Magufuli hata mradi ambao kwa nature ni wa muda mrefu, atalazimisha uishe haraka, bila kujali negative consequences. Kwa hiyo mkuu hiyo tu ndio umeona point kubwa kwenye huo uchambuzi.Eti "hana interest na miradi ya muda mrefu", SGR ni mradi wa wiki?
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Suala la Kilimo lina maeneo muhimu ambayo yanatakiwa kuangaliwa ili kubaini na kupima utendaji wa serikali katika eneo husika.Siyo kweli. Katika kipindi chake hata supply za mbolea zinatoka kwa wakati kuliko rais yeyote. Na amekuwa akisisitiza tulime kwa bidii ili tusaidie nchi waliojifungia. Amekuwa akisisitiza kuwa hata toa chakula kwa wasiolima. Mkuu wa mkoa, wilaya, Das na viongozi wote wa eneo ambao watakumbwa na njaa wakati mvua zinanyesha wajiandae kuondoka. So viongozi wanahimizwa Na Mheshimiwa rais MagufuliJP walime na wahimize wananchi walime. Shida ni moja tu kuwa tumekuwa na viongozi wa wizara ya kilimo siyo wabunifu kutafuta masoko nje ya nchi. So kuhusu kuhimiz kilimo amejitajdi sana na hapendi wananchi wake wazulumiwe. Kumbuka issue ya korosho.
Tuseme ukweli.
Kwenye issue ya kusisitiza kujitegemea bara nzima ni nzuri sana sema wanaopokea ndo shida. Nchi kama South Africa ingechukua Hilo kama wazo kuu ingeteka soko la Afrika na tuweze kumuunga mkono. Shida weusi sisi hatuaminiani.
Wazungu wenyewe Wapigaji tu,usizani wanakupenda sana,wanapenda tu hicho ulichonacho!!Comedy phase 3.
Wazungu wamefanya utafiti wa kiyasansi wewe unasema haukubaliani nao na unaagiza waganga wa jadi wafanye utafiti na baada ya wiki 2 wanakuletea vichupa vya dawa unakubali.
Utafiti upi huo ambao wewe kapuku unaukubali wakati wazungu wenyewe wanapingana?Comedy phase 3.
Wazungu wamefanya utafiti wa kiyasansi wewe unasema haukubaliani nao na unaagiza waganga wa jadi wafanye utafiti na baada ya wiki 2 wanakuletea vichupa vya dawa unakubali.
Je, hao viongozi wa Wizara ya Kilimo wasio wabunifu huteuliwaje na ni nani huwateua?Siyo kweli. Katika kipindi chake hata supply za mbolea zinatoka kwa wakati kuliko rais yeyote. Na amekuwa akisisitiza tulime kwa bidii ili tusaidie nchi waliojifungia. Amekuwa akisisitiza kuwa hata toa chakula kwa wasiolima. Mkuu wa mkoa, wilaya, Das na viongozi wote wa eneo ambao watakumbwa na njaa wakati mvua zinanyesha wajiandae kuondoka. So viongozi wanahimizwa Na Mheshimiwa rais MagufuliJP walime na wahimize wananchi walime. Shida ni moja tu kuwa tumekuwa na viongozi wa wizara ya kilimo siyo wabunifu kutafuta masoko nje ya nchi. So kuhusu kuhimiz kilimo amejitajdi sana na hapendi wananchi wake wazulumiwe. Kumbuka issue ya korosho.
Tuseme ukweli.
Kwenye issue ya kusisitiza kujitegemea bara nzima ni nzuri sana sema wanaopokea ndo shida. Nchi kama South Africa ingechukua Hilo kama wazo kuu ingeteka soko la Afrika na tuweze kumuunga mkono. Shida weusi sisi hatuaminiani.
