Msimhukumu Rais Samia pasipokuwa na uhakika

Msimhukumu Rais Samia pasipokuwa na uhakika

Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Akisifiwagwa kwa kazi nzuri za serikali mbona huwa hamsemi kitu.

Kama mazuri ni yake kwa nini Mabaya yasimuhusu. Kama hahusiki kwa nini kauchuna as if hakuna kunchoendelea!!
 
Mkataba wa mualiko? Naomba utafsiri kwa kiingereza ili nikuelewe vizuri.

Amandla...
Invitation to treat (if you want contract legalese), ndio maana ya BIT and IGA.

Nakushauri uende google kwanza kufahamu maana hiyo phrase ‘invitation to treat’.
 
1686257367156.jpg
 
Shida ni kwamba watu wametumia muda mwingi kuwaelezea sana maana ya hiyo IGA.

Mfano mkurugenzi wa sheria kutoka wizara ya uchukuzi amedadavua karibu kila kitu hapo kwa lugha nyepesi, ila watu bado tu; awataki kuelewa somo.
Freedom of expression wakati mwingine ni shidaaa !!
 
Invitation to treat (if you want contract legalese), ndio maana ya BIT and IGA.

Nakushauri uende google kwanza kufahamu maana hiyo phrase ‘invitation to treat’.
Nimefuata ushauri wako.

"An invitation to treat is an invitation to a party or parties to make an offer. However, unlike a contractual offer, there is no intention for the invitation to treat to be legally binding. This is until the parties take steps to formalise the offer in a binding contract."

Kwa maana hii kama IGA ni Invitation to Treat basi sio legally binding. Kwa maneno mengine hakuna consequences kama URT itaamua haiutekelezi. Kwa maneno mengine article 23 haina maana yeyote kwa sababu URT wana uhuru wa kutoitekeleza wakati wowote bila kwenda Johannesburg. Na kumbuka article hiyo inazungumzia IGA, sio HGA.

Nilivyoelewa mimi hizo invitations ni yale mazungumzo yaliyofanyika Dubai na IGA ni mkataba ulio yaformalise. Hamna haja ya kupata baraka za Bunge kwa ajili ya mualiko wa kuanza mazungumzo. Baraka zinahitajika unapoingia katika mkataba ambao una masharti ya utekelezaji.

Amandla...
 
Mimi si mdini, wala siwezi kumdharau mtu anayeamini dini iwaye yoyote ile. Natambua binadamu hulazimika kufanya hivyo ili afanye mapatano na mamlaka ya kiroho iliyo kuu kwake.
Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Lakini natambua ukweli mmoja tu, ni vyema kiongozi atangulize sifa na utukufu kwa Mola wetu. Kiongozi hapswi kukwepa kulitaja kwa makusudi jina kuu kuliko yote, mbinguni na duniani, Jina la Bwana Yesu Kristo.

Ni machukizo mbele za Mungu, kusalimu watu kwa jina la JMT. Hii ni alama ya upagani kabisa.
 
Shida ni kwamba watu wametumia muda mwingi kuwaelezea sana maana ya hiyo IGA.

Mfano mkurugenzi wa sheria kutoka wizara ya uchukuzi amedadavua karibu kila kitu hapo kwa lugha nyepesi, ila watu bado tu; awataki kuelewa somo.
TLS, Shivji, Slaa, Lipumba, Lissu wote ni mbumbumbu kiasi cha kutokumuelewa Mkurugenzi huyo wa Sheria? Hauoni kuwa yeye ndie asiyekuwa na uelewa ( au anafanya makusudi) ndio maana maelezo yake hayana mashiko.

Mara IGA sio Mkataba ni Makubaliano kwa vile inaitwa Agreement. Lakini mkatu assure kuwa tutakapoingia mikataba inayoitwa HGA ( ambayo nayo ni agreements) mambo yote yatakuwa mazuri bila kutueleza kwa nini Agreement inayoitwa HGA ni Mkataba na imayoitwa IGA sio Mkataba. Mlipoona hamna logic, ndio mnakuja na hii Invitation to Treat! Inasikitisha kwa kweli unapoona Fundi Mchundo anaelewa mambo ya mkataba kuliko Learned Person.

Hiki kitu IGA ni flawed. The sooner we address the flaws, the better for all of us.

Amandla....
 
Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Sasa anamaana gani ya kua raisi wa nchi tena mwenye elimu ya udokta na anaitwa muheshimiwa kabisa kumbe muheshimiwa wa hovyo kama hawezi kusimamia misingi bora ya nchi anatofauti gani na baba mwenye familia asiejielewa. Kiufupi hatuna kiongozi hadi wanawake wenzake washamchoka maana wanaona wanaumia kuliko wanavyomsifia chawa wake wenyewe hawana la kusema sasa hivi
 
Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Mafiii ya bata kabisa[emoji115][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Nimefuata ushauri wako.

"An invitation to treat is an invitation to a party or parties to make an offer. However, unlike a contractual offer, there is no intention for the invitation to treat to be legally binding. This is until the parties take steps to formalise the offer in a binding contract."

Kwa maana hii kama IGA ni Invitation to Treat basis sio legally binding. Kwa maneno mengine hakuna consequences kama URT itaamua haiutekelezi. Kwa maneno mengine article 23 haina maana yeyote kwa sababu URT wana uhuru wa kutoitekeleza wakati wowote bila kwenda Johannesburg. Na kumbuka article hiyo inazungumzia IGA, sio HGA.

