule
Na wametuzidi kila kitu hawa Wenzetu..Hiv Tanzania kama nchi tunafeli wapi jaman?
Naona Kenya na Uganda tu wanashine
Wanamichezo wa kitanzania hawazidi wa 3 walioko Tokyo ila si ajabu wameongozana na viongozi kutoka Wizara ya Michezo,BMT,Viongozi wa kutoka Ubalozi wetu Japan,viongozi unakuta ni zaidi ya 10..Kesho saa ngapi?I cant wait to see them but as country mbona hatujapeleka wengi hata 10?
HahaaaaaaahaaaWanamichezo wa kitanzania hawazidi wa 3 walioko Tokyo ila si ajabu wameongozana na viongozi kutoka Wizara ya Michezo,BMT,Viongozi wa kutoka Ubalozi wetu Japan,viongozi unakuta ni zaidi ya 10..
Kama Mwenzake wa futiboli.Tatizo sio kufanya kazi ovyo ovyo, tatizo tulilonalo ni la kulindana, yaani atavurunda weee mapinga kelele ila wapi, kila uchaguzi ukifika anachaguliwa tena, hiyo ndio advantage ya kuwa Chama tawala, Sasa hapo unatarajia kuna siku tutasonga mbele?
Viongoz hawanaga aibu hata chembeWanamichezo wa kitanzania hawazidi wa 3 walioko Tokyo ila si ajabu wameongozana na viongozi kutoka Wizara ya Michezo,BMT,Viongozi wa kutoka Ubalozi wetu Japan,viongozi unakuta ni zaidi ya 10..
Sisi tupo busy na kumdhibiti MboyeKichwa cha mwendawazimu vipi, hamjapeleka washiriki?
Simbu amejitahidi sana, anaonekana ana uwezo shida ni maandalizi duni kwasababu hafanyi hiyo riadha kama kazi yake ila anafanya kama kitu cha ziada, na hapo ndipo tunapofeli, angekuwa na uwezo wa kuwapatia familia yake mahitaji ya kila siku na kuamua kukomaa na riadha labda muda huu tungekuwa tunaongelea mambo mengine.men marathon ...Alphomce felix simbu kashika namba 7...mkenya Eliud kipchoge kaua band..jamaa anakimnia hatar...kavunja rekod ya dunia...
Sisi tunazingatia mpaka nafasi ya 7-100Wengi wanazingatia zaid medal ya dhahabu