Wakati Sauli Mfalme anatawala Israeli ya kale kulikuwa na watu kazi yao ilikiwa ni kumwimbia mfalme ili afurahi na baadaye apate usingizi na wao kukiowa ujira..... ndiyo hawa sasa kina kabudi katika Tanzania ya leo.Kabudi ni mchekeshaji wa mfalme
Idiot.Tanzania kwa Mara kwanza watafiti waliofanya kitu Chenye impact kwa jamii na dunia ni Magufuli aliyegundua kuwa hadi mapapai yakipimwa na vipimo nayo yanaonekana na corona akachallenge ubora wa vipimo vyao pili akagundua kujifukiza
Wa pili wenye utafiti wenye impact ni NIMRI waliogundua Tiba Lishe ya Corona
Hao wa vyuo stupid wala hela tu za utafiti toka uhuru wana cha maana gani cha tafiti chenye faida kwa watanzania walio wengi? heri pesa ziende kwenye miundombinu kuliko kupelekea hiyo mibwege vyuoni inayojiita utafiti kutwa kujitia kutafiti tu results na impact kwa jamii hakuna
COSTECH kimsingi wanafadhili tafiti, hawafanyi utafiti moja kwa moja. Ile ni Tume ya Sayansi na Tekinolojia. Kwa maoni yangu, imepitwa na wakati kimuundo, na pia haipati Bajeti ya kutosha, na ndio maana haishangazi kwamba wasomi wetu kwa asilimia kubwa wanahangaikia scholarship toka nje na sio COSTECH.Upi kushabiki zaidi
Tanzania muda wote inafanya utafika kupitia taasisi zake kama NIMR na COSTECH kwa kuzitaja chache
Pia Vyuo vinafanya utafiti na Wizara ina kitengo cha Tiba asili kwaajili ya utafiti
Ilan ya sasa imeweka mkazo wa kipekee kwenye Tiba mbadala
Inawezekana shida zooote ndio zilianzia hapo kwenye kikombe cha babu. Ndio maana nchi inapelekwapekekwa tuHuyo Magufuli alikinywa kikombe cha babu hakukidharau yuko mzima wa afya na ni Raisi wewe ambaye hukukinywa mbona uko choka mbaya tu maisha umepigika
Hujui usemalo. Pale chuo kikuu Dar kuna rundo la tafiti, kweli, lakini ni nani anatakiwa kuzifanyia kazi? Hata PhD ya Magufuli kuhusu korosho, ipo pale.Tanzania kwa Mara kwanza watafiti waliofanya kitu Chenye impact kwa jamii na dunia ni Magufuli aliyegundua kuwa hadi mapapai yakipimwa na vipimo nayo yanaonekana na corona akachallenge ubora wa vipimo vyao pili akagundua kujifukiza
Wa pili wenye utafiti wenye impact ni NIMRI waliogundua Tiba Lishe ya Corona
Hao wa vyuo stupid wala hela tu za utafiti toka uhuru wana cha maana gani cha tafiti chenye faida kwa watanzania walio wengi? heri pesa ziende kwenye miundombinu kuliko kupelekea hiyo mibwege vyuoni inayojiita utafiti kutwa kujitia kutafiti tu results na impact kwa jamii hakuna
Tutauona huo utafiti wa kisayansi matokeo yake Mkuu.Comedy phase 3.
Wazungu wamefanya utafiti wa kiyasansi wewe unasema haukubaliani nao na unaagiza waganga wa jadi wafanye utafiti na baada ya wiki 2 wanakuletea vichupa vya dawa unakubali.
Na kile cha Madagascar, alichokunywa Kabuti Kalamaganda; mwokotwa 'Jalalani'.Comical Ali.
Wafanye utafiti kikombe cha babu alichokunywa Jiwe.
Nimemsikiliza waziri Kabudi ambaye alimwakilisha Rais Magufuli kwenye kikao cha Umoja wa Afrika. Wakati Rais Ramaphosa wa Afrika ya Kusini akiwa ni mwenyekiti anayemaliza muda wake, akieleza jinsi korona ilivyovuruga mipango ya maendeleo katika bara la Afrika, Tanzania ilitoa msimamo wake na pia kushauri Afrika ichukue msimsmo huo.
Msimamo wenyewe ni Tanzania na Afrika kwa ujumla zijiimarishe katika tafiti za chanjo na madawa ili kuondoa utegemezi kwa "mabeberu".
Sina tatizo kimsingi na hoja hiyo. Kwa kweli ni hoja nzuri tu. Tatizo langu ni kwamba hii hoja inatokana na kelele zinazopigwa na viongozi wetu hivi sasa, ili kuenda sawa na misimamo tata ya Magufuli. Kauli aina hii ndio kama anazotoa Profesa Mchembe, katibu mkuu wizara ya Afya. Na ndio zinafanya wengine wanadiriki kupiga marufuku uvaaji barakoa. Ni ujinga na ujuha wa kiwango cha pekee.
Hakuna sera ya utafiti inayotuongoza kufikia hayo anayodai Kabudi, na hata ile "political will" tu haipo. Magufuli arundike mabilioni katika elimu ya juu na utafiti? Apunguze matrilioni yanayokwenda kwenye miundombinu? Aache miradi yaje ya Chato? Wala sioni dalili ya hilo kutokea, hata kama hizo sera zingeandaliwa.
Magufuli huyu anayewafrustrate maprofesa, anayedai vyuo vikuu vitoe hela ya GAWIO serikalini ili ajenge barabara, ndio asimamie miradi ya utafiti wa chanjo za korona, ambayovinahitaji matrilioni, utaalamu wa ngazi ya cutting edge, ambao unahitaji kujengwa na kutunzwa? Sioni hata dalili.
Magufuli sio mtu wa miradi ya muda mrefu, matokeo yaje yeye kaondoka. Anataka afanye na kukamilisha sasa.
Kwa hiyo akina Kabudi na Mchembe wanapiga sound kama za yule waziri wetu mpendwa wa viwanda, aliyetufundisha kwamba hata vyerehani 4 ni kiwanda
Kabudi ni MTU Wa kunyenyekea sana hadi amekuwa jester? Waungwana mumemchoka professor wetu.Kabudi ni mchekeshaji wa mfalme
Alas! Court Jester!Kabudi ni mchekeshaji wa mfalme