Nilivyoelewa mimi hizo invitations ni yale mazungumzo yaliyofanyika Dubai na IGA ni mkataba ulio yaformalise. Hamna haja ya kupata baraka za Bunge kwa ajili ya mualiko wa kuanza mazungumzo. Baraka zinahitajika unapoingia katika mkataba ambao una masharti ya utekelezaji.

Amandla...
Nadhani umeshawai kukutana na hii phrase before ‘a contract is an agreement, but not all agreements are contracts’.

Kwanini, hapo mkataba unaozungumziwa ni commercial agreement. Ili uitwe commercial agreement (contract, kuna test zake na ya msingi ni consideration). Ambayo kwenye hiyo IGA aipo.

2A836632-2523-4E72-B487-A7B91FB3A85C.jpeg


Hiyo article kwanza kabisa aizungumzii IGA per se, inachozungumzia ni HGA and project activities/agreements. Kwamba wakisha ingia hiyo mikataba (commercial agreements) huko mbele ndio aiwezi vunjwa kiholela.

Kwa hivyo hiyo framework ya IGA itatumika mpaka taratibu za kuisha kwa hayo makubaliano watakayoingia kwenye commercial agreement. Kwanini hiko kipengele kimewekwa kwasababu ndani ya IGA article 20 imeelezea namna ya kutatua dispute resolution.

Sasa basi mkataba wa kibiashara (hizo agreements) watakazo ingia baadae una implied terms kadhaa ambazo ata usipoziweka kwenye hiyo mikataba zinatumika mahakamani; laws za nchi husika, precedence’s (case laws) and industry customs.

Hiyo IGA imepitishwa na bunge ni sheria (moja kwa moja inakuwa implied term) ata mambo yake usipoweka kwenye mikataba ya baadae wanasisitiza hiyo sheria itatumika mpaka commercial agreements zote zitakapoisha.

Na hakuna commercial agreement inakufa kishamba ata mzazi akipangisha nyumba akifa kesho, watoto awawezi kwenda kuwatoa wapangaji kiholela kabla ya muda wa mkataba kuisha ndio kinachoongelewa hapo kwenye 23 (4) sentensi ya kwanza. Na ya pili inakwambia ukitaka kufanya mabadiliko yoyote lazima ufuate taratibu walizojiwekea article 20.

Shida yenu ata abc ya contract law amna, wataalamu wa serikali wakiwaelezea amtaki mmekazana tu. Mnasoma vitu amuelewi their legal meaning nyie mnatoa tafsiri kutoka vichwani kwenu.
 
Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Sisi tunamtambua yeye, hao walijificha ni udhaifu wake kama anashinikizwa anakubali
 
Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Kwa heshima na taadhima tutajie hao waliomshinikiza wala hatuwaogopi tutawaambia wanavyompotosha mama yenu.
 
Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Hacha propaganda za kipumbavu, yeye ndo rais , hawezi pelekeshwa na mtu yoyote, kwani inashindika nini , msipende chafua watu kwa madhaifu ya yeye mwenyewe
 
TLS, Shivji, Slaa, Lipumba, Lissu wote ni mbumbu kiasi cha kutokumuelewa Mkurugenzi huyo wa Sheria? Hauoni kuwa yeye ndie asiyekuwa na uelewa ( au anafanya makusudi) ndio maana maelezo yake hayana mashiko.

Mara IGA sio Mkataba ni Makubaliano kwa vile inaitwa Agreement. Lakini mkatu assure kuwa tutakapoingia mikataba inayoitwa HGA ( ambayo nayo ni agreements) mambo yote yatakuwa mazuri bila kutueleza kwa nini Agreement inayoitwa HGA ni Mkataba na imayoitwa IGA sio Mkataba. Mlipoona hamna logic, ndio mnakuja na hii Invitation to Treat! Inasikitisha kwa kweli unapoona Fundi Mchundo anaelewa mambo ya mkataba kuliko Learned Person.

Hiki kitu IGA ni flawed. The sooner we address the flaws, the better for all of us.

Amandla....
Kwanza humo humo ndani ya IGA mara kadhaa wameeleza kutakuwa na mikataba mingine ya HGA na Peoject Agreements, information tosha kukueleza hiyo sio commercial agreement.

Pili umeshaelezwa ili uende mahakamani kushitaki una mkataba lazima uonyeshe value of exchange uliyodhulimiwa (consideration) hayo makubaliano hayapo hapo kwenye IGA kwa ivyo hiyo aiwezi kuwa commercial agreement.

Serikali imekwambia hayo yatafanyika watakapokutana TPA na DPW kujadiliana concession agreements bado awajakaa chini; utaki kuelewa.

Shivji, Lissu, Kabudi na wanasheria wote Tanzania niliowasikia 90% hawana foundation ya contract law; kama umesoma ata introduction module kuweza kubaini uelewa wao ni mdogo mnooo.

Na nina uhakika 100% Tanzania aifundishwi kwa kuwasikiliza wanasheria.
 
Hacha propaganda za kipumbavu, yeye ndo rais , hawezi pelekeshwa na mtu yoyote, kwani inashindika nini , msipende chafua watu kwa madhaifu ya yeye mwenyewe
Ikulu sio mahali rahisi, utakuwa Raisi lakini utakuwa ukisemeshwa na viongozi wasiohesabika, huwezi kufanya uamuzi peke yako, wapo wengi watakusemesha kuanzia chama kilichokupa hicho kiti. Kumbuka chama hakina mtu mmoja, kina maelfu ya viongozi ambao lazima utawasikiliza ili wasikunyang'anye kiti. Kumbuka raisi yupo chini ya chama, anaweza kunyang'anywa madaraka na chama chake
 
Back
Top Bottom